Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Sio Kwamba Liverpool wamewapiga ?mbona kawaidaCody kama tungemtaka tungempata..it seems hakuwa tunachokihitaji.
Kuna tetesi niliziona Grazzer family walizuiwa kuchukua dividend awamu hii na Bodi ya man u , pia kutokana na summer man u kutumia pesa nyingi, huenda January hii mkafanya loan deals zaidi , pia Kocha wenu kaahidiwa big investment summer atakapokuja mmiliki mpya .
CHIEF MKWAWA njoo toa details zaidi

