Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Cody kama tungemtaka tungempata..it seems hakuwa tunachokihitaji.
Sio Kwamba Liverpool wamewapiga ?mbona kawaida

Kuna tetesi niliziona Grazzer family walizuiwa kuchukua dividend awamu hii na Bodi ya man u , pia kutokana na summer man u kutumia pesa nyingi, huenda January hii mkafanya loan deals zaidi , pia Kocha wenu kaahidiwa big investment summer atakapokuja mmiliki mpya .

CHIEF MKWAWA njoo toa details zaidi
 
Sio Kwamba Liverpool wamewapiga ?mbona kawaida

Kuna tetesi niliziona Grazzer family walizuiwa kuchukua dividend awamu hii na Bodi ya man u , pia kutokana na summer man u kutumia pesa nyingi, huenda January hii mkafanya loan deals zaidi , pia Kocha wenu kaahidiwa big investment summer atakapokuja mmiliki mpya .

CHIEF MKWAWA njoo toa details zaidi
Hizi propaganda tu Mkuu, Board ya Man U ni Avram Glazzer, Joel Glazzer, Kevin Glazzer, Bryan Glazzer, Gracie Glazzer, Edward Glazzer

Jumla kuna Member 11 na 6 kati yao ni Glazzer, chochote wanachotaka wanapitisha hakuna wa kuwazuia.

Na hao wa tano waliobakia Arnold ni mmoja wao (wamwemuajiri wao).

So lugha nzuri Glazzer wameamua wasichukue Dividend.
 
Hizi propaganda tu Mkuu, Board ya Man U ni Avram Glazzer, Joel Glazzer, Kevin Glazzer, Bryan Glazzer, Gracie Glazzer, Edward Glazzer

Jumla kuna Member 11 na 6 kati yao ni Glazzer, chochote wanachotaka wanapitisha hakuna wa kuwazuia.

Na hao wa tano waliobakia Arnold ni mmoja wao (wamwemuajiri wao).

So lugha nzuri Glazzer wameamua wasichukue Dividend.
Kumbe hawajazuiwa ,ila wao ndio wamejizuia
 
Kumbe hawajazuiwa ,ila wao ndio wamejizuia
Daaahhh hilo swali lako uliliuliza kule kwenye jukwaa la Liverpussy MosDef akakufahamisha tena kitaaluma zaidi kuhusu mambo ya fedhwa, akakupa mpaka vivid example ila umeamua kujizima data na kuja huku kuuliza tena swali lilelile.

Ila kwa ule mpira mlioupiga jana dhidi Westham mpaka naona aibu kuja kuwafanyia fujo kwenye jukwaa lenu.
 
Daaahhh hilo swali lako uliliuliza kule kwenye jukwaa la Liverpussy MosDef akakufahamisha tena kiutaaluma zaidi kuhusu mambo ya fedhwa, akakupa mpaka vivid example ila umeamua kujizima data na kuja huku kuuliza tena swali lilelile.

Ila kwa ule mpira mlioupiga jana dhidi Westham mpaka naona aibu kuja kuwafanyia fujo kwenye jukwaa lenu.
Hapana Lina utofauti kidogo, nilitaka nisikie mwandamizi CHIEF MKWAWA ana maoni gani ,
 
Dah yaani ndio mmepigwa ndoige katika usajili ya Cody Gapko!!!!
Mnatia huruma mtimu wenu hauna mvuto,wachezaji wanahitaji pesa tu maana wanajua kuja unyumbuni ni sawa na kuingia kaburini
 
Sasa wewe Fulana, Kisa mmekikosa kile ki gakpo ndio uwe na stress ivyo? hehehe na ngoja leo mkandwe kiutamuutamu matakataka nyie.
Gapko ni Nunez mweusi tu, kwa Liverpool ninayoijua mimi muda sio mrefu huyo mmakonde wa Netherland nae ataanza kutukanwa humu.

Ten hag angekua anamtaka Psv iliyo chini ya legend wetu Ruud Van Nestroy wala isingekua kazi kumpata.
 
Kocha amwambie Lisandro aache ujinga..and where the f is Lindelof..ameumia tena??

Yaani leo beki za kati ni Casemiro na Shaw
Screenshot_20221227-220208_Instagram.jpg
 
Back
Top Bottom