Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Daaahhh hilo swali lako uliliuliza kule kwenye jukwaa la Liverpussy MosDef akakufahamisha tena kiutaaluma zaidi kuhusu mambo ya fedhwa, akakupa mpaka vivid example ila umeamua kujizima data na kuja huku kuuliza tena swali lilelile.

Ila kwa ule mpira mlioupiga jana dhidi Westham mpaka naona aibu kuja kuwafanyia fujo kwenye jukwaa lenu.
Hapana Lina utofauti kidogo, nilitaka nisikie mwandamizi CHIEF MKWAWA ana maoni gani ,
 
Dah yaani ndio mmepigwa ndoige katika usajili ya Cody Gapko!!!!
Mnatia huruma mtimu wenu hauna mvuto,wachezaji wanahitaji pesa tu maana wanajua kuja unyumbuni ni sawa na kuingia kaburini
 
Sasa wewe Fulana, Kisa mmekikosa kile ki gakpo ndio uwe na stress ivyo? hehehe na ngoja leo mkandwe kiutamuutamu matakataka nyie.
Gapko ni Nunez mweusi tu, kwa Liverpool ninayoijua mimi muda sio mrefu huyo mmakonde wa Netherland nae ataanza kutukanwa humu.

Ten hag angekua anamtaka Psv iliyo chini ya legend wetu Ruud Van Nestroy wala isingekua kazi kumpata.
 
Kocha amwambie Lisandro aache ujinga..and where the f is Lindelof..ameumia tena??

Yaani leo beki za kati ni Casemiro na Shaw
Screenshot_20221227-220208_Instagram.jpg
 
Ni shangwe na vigere gere leo kila kona ni furaha nimepita kwa jirani yangu Aaron Arsenal anasema anayo furaha kweli kweli kufika siku ya leo
Maana alikuwa anaisubiri kwa shauku kubwa sana kuona kandanda safi pira birian likipigwa.

Maana leo ndo ile siku kubwa kuliko zote dunia ni ile siku vibanda umiza vyote duniani vina jaa,grocery zote zina jaa, club zote zina jaa bar zote zina jaa yani kila sehemu kuna jaa.

Unajua ni kwanini? sababu ni moja tu.

Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha

Prediction

Manchester united 4 vs Nottingham forest 1

Muda

5.00 usiku

Last game 1999

Nottingham forest 1 vs Manchester united 8
Screenshot_20221227-220234.jpg
 
There has been an illness in the mufc camp which has led to an unusual line-up against Nottingham Forest tonight.
[@lauriewhitwell]
 
Erik ten Hag: "He [Shaw] offered himself [to play centre-back] last week. We have to find solutions at this time of the season in this position, and that's what we are doing.

The players are experienced, and they know what to do. I'm convinced it's a good team." [MUTV]
 
Back
Top Bottom