Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,721
Hapana Lina utofauti kidogo, nilitaka nisikie mwandamizi CHIEF MKWAWA ana maoni gani ,Daaahhh hilo swali lako uliliuliza kule kwenye jukwaa la Liverpussy MosDef akakufahamisha tena kiutaaluma zaidi kuhusu mambo ya fedhwa, akakupa mpaka vivid example ila umeamua kujizima data na kuja huku kuuliza tena swali lilelile.
Ila kwa ule mpira mlioupiga jana dhidi Westham mpaka naona aibu kuja kuwafanyia fujo kwenye jukwaa lenu.

nimepita kwa jirani yangu