Ilitakiwa achukue England mbona mngekomaHata kama aliumia, michuano ya Wc inafanyika mara 1 kwa kipindi cha miaka 4 tena mechi zake mpaka kufika fainali hazizidi 10, ila mechi za ligi pamoja na mashindano mengine mbalimbali ya club ni zaidi ya 60 tena kila mwaka zipo.
Kikubwa ufaransa tayari alishachukua WC 2018 hii ilitakiwa wachukue wengine.
Kwa mpira gany walionao wabebe kombe la dunia!Ilitakiwa achukue England mbona mngekoma
Raisi wa nchi ya Argentina Alberto Ángel Fernández Pérez amempongeza mno Lisandro Martinez kwa kuiwezesha nchi yake kutwaa kombe la dunia, Pia ameishukuru sana club ya Manchester United kwa mchango wake mkubwa wa kuwang'arisha wachezaji wa Argentina duniani, akitolea mfano wa Carlos Tevez raisi Fernández amesema anaandaa memorandum of understanding kati ya Argentina na United ili raia yoyote wa Argentina anapotaka kucheza soka nje ya nchi kipaumbele cha kwanza iwe kwenda kucheza soka kwenye club kubwa zaidi ya Manchester United.
Raisi Alberto Ángel Fernández Pérez alikua anaongea kwa hisia kali mpaka machozi yalikua yanamtiririka.
#Viva Lisandro Martinez
#Viva Manchester United
#Viva La Albiceleste




Varane alichoka kama mbwa.Mechi ya mwisho Varane kuichezea united alipata majeraha yaliyopelekea kuwa na wasi wasi wa kuliwakilisha taifa la ufaransa kwenye mashindano ya kombe la dunia,jamaa alilia kama mtoto mdogo vile. Jana wakati akiliwakilisha taifa la ufaransa kwenye kombe la dunia alipata majeraha yaliyofanya akatolewa uwanjani lakini hakuwa akiwaza kuhusu kuzikosa mechi kadhaa za united msimu utakapoanza wiki ijayo
.
Ndio maana nilimsapoti sana Licha kunyanyua kwapa QATAR dhidi ya huyu mfaransa.



Ndiyo mngejua hamjuiKwa mpira gany walionao wabebe kombe la dunia!
Ni nani huyuAntony and Casemiro returning to Carrington today [men]
#GlazerOUT
#GGMU
man utd |View attachment 2452852View attachment 2452853
huyo kwenye Bantley continental anaitwa Carlos Henrique Casimiro (kiungo) na huyo Bwana mdogo kwenye Lamborghini Aventador anaitwa Antony Matheus dos Santos (winga)Ni nani huyu
Punguza kuotaNdiyo mngejua hamjui

kila mtu ana furahi kila mtu anacheka hapa nilipo
unajua ni kwanini sababu ni moja tu.
5.00 usiku
old trafford