ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 16,286
- 31,675
Wakati anaenda Juve hakua flop nakupinga kwa hiloKitendo cha PENDU kumsema vibaya ETH
Naona january asepe tu ETH kamvumilia sana alikataa kuingia sub dhid ya spurs
Akapewa ukapteni bado mpira wake mbovu juzi dhid ya villa tukafungwa 3 yeye akuwepo ndani bila msaada sasa naelewa kwanini florentino perez aliuza hii flop kwa juve
Hawa ndio waliofuatilia football 2018Wakati anaenda Juve hakua flop nakupinga kwa hilo
Utd ndio imemtengeneza Ronaldo, angekuwa Chelsea ama Arsenal angekuwa tu kama kina Saka.Kuna mtu anakwambia Ronaldo ni taasisi.
Siku aondoke Man Utd uone kama kuna timu ya maana itamtaka.
Wapi nimeandika alikuwa flop ndo akaenda juve? Umeshindwa kuunganisha habari hapo unataka kuniambia pendu yuko kwenye peak? Uelewa wako mdogoWakati anaenda Juve hakua flop nakupinga kwa hilo
Scholes Mpira wake ni vice versa ya Barcelona, kifupi timu zinazo posses zinapata tabu kucheza na Midfield Design ya kina Scholes (Mzee) , Pirlo, Alonso etc wachezaji ambao wanahamisha uwanja na hawana time na kuminyana kuminyana.Lazima amkubali Scholes kwa sababu ndiye alikuwa anaendana na Mpira waliokuwa wacheza Barcelona.
"Mimi leo kuja kucheza na vitoto havina vipaji kama Sancho na Elanga? Ndugu mwandishi natamani Ningekuwa Pembeni ya Vijana kama Odegaard, Saka au Martnelli Ningefanya Makubwa sana"
Ronaldo akihojiwa
Uh!🤔"Mimi leo kuja kucheza na vitoto havina vipaji kama Sancho na Elanga? Ndugu mwandishi natamani Ningekuwa Pembeni ya Vijana kama Odegaard, Saka au Martnelli Ningefanya Makubwa sana"
Ronaldo akihojiwa
Kabla ya Ole Ronaldo alikuwa anakimbia kimbia tu uwanjani, tuliomuona Ronaldo 2003-2006 tunajua, hakua akijua kupiga vichwa, mashuti na skills nyingi za Striker, ole anastaafu na kupewa Ukocha wa Maforward ndio akaanza kuwafua Forward wetu mpaka tunaona 2006-2009 tuna fluid front line,Cristiano Ronaldo”I remember before one match, Ole Gunnar Solskjaer didn’t do a team talk in the dressing room. He just put on a video of his goal in the 1999 Champions League final. We lost 5-0.”
Alafu anamdiss duhKabla ya Ole Ronaldo alikuwa anakimbia kimbia tu uwanjani, tuliomuona Ronaldo 2003-2006 tunajua, hakua akijua kupiga vichwa, mashuti na skills nyingi za Striker, ole anastaafu na kupewa Ukocha wa Maforward ndio akaanza kuwafua Forward wetu mpaka tunaona 2006-2009 tuna fluid front line,
Ole kamfundisha Haaland ambaye watu kibao walisema hawezi toboa kama Mchezaji, Ole amewafanya Martial, Rashford na Greenword kufunga Goli nyingi kuliko Salah, Mane na Firminho,
Hivyo Ole ameprove talent yake ya kufundisha striker,
Dah wewe jamaa imebidi nifurahi TUnyie matakataka inakuwaje munashinda alafu sisi Chelsea tunafungwa? Nyie muna timu mbovu tena takataka haswa.
Ninyi musimu muna malengo gani?
You know nothing about football kaa kimya utachekwaKabla ya Ole Ronaldo alikuwa anakimbia kimbia tu uwanjani, tuliomuona Ronaldo 2003-2006 tunajua, hakua akijua kupiga vichwa, mashuti na skills nyingi za Striker, ole anastaafu na kupewa Ukocha wa Maforward ndio akaanza kuwafua Forward wetu mpaka tunaona 2006-2009 tuna fluid front line,
Ole kamfundisha Haaland ambaye watu kibao walisema hawezi toboa kama Mchezaji, Ole amewafanya Martial, Rashford na Greenword kufunga Goli nyingi kuliko Salah, Mane na Firminho,
Hivyo Ole ameprove talent yake ya kufundisha striker,
Ulipo mavi yamekubana.Willian ,palhinha, mwanangu mwenyewe Pereira
GK Leno
Leo kitawaka
Wewe ndio mjinga ,unahisi mafanikio ya furgson yalikuja Kama makalio Kila mtu anayo ,yey mwenyewe alichezea vichapo mbali mbali ,mpka kuja kutengeneza system yake iliyompa mafanikio .....saizi mmekalia kutimua timua tu makochaWewe ni takataka huna akili kenge wewe
Yani MTU anamdharau kocha hadharani unasema anaonewa ?Man u ina matatizo na watu hawataki kuambiwa ukweli
Mwisho wa cku CR7 kasema ukweli ili timu ipone matokeo yake watu wanamshambulia CR 7
Cjui vichwan mwa watu kuna nn? Mtu anajifanya kuijua man u kuliko CR7 mwenyewe
Respect is a two way traffic, i cant respect you if i see you dont respect me enough. By the way respect is earned not given.Yani MTU anamdharau kocha hadharani unasema anaonewa ?
Pumbavu kabisa wewe