Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Acha kuongea makalio basi Ronaldo atabaki kuwa Legend kapike maandazi mtaani kwenu
 
Kijana Ronaldo ni Mkubwa kuliko Ten Hag kiuchumi,Makombe,pesa,kapitwa kila kitu na Ronaldo
uzuri Sindano imewaingia hehehehehe
 
Acha kuongea makalio basi Ronaldo atabaki kuwa Legend kapike maandazi mtaani kwenu
Mkuu hauwezi kukomenti kwa staha .? Huwezi kukaa bila kutukana .??

Ndio maana arsenal wenzio wanakuona mamluki !

Nyie vijana sijui mna matatizo gani, kazi Ni kutukana tu kwenye mitandao au una stress za maisha ?

go get your life buddy, kenge Kama wewe unakula block tu
 
Watu wamekasirika kumtaja ETH. Kwamba hamuheshimu kocha.

The rest hakuna mtu mwenye shida nae.
 
Kuna mtu anakwambia Ronaldo ni taasisi.

Siku aondoke Man Utd uone kama kuna timu ya maana itamtaka.
 
Ameondoka Madrid kwasababu ya ego.

Ataondoka United na hakuna atakaetamani kufanya nae kazi.
 
Hayo yote hapo juu yanahusika vipi na kutomuheshimu kocha?

Kabla ya Ronaldo kuja United mashabiki walishaanza movement ya kuwatoa kina Glazers.

Kuna lipi la ajabu?
 
Guardiola: "Lampard, Scholes or Gerrard? Big respect for Frank [Lampard] and Steven [Gerrard], but Paul Scholes is my favourite. I love him. I think he had it all."

#RonaLdoOUT
#GlazerOUT
#GGMU


manutd View attachment 2416528
Lazima amkubali Scholes kwa sababu ndiye alikuwa anaendana na Mpira waliokuwa wacheza Barcelona.
 
Sidhani kama kuna timu yo yote itakayokuwa kumchukua mtu anayejiona wa maana kuliko wenzake wote, na hata kuliko kocha.

Labda Sporting Lisbon alikoanzia!
Hawana hela ya kumlipa.

Labda afanye kama pro bono.
 
Kijana Ronaldo ni Mkubwa kuliko Ten Hag kiuchumi,Makombe,pesa,kapitwa kila kitu na Ronaldo
uzuri Sindano imewaingia hehehehehe
Elon Musk ana hela kuliko Joe Biden.

Ila anamuheshimu kama baba ake.

Ten Hag ni kocha, haijalishi ana pesa kiasi gani, ila anaweza kumuweka benchi msimu mzima na asimfanye kitu.
 
"Mimi leo kuja kucheza na vitoto havina vipaji kama Sancho na Elanga? Ndugu mwandishi natamani Ningekuwa Pembeni ya Vijana kama Odegaard, Saka au Martnelli Ningefanya Makubwa sana"
Ronaldo akihojiwa
 
Wewe hata ukimchukia Ronaldo haumfikii kwa lolote so potezea tu Ronaldo ni Legend wa Manchester United
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…