Green Beret
JF-Expert Member
- Apr 22, 2022
- 631
- 991
Sijui kwa nini kipa habadiliki...Mimi maoni yangu.
Ronaldo sasa ni muda wa kuanzia benchi, hamna anachooffer.
Zile kelele ilitakiwa Ten Haag akaze, hakuna kumpa minutes za kuboroga.
Sasa hivi mentality ya Ronaldo ni afunge approve wrong watu.
Duh! Hamna cha team work tena
Lindelof *****, shenzi sana. Yaani unasindikiza mtu mpaka boksi hata hujaribu kumsukuma au kumfanyia tackle ili apoteze balance?
Lindelof sio beki bora apelekwe CDM awe analisha mipira mirefu mbele.
Kocha nae aache ukuda, awe anaweka watu hitajika siku ya mechi, kina Fred, ikiwa gemu ngumu
Kingine wakuu, nadhani nyie hamkuona ila DE GEA katuchoma leo.
Goli la kwanza, na Freekick, si ni juzi hapa alifanya impressive saves.
Alafu kipa awe anafanyiwa hata rotation kutoa challenges bana
Ronaldo akipewa service nzuri anaeza kifunga goli mbili tatu...changamoto hatengenezewi clear chances...hakuna crosses wala pass za mwisho nzuri
VDB asicheze tena kashachoka mda mrefu ndo maana kina Ole na RR hawakumkubali jamaa anazingua sana
Erikcsen apumzike..jamaa kachoka asee
