Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mimi maoni yangu.

Ronaldo sasa ni muda wa kuanzia benchi, hamna anachooffer.

Zile kelele ilitakiwa Ten Haag akaze, hakuna kumpa minutes za kuboroga.

Sasa hivi mentality ya Ronaldo ni afunge approve wrong watu.

Duh! Hamna cha team work tena


Lindelof *****, shenzi sana. Yaani unasindikiza mtu mpaka boksi hata hujaribu kumsukuma au kumfanyia tackle ili apoteze balance?


Lindelof sio beki bora apelekwe CDM awe analisha mipira mirefu mbele.

Kocha nae aache ukuda, awe anaweka watu hitajika siku ya mechi, kina Fred, ikiwa gemu ngumu


Kingine wakuu, nadhani nyie hamkuona ila DE GEA katuchoma leo.

Goli la kwanza, na Freekick, si ni juzi hapa alifanya impressive saves.

Alafu kipa awe anafanyiwa hata rotation kutoa challenges bana
Sijui kwa nini kipa habadiliki...

Ronaldo akipewa service nzuri anaeza kifunga goli mbili tatu...changamoto hatengenezewi clear chances...hakuna crosses wala pass za mwisho nzuri

VDB asicheze tena kashachoka mda mrefu ndo maana kina Ole na RR hawakumkubali jamaa anazingua sana

Erikcsen apumzike..jamaa kachoka asee
 
Improvements gani zipo? Hakuna kitu ushindi tunapata wa ndondokera hamna lolote, mpira tunaocheZa hauna malengo yoyote yaani tunapooza tu mpira wapinzani wakipata mpira ni presha tu hata tukifungwa sawa kitu tunataka kuona ni mpira unachezwa wa kueleweka kama hatuchezi mpira nzuri hata ushindi hauna maana kwetu, naanza kupoteza imani na ETH
 
Improvements gani zipo? Hakuna kitu ushindi tunapata wa ndondokera hamna lolote, mpira tunaocheZa hauna malengo yoyote yaani tunapooza tu mpira wapinzani wakipata mpira ni presha tu hata tukifungwa sawa kitu tunataka kuona ni mpira unachezwa wa kueleweka kama hatuchezi mpira nzuri hata ushindi hauna maana kwetu, naanza kupoteza imani na ETH

Utakuwa umeshiba mihogo inakulevya
 
Ya
Muache kocha ajenge team, kwanza huu msimu sina cha kumdai kocha wala hao wachezaji kwenye EPL labda ueroper huko angalau wafike nusu au fainali.
Yah ni kweli...lakin kinachojengwa ni kipi na huku mambo ni yale yale yanajirudia mechi hadi mechi...ukiangalia mechi za hivi karibuni utd wanastrago sana kufunga

Ukifatilia utajua kocha washambuliaji ni Ben Mcarthy msauzi labda shida ndo inaanzia apo!!
 
Siku Ronaldo akiondoka wengi mtakumbuka aina ya mchezaji tuliyekuwa naye. Striker, goalscorer, GOAT, goal machine. 'No service, no goals.' Old Trafford hata umlete Haaland utaishia kutukana tu tumepigwa.

Mchezaji kama Bruno mnamlaumu bure tu ila naamini influence ya mazingira aliyokutana nayo klabuni yameshusha kiwango chake.

EtH ni kocha atakayerudisha zama zetu, kitu kinachodhihirisha hilo ni kwasababu ameweza kuleta wachezaji wenye manufaa kwa timu yetu. Suala la kusema leo kazingua kufanya sub hiyo ni mitazamo yetu tu, hata yeye ni binadamu anafanya kitu anachoamini na kukosea kupo tu.

"In football you don't deserve, you win or lose."
 
Improvements gani zipo? Hakuna kitu ushindi tunapata wa ndondokera hamna lolote, mpira tunaocheZa hauna malengo yoyote yaani tunapooza tu mpira wapinzani wakipata mpira ni presha tu hata tukifungwa sawa kitu tunataka kuona ni mpira unachezwa wa kueleweka kama hatuchezi mpira nzuri hata ushindi hauna maana kwetu, naanza kupoteza imani na ETH
Umeongea pointi sana...mechi tunazoshinda ni za kinaga ubaga. Kina shaw na dalot wanafika juu wanarudisha mpira kwa CB kisha unazunguka duara tu...hakuna penetration pass yoyote ya kuaminika hakuna chance zinazotengenezwa
Man utd bado sana


Cha kushangaza kila timu ikicheza na Utd inacheza vizuri sana..
Pass za haraka na wanatengeneza chamce nyingi sana...hata Omonia alitupelekesha sana


Anyway labda watabadilika baadhi yao wakiondoka
 
Siku Ronaldo akiondoka wengi mtakumbuka aina ya mchezaji tuliyekuwa naye. Striker, goalscorer, GOAT, goal machine. 'No service, no goals.' Old Trafford hata umlete Haaland utaishia kutukana tu tumepigwa.

Mchezaji kama Bruno mnamlaumu bure tu ila naamini influence ya mazingira aliyokutana nayo klabuni yameshusha kiwango chake.

EtH ni kocha atakayerudisha zama zetu, kitu kinachodhihirisha hilo ni kwasababu ameweza kuleta wachezaji wenye manufaa kwa timu yetu. Suala la kusema leo kazingua kufanya sub hiyo ni mitazamo yetu tu, hata yeye ni binadamu anafanya kitu anachoamini na kukosea kupo tu.

"In football you don't deserve, you win or lose."


Ni kweli...akiwaondoa deadwoods wote labda timu itabadilika tusubiri msimu uishe


Huu bado sana
 
Ni kweli...akiwaondoa deadwoods wote labda timu itabadilika tusubiri msimu uishe


Huu bado sana
Mimi nawashangaa sana mashabiki wanaopiga kelele kwanini tumefungwa.

Hakuna mahali pameandikwa timu zinapaswa kushinda kila mechi au timu kubwa ni lazima zishinde kwa njia yoyote ile.

Kinachotokea ndiyo football ilivyo, kila kosa unalofanya ni faida kwa mpinzani wako.

Cha msingi kocha apewe watu anaowataka huwezi kuhukumu uwezo wake kupitia kitu kilichojengwa na mtu mwingine.

Alimtaka Gakpo na msimu huu ndiyo anawasha moto hatari, mchezaji naye yupo wazi kujiunga. Uvumilivu ni kitu muhimu sana ukiwa shabiki.
 
Yes itkua huzuni tukikosa but mimi nitakua sina shida hata tukikosa as long as timu itakua imeimprove kwa baadh ya maeneo yaliyotusumbua miaka mingi,hasa kiungo na defence.

#trust the process,ten hag is our messiah
Ni fans wachache Sana wanaoona progress ,wengi wapo kuona madhaifu na kutukana
 
Mimi nawashangaa sana mashabiki wanaopiga kelele kwanini tumefungwa.

Hakuna mahali pameandikwa timu zinapaswa kushinda kila mechi au timu kubwa ni lazima zishinde kwa njia yoyote ile.

Kinachotokea ndiyo football ilivyo, kila kosa unalofanya ni faida kwa mpinzani wako.

Cha msingi kocha apewe watu anaowataka huwezi kuhukumu uwezo wake kupitia kitu kilichojengwa na mtu mwingine.

Alimtaka Gakpo na msimu huu ndiyo anawasha moto hatari, mchezaji naye yupo wazi kujiunga. Uvumilivu ni kitu muhimu sana ukiwa shabiki.
Moja ya mashabiki wa man u mwenye akili Ni wewe, ujenzi wa timu ni process ,
 
Ya

Yah ni kweli...lakin kinachojengwa ni kipi na huku mambo ni yale yale yanajirudia mechi hadi mechi...ukiangalia mechi za hivi karibuni utd wanastrago sana kufunga

Ukifatilia utajua kocha washambuliaji ni Ben Mcarthy msauzi labda shida ndo inaanzia apo!!
Kila kocha atakuwa anakuja anakula kipigo kizito anasingizia wachezaji niliowakuta sio chaguo langu , ooh nipeni misimu miwili au mitatu nijenge timu , 🤗 mnampa fungu ananunua anaowataka , anapambana anaishia kuwa forerunner, msimu unaofata anakula vipigo vya mbwa Koko mpak mnamtimua huku akiwa ametia hasara kuu,

Kocha kazi yake sio kufundishwa wachezaji namna ya kucheza mpira , kaz ya kocha ni kuelekeza wachezaji namna ya kupata ushindi... Akipata ushindi anakaa, akishindwa fukuzaaa.... Chelsea wangekuwa na swaga kama za man u , nafkr wangekuwa na mafanikio duni sana
 
Mimi nawashangaa sana mashabiki wanaopiga kelele kwanini tumefungwa.

Hakuna mahali pameandikwa timu zinapaswa kushinda kila mechi au timu kubwa ni lazima zishinde kwa njia yoyote ile.

Kinachotokea ndiyo football ilivyo, kila kosa unalofanya ni faida kwa mpinzani wako.

Cha msingi kocha apewe watu anaowataka huwezi kuhukumu uwezo wake kupitia kitu kilichojengwa na mtu mwingine.

Alimtaka Gakpo na msimu huu ndiyo anawasha moto hatari, mchezaji naye yupo wazi kujiunga. Uvumilivu ni kitu muhimu sana ukiwa shabiki.
Glory hunters hao. Achana nao.
 
Back
Top Bottom