Yah ni kweli...lakin kinachojengwa ni kipi na huku mambo ni yale yale yanajirudia mechi hadi mechi...ukiangalia mechi za hivi karibuni utd wanastrago sana kufungaMuache kocha ajenge team, kwanza huu msimu sina cha kumdai kocha wala hao wachezaji kwenye EPL labda ueroper huko angalau wafike nusu au fainali.
Umeongea pointi sana...mechi tunazoshinda ni za kinaga ubaga. Kina shaw na dalot wanafika juu wanarudisha mpira kwa CB kisha unazunguka duara tu...hakuna penetration pass yoyote ya kuaminika hakuna chance zinazotengenezwaImprovements gani zipo? Hakuna kitu ushindi tunapata wa ndondokera hamna lolote, mpira tunaocheZa hauna malengo yoyote yaani tunapooza tu mpira wapinzani wakipata mpira ni presha tu hata tukifungwa sawa kitu tunataka kuona ni mpira unachezwa wa kueleweka kama hatuchezi mpira nzuri hata ushindi hauna maana kwetu, naanza kupoteza imani na ETH
Siku Ronaldo akiondoka wengi mtakumbuka aina ya mchezaji tuliyekuwa naye. Striker, goalscorer, GOAT, goal machine. 'No service, no goals.' Old Trafford hata umlete Haaland utaishia kutukana tu tumepigwa.
Mchezaji kama Bruno mnamlaumu bure tu ila naamini influence ya mazingira aliyokutana nayo klabuni yameshusha kiwango chake.
EtH ni kocha atakayerudisha zama zetu, kitu kinachodhihirisha hilo ni kwasababu ameweza kuleta wachezaji wenye manufaa kwa timu yetu. Suala la kusema leo kazingua kufanya sub hiyo ni mitazamo yetu tu, hata yeye ni binadamu anafanya kitu anachoamini na kukosea kupo tu.
"In football you don't deserve, you win or lose."
Mimi nawashangaa sana mashabiki wanaopiga kelele kwanini tumefungwa.Ni kweli...akiwaondoa deadwoods wote labda timu itabadilika tusubiri msimu uishe
Huu bado sana
🤣🤣🤣🤣2 shot on target, 2 goals waki attemp mara zingine tatu mnakula mkono.
Ni fans wachache Sana wanaoona progress ,wengi wapo kuona madhaifu na kutukanaYes itkua huzuni tukikosa but mimi nitakua sina shida hata tukikosa as long as timu itakua imeimprove kwa baadh ya maeneo yaliyotusumbua miaka mingi,hasa kiungo na defence.
#trust the process,ten hag is our messiah
Moja ya mashabiki wa man u mwenye akili Ni wewe, ujenzi wa timu ni process ,Mimi nawashangaa sana mashabiki wanaopiga kelele kwanini tumefungwa.
Hakuna mahali pameandikwa timu zinapaswa kushinda kila mechi au timu kubwa ni lazima zishinde kwa njia yoyote ile.
Kinachotokea ndiyo football ilivyo, kila kosa unalofanya ni faida kwa mpinzani wako.
Cha msingi kocha apewe watu anaowataka huwezi kuhukumu uwezo wake kupitia kitu kilichojengwa na mtu mwingine.
Alimtaka Gakpo na msimu huu ndiyo anawasha moto hatari, mchezaji naye yupo wazi kujiunga. Uvumilivu ni kitu muhimu sana ukiwa shabiki.
Kila kocha atakuwa anakuja anakula kipigo kizito anasingizia wachezaji niliowakuta sio chaguo langu , ooh nipeni misimu miwili au mitatu nijenge timu , 🤗 mnampa fungu ananunua anaowataka , anapambana anaishia kuwa forerunner, msimu unaofata anakula vipigo vya mbwa Koko mpak mnamtimua huku akiwa ametia hasara kuu,Ya
Yah ni kweli...lakin kinachojengwa ni kipi na huku mambo ni yale yale yanajirudia mechi hadi mechi...ukiangalia mechi za hivi karibuni utd wanastrago sana kufunga
Ukifatilia utajua kocha washambuliaji ni Ben Mcarthy msauzi labda shida ndo inaanzia apo!!
Glory hunters hao. Achana nao.Mimi nawashangaa sana mashabiki wanaopiga kelele kwanini tumefungwa.
Hakuna mahali pameandikwa timu zinapaswa kushinda kila mechi au timu kubwa ni lazima zishinde kwa njia yoyote ile.
Kinachotokea ndiyo football ilivyo, kila kosa unalofanya ni faida kwa mpinzani wako.
Cha msingi kocha apewe watu anaowataka huwezi kuhukumu uwezo wake kupitia kitu kilichojengwa na mtu mwingine.
Alimtaka Gakpo na msimu huu ndiyo anawasha moto hatari, mchezaji naye yupo wazi kujiunga. Uvumilivu ni kitu muhimu sana ukiwa shabiki.
Juz apa nmesema man u haija improve kokote shida zilizokuepo enz za mou ndo hzo hzo tunazo leo hii...Utakuwa umeshiba mihogo inakulevya
Service gn nyie mnazitaka ikiwa anapewa mipira anashindwa ku convert kuwa goals... tunampenda ronado ila tukubali tukatae kashamaliza mpira sio ronado yule wa enz zakeSiku Ronaldo akiondoka wengi mtakumbuka aina ya mchezaji tuliyekuwa naye. Striker, goalscorer, GOAT, goal machine. 'No service, no goals.' Old Trafford hata umlete Haaland utaishia kutukana tu tumepigwa.
Mchezaji kama Bruno mnamlaumu bure tu ila naamini influence ya mazingira aliyokutana nayo klabuni yameshusha kiwango chake.
EtH ni kocha atakayerudisha zama zetu, kitu kinachodhihirisha hilo ni kwasababu ameweza kuleta wachezaji wenye manufaa kwa timu yetu. Suala la kusema leo kazingua kufanya sub hiyo ni mitazamo yetu tu, hata yeye ni binadamu anafanya kitu anachoamini na kukosea kupo tu.
"In football you don't deserve, you win or lose."
Hii mechi ilkua muhim sn kushinda kuliko unavozan ili tuweze kupunguza gepu km kwl tunaitaka top four coz chelsea alkua kashafungwa na spurs alkua na kibarua na liver....Mimi nawashangaa sana mashabiki wanaopiga kelele kwanini tumefungwa.
Hakuna mahali pameandikwa timu zinapaswa kushinda kila mechi au timu kubwa ni lazima zishinde kwa njia yoyote ile.
Kinachotokea ndiyo football ilivyo, kila kosa unalofanya ni faida kwa mpinzani wako.
Cha msingi kocha apewe watu anaowataka huwezi kuhukumu uwezo wake kupitia kitu kilichojengwa na mtu mwingine.
Alimtaka Gakpo na msimu huu ndiyo anawasha moto hatari, mchezaji naye yupo wazi kujiunga. Uvumilivu ni kitu muhimu sana ukiwa shabiki.
#Fernandez?..?Mart
Martial na Rashford wote ni wavivu hawapress ata kama vijana...Ronaldo kachoka ndio
Ila hii timu ata Haaland akija atapata sana shida kufunga
We imagine dakika 90 hakuna clear chance yoyote iliyotengenezwa...hakuna cross yoyote iliyopigwa na kuleta taharuki...kona sijui 5 hakuna hata moja yenye matokeo
Goli lenyewe la kujifunga
Hii timu wachezaji kama kumi inabidi waondoke
1. Maguire
2. Lindelof
3. Fred
4. Mc tominay
5. Rashford
6. VDB
7. Elanga
8. Ronaldo
9. Sancho
10. Fernandes
Not good enough