Kitoabu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 11,080
- 12,319
Ninacho kukubali mdogo wangu hauna dachi, kwenye utani unatania kwenye ukwi unaongea.Anataka zimamoto hajui Ni process had timu ianze kucheza kwa kuelewana
Mpira wa bongo umetuharibu Sana,
Mfano Yanga walitakiwa wawekeze Tena kwa kuondoa takataka ,then Baada ya misimu miwili wangecheza hata makund CAF,
Sasa kwakuwa soka la Africa halina project tumezoea kutaka zimamoto ,Basi tunataka na ulaya hivo hivo kitu ambacho sikweli
Kwa Ten hag Kuna mabadiliko Tena hasa defense , hatua kwa hatua atafikia had ushambuliaji .
aliyekosea kuchagua timu ya kushangilia na kwenda kuangukia kule kwenye fungu la kukosa(AsaniAli)


A big double-header awaits for our #MUAcademy sides today...
U18s
Arsenal (11:00 GMT)

