Sijui una hali gani mdaa huu.Leo tunampigaa yulee kengeee mapemaaa tuu..
dah mkuu umewakamata balaa hawa jamaaaMshalowa![]()
Naona unapambana na timu lako.Kwa icho kikosi nilijua tu hapo kati pameoza kabisa sioni tukiludisha pasipo kufanya sub za mapema.
