Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mart
Martial +Rashford upfront>>>>>Ronaldo +Rashford.

Kubali kataa..huo ndo ukweli.

I'm not saying they are good enough ila ni bora kuanza nao kuliko huyu Ronaldo.
Martial na Rashford wote ni wavivu hawapress ata kama vijana...Ronaldo kachoka ndio


Ila hii timu ata Haaland akija atapata sana shida kufunga


We imagine dakika 90 hakuna clear chance yoyote iliyotengenezwa...hakuna cross yoyote iliyopigwa na kuleta taharuki...kona sijui 5 hakuna hata moja yenye matokeo

Goli lenyewe la kujifunga


Hii timu wachezaji kama kumi inabidi waondoke

1. Maguire
2. Lindelof
3. Fred
4. Mc tominay
5. Rashford
6. VDB
7. Elanga
8. Ronaldo
9. Sancho
10. Fernandes

Not good enough
 
Mart

Martial na Rashford wote ni wavivu hawapress ata kama vijana...Ronaldo kachoka ndio


Ila hii timu ata Haaland akija atapata sana shida kufunga


We imagine dakika 90 hakuna clear chance yoyote iliyotengenezwa...hakuna cross yoyote iliyopigwa na kuleta taharuki...kona sijui 5 hakuna hata moja yenye matokeo

Goli lenyewe la kujifunga


Hii timu wachezaji kama kumi inabidi waondoke

1. Maguire
2. Lindelof
3. Fred
4. Mc tominay
5. Rashford
6. VDB
7. Elanga
8. Ronaldo
9. Sancho
10. Fernandes

Not good enough
Halafu ukacheze wewe sio!!??
 
As
Nilivyoona tu kikosi nilijua kitachotokea sijui kwanini kocha kamuacha fred nje dhidi ya DVB.

Ok next game aston villa wanakuja OT Alhamis tutajua wametuotea au mbinu hatuna.
Aston Villa lazima watashinda OT
Man utd bado sana
 
James maddison
Ousmane dembele
Dayot upamecano
Jude bellingham
Youri Tielemans


Kwa nini hatuwaoni!!?? HII TIMU IMEROGWA
 
Halafu ukacheze wewe sio!!??

We jamaa nawe duh

Sasa mimi huku manzese nikacheze uingereza inaezekanaje??

Unajua maana ya mashabiki?
Unajua maana ya washika hisa?

Haya ni maoni ambayo mtu yoyote anayo na anaweza kuyatoa


Ralf Rangnik alishasema wachezaji wa man utd wanahitaji open heart surgery na inabid kufumus timu upya

Hawa wachezaji wana shida nyingi sana na kama ukiangalia mechi nyingi timu pinzani zinacheza vizuri zaid ya man utd katika kila sekta
 
Mart

Martial na Rashford wote ni wavivu hawapress ata kama vijana...Ronaldo kachoka ndio


Ila hii timu ata Haaland akija atapata sana shida kufunga


We imagine dakika 90 hakuna clear chance yoyote iliyotengenezwa...hakuna cross yoyote iliyopigwa na kuleta taharuki...kona sijui 5 hakuna hata moja yenye matokeo

Goli lenyewe la kujifunga


Hii timu wachezaji kama kumi inabidi waondoke

1. Maguire
2. Lindelof
3. Fred
4. Mc tominay
5. Rashford
6. VDB
7. Elanga
8. Ronaldo
9. Sancho
10. Fernandes

Not good enough
Muache kocha ajenge team, kwanza huu msimu sina cha kumdai kocha wala hao wachezaji kwenye EPL labda ueroper huko angalau wafike nusu au fainali.
 
Mart

Martial na Rashford wote ni wavivu hawapress ata kama vijana...Ronaldo kachoka ndio


Ila hii timu ata Haaland akija atapata sana shida kufunga


We imagine dakika 90 hakuna clear chance yoyote iliyotengenezwa...hakuna cross yoyote iliyopigwa na kuleta taharuki...kona sijui 5 hakuna hata moja yenye matokeo

Goli lenyewe la kujifunga


Hii timu wachezaji kama kumi inabidi waondoke

1. Maguire
2. Lindelof
3. Fred
4. Mc tominay
5. Rashford
6. VDB
7. Elanga
8. Ronaldo
9. Sancho
10. Fernandes

Not good enough
Upo sahihi kabisa ila Fernandes muache.
 
IMG_20221106_194250.jpg
 
Yaani unaongea tu! Watu wameajiliwa ofisini mwao we unasema waondoke, kama we ndo muajiri

Hii nchi ngumu sana
Sasa we jamaa unadhani mimi kusema waondoke hapa watanisikiliza huko Ulaya


Acha makasiriko ndugu huu mchezo wakongoman wanakuambia malembe...yaan pole pole...hauhitaji hasira

Hapa ni maoni tu kama mashabiki...na mashabiki wote wana maoni yao.


Mtaalam Ralf Rangnik alishasema hayo wakamfukuza...ila ngoja tuone Carabao wataingiaje
 
Mimi maoni yangu.

Ronaldo sasa ni muda wa kuanzia benchi, hamna anachooffer.

Zile kelele ilitakiwa Ten Haag akaze, hakuna kumpa minutes za kuboroga.

Sasa hivi mentality ya Ronaldo ni afunge approve wrong watu.

Duh! Hamna cha team work tena


Lindelof *****, shenzi sana. Yaani unasindikiza mtu mpaka boksi hata hujaribu kumsukuma au kumfanyia tackle ili apoteze balance?


Lindelof sio beki bora apelekwe CDM awe analisha mipira mirefu mbele.

Kocha nae aache ukuda, awe anaweka watu hitajika siku ya mechi, kina Fred, ikiwa gemu ngumu


Kingine wakuu, nadhani nyie hamkuona ila DE GEA katuchoma leo.

Goli la kwanza, na Freekick, si ni juzi hapa alifanya impressive saves.

Alafu kipa awe anafanyiwa hata rotation kutoa challenges bana
 
Poleni sana Kwa yaliyowakuta mjikazage sio kulia lia sana
 
Back
Top Bottom