Green Beret
JF-Expert Member
- Apr 22, 2022
- 631
- 991
Kwa
Kwa hii safu ya ushambuliaji hawataboiHatuna cha kuogopa mkuu,,, Barcelona sio wazuri kiiivo, enzi za kina xavi iniesta na Messi sio hizi za kina eric Garcia, ,,, Barcelona wanafungika vzr Sana , tusipokuwa na majeruhi wa key players naamini tunatoboa !
Ukuta wa Barcelona umejaa matobo, !!!! Striking force yao ndio kidogo nzuri !