Mnapiga kelele mnataka kuchukua ubingwa na hawa kina Elanga ?
Kocha apewe muda, madirisha walau mawili ,,,,
Kwa Hali ya Chelsea na Spurs Bado naamini tuna nafasi ya kuingia big 4 !
Watu mnamshambulia bruno Mara ooh kashuka kiwango, hafungi sijui assist, jana amekosekana pengo limeonekana ! Jamaa ni mfia timu, timu ikiwa inashambuliwa utamuona anapambana kuzuia, timu ikiwa inashambulia yumo ,,,morali kwa wenzie ? Vdb Ni hewa kabisa !!!! ..
Nilisema hapa mapema kabla ya mechi, Kati ilifaa acheze case na Fred, Ericksen asogee kwenye namba 10!!!
Note! Case na Licha Ni wafia timu, jamaa full kupambana ! Moja ya sajili Bora za utd kwenye miaka ya karibuni !!!!
Anthony Santos ? Tunammiss Sana ! Hopefully soon atarudi !
Trust the process