Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Jamaa ni mzigo ila wanaleta excuse, kuna sehemu angepasia winga alafu aingie ndani akapewa, badala yake anafumua juu, mbona martial alimchopia but hakuna kitu badala yake yupo late.

Tunahitaji aggressive attacker popote ni hatari.
Timu yetu akicheza Ronaldo tunakuwa hovyo kuzidi..

By January atimuliwe..tuingie sokoni kutafuta namba tisa.
 
Hatuna bahati, kwa miaka ya karibuni kila draw lazima tukutane na giant au timu ambayo ipo form na sisi tia maji tia maji tu.

Team za Spain hazijawahi kutuacha salama. Yani vibonde wote wale lakini bado imetokea tupo na Barca.
Hatuna cha kuogopa mkuu,,, Barcelona sio wazuri kiiivo, enzi za kina xavi iniesta na Messi sio hizi za kina eric Garcia, ,,, Barcelona wanafungika vzr Sana , tusipokuwa na majeruhi wa key players naamini tunatoboa !

Ukuta wa Barcelona umejaa matobo, !!!! Striking force yao ndio kidogo nzuri !
 
Dah waafrika Mbona hawaaminiki kiasi hicho
emoji23.png
emoji23.png
..yaan Sisi wenyewe tunajiweka inferior kazi Kweli kweli
Hamna mkuu ndo ukweli wa mambo huo asee
Dah waafrika Mbona hawaaminiki kiasi hicho..yaan Sisi wenyewe tunajiweka inferior kazi Kweli kweli
Hamna mkuu ndo ukweli wa mambo huo asee

Maana ushambuliaji man utd ni hopeless kabisa

Magoli yanatafutwa kwa tochi yaan kama south africa na brazil
 
Kwa
Hatuna cha kuogopa mkuu,,, Barcelona sio wazuri kiiivo, enzi za kina xavi iniesta na Messi sio hizi za kina eric Garcia, ,,, Barcelona wanafungika vzr Sana , tusipokuwa na majeruhi wa key players naamini tunatoboa !

Ukuta wa Barcelona umejaa matobo, !!!! Striking force yao ndio kidogo nzuri !
Kwa hii safu ya ushambuliaji hawataboi
 
Hatuna bahati, kwa miaka ya karibuni kila draw lazima tukutane na giant au timu ambayo ipo form na sisi tia maji tia maji tu.

Team za Spain hazijawahi kutuacha salama. Yani vibonde wote wale lakini bado imetokea tupo na Barca.
Katika timu zote hizo wakicheza na man utd wangeshinda tu


Man utd bado sana kushindana ulaya bado sana


Unaona hii Atletico ilivopigwa uefa lakini man utd ilishindwa kuifunga msimu uliopita


KAZI IPO
 
Hatuna cha kuogopa mkuu,,, Barcelona sio wazuri kiiivo, enzi za kina xavi iniesta na Messi sio hizi za kina eric Garcia, ,,, Barcelona wanafungika vzr Sana , tusipokuwa na majeruhi wa key players naamini tunatoboa !

Ukuta wa Barcelona umejaa matobo, !!!! Striking force yao ndio kidogo nzuri !
Uzuri timu yetu tunaijua, mimi matokeo yoyote sawa tu.
 
Mpaka siku united mtakapofahamu kwamba kusajili sio sawasawa na kuwa na timu bora ndio mtakapoamka usingizini. Kinyume na hapo mtalia siku zote na kufukuza makocha.
Cheki ulivyo mjinga.

Angalia Pep alichofanya na Man City.
 
Cheki ulivyo mjinga.

Angalia Pep alichofanya na Man City.
Hapa umeandika ujinga gani? Pep alivyofika man city alisajili wachezaji wanaofaa kwenye mfumo wake na wala hakutumia fedha kwa pupa.

Man united nyie mkisikia mchezaji ni mzuri mnataka mumsajili hata kama hatakuwa na manufaa kwenu.
 
Ila hawa UEFA siyo wa kuwaamini kabisa, hii draw ni ya mchongo si mnakumbuka msimu uliopita walitengeneza mazingira Ronaldo na Messi wakutane!

Hata hii ya Barca na United imekaa kibiashara maana ndiyo timu zinazoongelewa sana Europa na mashabiki wengi walitamani hii draw. Hata Madrid na Liverpool ni mchongo tu maana ni mechi ina ka-uhasama ndani yake. Bayern na PSG pia mchongo tu walishakutana fainali, wanajua kwenye draw ndiyo njia pekee ya kutengeneza mechi za pesa.
 
Ila hawa UEFA siyo wa kuwaamini kabisa, hii draw ni ya mchongo si mnakumbuka msimu uliopita walitengeneza mazingira Ronaldo na Messi wakutane!

Hata hii ya Barca na United imekaa kibiashara maana ndiyo timu zinazoongelewa sana Europa na mashabiki wengi walitamani hii draw. Hata Madrid na Liverpool ni mchongo tu maana ni mechi ina ka-uhasama ndani yake. Bayern na PSG pia mchongo tu walishakutana fainali, wanajua kwenye draw ndiyo njia pekee ya kutengeneza mechi za pesa.
Ipo wazi Mbona ,Ni zimekaa kibiashara , Man u vs Barca wameona wapige pesa mapema kabisa, asije mmoja akatolewa
 
Back
Top Bottom