Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Utakuwa umeshiba mihogo inakulevya
Juz apa nmesema man u haija improve kokote shida zilizokuepo enz za mou ndo hzo hzo tunazo leo hii...

Kufungua defence line ya wapnzan changamoto kichz pira utatoka kushoto kwa rshford, utarud kwa bruno, then kulia kwa elanga/antony, unarud kwa dalot, then martnez martnez kipa.. hakuna pattern za kutafta magoli

Tunazdiwa ata na kina westham bn
 
Siku Ronaldo akiondoka wengi mtakumbuka aina ya mchezaji tuliyekuwa naye. Striker, goalscorer, GOAT, goal machine. 'No service, no goals.' Old Trafford hata umlete Haaland utaishia kutukana tu tumepigwa.

Mchezaji kama Bruno mnamlaumu bure tu ila naamini influence ya mazingira aliyokutana nayo klabuni yameshusha kiwango chake.

EtH ni kocha atakayerudisha zama zetu, kitu kinachodhihirisha hilo ni kwasababu ameweza kuleta wachezaji wenye manufaa kwa timu yetu. Suala la kusema leo kazingua kufanya sub hiyo ni mitazamo yetu tu, hata yeye ni binadamu anafanya kitu anachoamini na kukosea kupo tu.

"In football you don't deserve, you win or lose."
Service gn nyie mnazitaka ikiwa anapewa mipira anashindwa ku convert kuwa goals... tunampenda ronado ila tukubali tukatae kashamaliza mpira sio ronado yule wa enz zake
 
Mimi nawashangaa sana mashabiki wanaopiga kelele kwanini tumefungwa.

Hakuna mahali pameandikwa timu zinapaswa kushinda kila mechi au timu kubwa ni lazima zishinde kwa njia yoyote ile.

Kinachotokea ndiyo football ilivyo, kila kosa unalofanya ni faida kwa mpinzani wako.

Cha msingi kocha apewe watu anaowataka huwezi kuhukumu uwezo wake kupitia kitu kilichojengwa na mtu mwingine.

Alimtaka Gakpo na msimu huu ndiyo anawasha moto hatari, mchezaji naye yupo wazi kujiunga. Uvumilivu ni kitu muhimu sana ukiwa shabiki.
Hii mechi ilkua muhim sn kushinda kuliko unavozan ili tuweze kupunguza gepu km kwl tunaitaka top four coz chelsea alkua kashafungwa na spurs alkua na kibarua na liver....

Kudondosha points kwmy mech kama hz ndo kultufanya last season tuikose top four na kuponea chupuchupu kwenda uefa conference
 
Mart

Martial na Rashford wote ni wavivu hawapress ata kama vijana...Ronaldo kachoka ndio


Ila hii timu ata Haaland akija atapata sana shida kufunga


We imagine dakika 90 hakuna clear chance yoyote iliyotengenezwa...hakuna cross yoyote iliyopigwa na kuleta taharuki...kona sijui 5 hakuna hata moja yenye matokeo

Goli lenyewe la kujifunga


Hii timu wachezaji kama kumi inabidi waondoke

1. Maguire
2. Lindelof
3. Fred
4. Mc tominay
5. Rashford
6. VDB
7. Elanga
8. Ronaldo
9. Sancho
10. Fernandes

Not good enough
#Fernandez?..?
 
Lisandro Martinez

#GlazerOUT
#GGMU

manutd
IMG_20221106_235412_299.jpg
 
PSV director Brands reveals to ESPN meeting with Manchester United last summer to discuss Cody Gakpo. PSV wanted €50m package. “Man Utd never made an official bid”.

#FabrizioRomano
#GlazerOUT
#GGMU

manutd
IMG_20221106_235735_936.jpg
 
Siku Ronaldo akiondoka wengi mtakumbuka aina ya mchezaji tuliyekuwa naye. Striker, goalscorer, GOAT, goal machine. 'No service, no goals.' Old Trafford hata umlete Haaland utaishia kutukana tu tumepigwa.

Mchezaji kama Bruno mnamlaumu bure tu ila naamini influence ya mazingira aliyokutana nayo klabuni yameshusha kiwango chake.

EtH ni kocha atakayerudisha zama zetu, kitu kinachodhihirisha hilo ni kwasababu ameweza kuleta wachezaji wenye manufaa kwa timu yetu. Suala la kusema leo kazingua kufanya sub hiyo ni mitazamo yetu tu, hata yeye ni binadamu anafanya kitu anachoamini na kukosea kupo tu.

"In football you don't deserve, you win or lose."
Kweli kabisa.
 
Siku Ronaldo akiondoka wengi mtakumbuka aina ya mchezaji tuliyekuwa naye. Striker, goalscorer, GOAT, goal machine. 'No service, no goals.' Old Trafford hata umlete Haaland utaishia kutukana tu tumepigwa.

Mchezaji kama Bruno mnamlaumu bure tu ila naamini influence ya mazingira aliyokutana nayo klabuni yameshusha kiwango chake.

EtH ni kocha atakayerudisha zama zetu, kitu kinachodhihirisha hilo ni kwasababu ameweza kuleta wachezaji wenye manufaa kwa timu yetu. Suala la kusema leo kazingua kufanya sub hiyo ni mitazamo yetu tu, hata yeye ni binadamu anafanya kitu anachoamini na kukosea kupo tu.

"In football you don't deserve, you win or lose."
Mtu anakwambia cr7 anazingua ila ukimuuliza ni forward gn kafanikiwa pale utd baada ya Ferguson hakuna.
 
Umeongea pointi sana...mechi tunazoshinda ni za kinaga ubaga. Kina shaw na dalot wanafika juu wanarudisha mpira kwa CB kisha unazunguka duara tu...hakuna penetration pass yoyote ya kuaminika hakuna chance zinazotengenezwa
Man utd bado sana


Cha kushangaza kila timu ikicheza na Utd inacheza vizuri sana..
Pass za haraka na wanatengeneza chamce nyingi sana...hata Omonia alitupelekesha sana


Anyway labda watabadilika baadhi yao wakiondoka
Yn wachezaji wapo slow mnoo, Shaw anaongoza kupiga back passes, inakera sana.
 
Mimi nawashangaa sana mashabiki wanaopiga kelele kwanini tumefungwa.

Hakuna mahali pameandikwa timu zinapaswa kushinda kila mechi au timu kubwa ni lazima zishinde kwa njia yoyote ile.

Kinachotokea ndiyo football ilivyo, kila kosa unalofanya ni faida kwa mpinzani wako.

Cha msingi kocha apewe watu anaowataka huwezi kuhukumu uwezo wake kupitia kitu kilichojengwa na mtu mwingine.

Alimtaka Gakpo na msimu huu ndiyo anawasha moto hatari, mchezaji naye yupo wazi kujiunga. Uvumilivu ni kitu muhimu sana ukiwa shabiki.
Mashabiki wa yanga na simba hao hawataki timu zifungwe au kutoa sare.....
 
Service gn nyie mnazitaka ikiwa anapewa mipira anashindwa ku convert kuwa goals... tunampenda ronado ila tukubali tukatae kashamaliza mpira sio ronado yule wa enz zake
Hawa watu na Ronaldo wao bana...
 
Mimi nawashangaa sana mashabiki wanaopiga kelele kwanini tumefungwa.

Hakuna mahali pameandikwa timu zinapaswa kushinda kila mechi au timu kubwa ni lazima zishinde kwa njia yoyote ile.

Kinachotokea ndiyo football ilivyo, kila kosa unalofanya ni faida kwa mpinzani wako.

Cha msingi kocha apewe watu anaowataka huwezi kuhukumu uwezo wake kupitia kitu kilichojengwa na mtu mwingine.

Alimtaka Gakpo na msimu huu ndiyo anawasha moto hatari, mchezaji naye yupo wazi kujiunga. Uvumilivu ni kitu muhimu sana ukiwa shabiki.
Njoo ututeembelee kwenye jukwaa letu la arsenal ndugu upo vzuri cyo Flano anatuzngua tu
 
Back
Top Bottom