Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Players Ratings.

#GlazerOUT
#GGMU

manutd
IMG_20221106_235722_407.jpg
 
Siku Ronaldo akiondoka wengi mtakumbuka aina ya mchezaji tuliyekuwa naye. Striker, goalscorer, GOAT, goal machine. 'No service, no goals.' Old Trafford hata umlete Haaland utaishia kutukana tu tumepigwa.

Mchezaji kama Bruno mnamlaumu bure tu ila naamini influence ya mazingira aliyokutana nayo klabuni yameshusha kiwango chake.

EtH ni kocha atakayerudisha zama zetu, kitu kinachodhihirisha hilo ni kwasababu ameweza kuleta wachezaji wenye manufaa kwa timu yetu. Suala la kusema leo kazingua kufanya sub hiyo ni mitazamo yetu tu, hata yeye ni binadamu anafanya kitu anachoamini na kukosea kupo tu.

"In football you don't deserve, you win or lose."
Kweli kabisa.
 
Siku Ronaldo akiondoka wengi mtakumbuka aina ya mchezaji tuliyekuwa naye. Striker, goalscorer, GOAT, goal machine. 'No service, no goals.' Old Trafford hata umlete Haaland utaishia kutukana tu tumepigwa.

Mchezaji kama Bruno mnamlaumu bure tu ila naamini influence ya mazingira aliyokutana nayo klabuni yameshusha kiwango chake.

EtH ni kocha atakayerudisha zama zetu, kitu kinachodhihirisha hilo ni kwasababu ameweza kuleta wachezaji wenye manufaa kwa timu yetu. Suala la kusema leo kazingua kufanya sub hiyo ni mitazamo yetu tu, hata yeye ni binadamu anafanya kitu anachoamini na kukosea kupo tu.

"In football you don't deserve, you win or lose."
Mtu anakwambia cr7 anazingua ila ukimuuliza ni forward gn kafanikiwa pale utd baada ya Ferguson hakuna.
 
Umeongea pointi sana...mechi tunazoshinda ni za kinaga ubaga. Kina shaw na dalot wanafika juu wanarudisha mpira kwa CB kisha unazunguka duara tu...hakuna penetration pass yoyote ya kuaminika hakuna chance zinazotengenezwa
Man utd bado sana


Cha kushangaza kila timu ikicheza na Utd inacheza vizuri sana..
Pass za haraka na wanatengeneza chamce nyingi sana...hata Omonia alitupelekesha sana


Anyway labda watabadilika baadhi yao wakiondoka
Yn wachezaji wapo slow mnoo, Shaw anaongoza kupiga back passes, inakera sana.
 
Mimi nawashangaa sana mashabiki wanaopiga kelele kwanini tumefungwa.

Hakuna mahali pameandikwa timu zinapaswa kushinda kila mechi au timu kubwa ni lazima zishinde kwa njia yoyote ile.

Kinachotokea ndiyo football ilivyo, kila kosa unalofanya ni faida kwa mpinzani wako.

Cha msingi kocha apewe watu anaowataka huwezi kuhukumu uwezo wake kupitia kitu kilichojengwa na mtu mwingine.

Alimtaka Gakpo na msimu huu ndiyo anawasha moto hatari, mchezaji naye yupo wazi kujiunga. Uvumilivu ni kitu muhimu sana ukiwa shabiki.
Mashabiki wa yanga na simba hao hawataki timu zifungwe au kutoa sare.....
 
Service gn nyie mnazitaka ikiwa anapewa mipira anashindwa ku convert kuwa goals... tunampenda ronado ila tukubali tukatae kashamaliza mpira sio ronado yule wa enz zake
Hawa watu na Ronaldo wao bana...
 
Mimi nawashangaa sana mashabiki wanaopiga kelele kwanini tumefungwa.

Hakuna mahali pameandikwa timu zinapaswa kushinda kila mechi au timu kubwa ni lazima zishinde kwa njia yoyote ile.

Kinachotokea ndiyo football ilivyo, kila kosa unalofanya ni faida kwa mpinzani wako.

Cha msingi kocha apewe watu anaowataka huwezi kuhukumu uwezo wake kupitia kitu kilichojengwa na mtu mwingine.

Alimtaka Gakpo na msimu huu ndiyo anawasha moto hatari, mchezaji naye yupo wazi kujiunga. Uvumilivu ni kitu muhimu sana ukiwa shabiki.
Njoo ututeembelee kwenye jukwaa letu la arsenal ndugu upo vzuri cyo Flano anatuzngua tu
 
Ya

Yah ni kweli...lakin kinachojengwa ni kipi na huku mambo ni yale yale yanajirudia mechi hadi mechi...ukiangalia mechi za hivi karibuni utd wanastrago sana kufunga

Ukifatilia utajua kocha washambuliaji ni Ben Mcarthy msauzi labda shida ndo inaanzia apo!!
Dah waafrika Mbona hawaaminiki kiasi hicho..yaan Sisi wenyewe tunajiweka inferior kazi Kweli kweli
 
Mnapiga kelele mnataka kuchukua ubingwa na hawa kina Elanga ?

Kocha apewe muda, madirisha walau mawili ,,,,

Kwa Hali ya Chelsea na Spurs Bado naamini tuna nafasi ya kuingia big 4 !

Watu mnamshambulia bruno Mara ooh kashuka kiwango, hafungi sijui assist, jana amekosekana pengo limeonekana ! Jamaa ni mfia timu, timu ikiwa inashambuliwa utamuona anapambana kuzuia, timu ikiwa inashambulia yumo ,,,morali kwa wenzie ? Vdb Ni hewa kabisa !!!! ..

Nilisema hapa mapema kabla ya mechi, Kati ilifaa acheze case na Fred, Ericksen asogee kwenye namba 10!!!

Note! Case na Licha Ni wafia timu, jamaa full kupambana ! Moja ya sajili Bora za utd kwenye miaka ya karibuni !!!!

Anthony Santos ? Tunammiss Sana ! Hopefully soon atarudi !

Trust the process
 
Mnapiga kelele mnataka kuchukua ubingwa na hawa kina Elanga ?

Kocha apewe muda, madirisha walau mawili ,,,,

Kwa Hali ya Chelsea na Spurs Bado naamini tuna nafasi ya kuingia big 4 !

Watu mnamshambulia bruno Mara ooh kashuka kiwango, hafungi sijui assist, jana amekosekana pengo limeonekana ! Jamaa ni mfia timu, timu ikiwa inashambuliwa utamuona anapambana kuzuia, timu ikiwa inashambulia yumo ,,,morali kwa wenzie ? Vdb Ni hewa kabisa !!!! ..

Nilisema hapa mapema kabla ya mechi, Kati ilifaa acheze case na Fred, Ericksen asogee kwenye namba 10!!!

Note! Case na Licha Ni wafia timu, jamaa full kupambana ! Moja ya sajili Bora za utd kwenye miaka ya karibuni !!!!

Anthony Santos ? Tunammiss Sana ! Hopefully soon atarudi !

Trust the process
Trust the process means to believe in Arteta and Arsenal
 
Ukiskia dunia haina huruma ndio huku sasa......huku kichapo cha villa huko ufutuhini kuna barcenyeto hehehehe stress fc
 
Back
Top Bottom