Juz apa nmesema man u haija improve kokote shida zilizokuepo enz za mou ndo hzo hzo tunazo leo hii...Utakuwa umeshiba mihogo inakulevya
Kufungua defence line ya wapnzan changamoto kichz pira utatoka kushoto kwa rshford, utarud kwa bruno, then kulia kwa elanga/antony, unarud kwa dalot, then martnez martnez kipa.. hakuna pattern za kutafta magoli
Tunazdiwa ata na kina westham bn


