Mkuu umechambua ki jicho la 3 sanaView attachment 2392132
Conte ni mjanja mjanja sana.
Ukiichukulia kauli hii technically utaona Conte anawapa presha Ten Hag na benchi lake kumuanzisha Ronaldo siku ya leo, mtu ambae ni rahisi kumkaba, sio mzuri kwenye possession na kibaya zaidi ha press effectively.
Ten Hag akiingia huu mkenge leo ameyakanyaga. NDOIGE lazima iwahusu!



Fred sio shida sana..mpambanaji sana sana..shida iko pale kwenye namba 2 wetu. Toka ligi imeanza Diogo anaanza tu na ni wa ovyo sana. Nikashangaa kwa nini kila mechi iwe Europa au ligi lazima aanze. Kumbe hatuna beki wa kulia mwingine zaidi yake. Mjinga sana Shaw anapanda huku kushoto anapiga makrosi ya maana. Lenyewe lipo lipo tu kucheza marafu.Aah kmmke fred kaanza![]()
Muda unavyoenda naona unaendelea kuuona ubora wa Fred..na utopolo wa Sancho.Aah kmmke fred kaanza![]()
Freeeeeeeeeeeeed 1-0Muda unavyoenda naona unaendelea kuuona ubora wa Fred..na utopolo wa Sancho.
www.yalla-shoots.com
Huyo maji kupwaaji kujaa mzeeFreeeeeeeeeeeeed 1-0