Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tatizo wachezaji wa man u wote akili yao kwa Ronaldo ,

Anthony angeacha uchawa kwa Ronaldo huenda mannu wangepata goli,

Anaacha kutoa pass kwa wachezaji wenzake WATATU anatoa kwa Ronaldo aliyebanwa na beki


View attachment 2391265
Hili nalo ni Tatzo kubwa.
Wachezaji wamegeuka kuwa machawa wa Ronaldo.
Na mtu wanamfanyia uchawa hana Impact.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo wachezaji wa man u wote akili yao kwa Ronaldo ,

Anthony angeacha uchawa kwa Ronaldo huenda mannu wangepata goli,

Anaacha kutoa pass kwa wachezaji wenzake WATATU anatoa kwa Ronaldo aliyebanwa na beki


View attachment 2391265
Mkitaka kushinda mechi zijazo, ni lazima mmoja aanzie benchi, either Antony au Ronaldo.

Hawa watu sio wa kucheza pamoja. Kwa sababu Antony anamuona Ronaldo kama Godfather wake. Baadhi ya wachambuzi waliwahi kusema kwamba sababu ya Antony kujiunga Utd, ukiacha ukubwa wa timu, ni uwepo wa Ronaldo.

Na sio huyo tu, Ronaldo anawaathiri hata wachezaji wengine.
Edo Kumwembe kaongea vizuri sana leo, ili timu yenu ifanikiwe, Ronaldo lazima aondoke.
 
#GlazerOUT
#GGMU

manutd
IMG_20221019_125759_648.jpg
 
IMG_20221019_191425_822.jpg


Conte ni mjanja mjanja sana.

Ukiichukulia kauli hii technically utaona Conte anawapa presha Ten Hag na benchi lake kumuanzisha Ronaldo siku ya leo, mtu ambae ni rahisi kumkaba, sio mzuri kwenye possession na kibaya zaidi ha press effectively.

Ten Hag akiingia huu mkenge leo ameyakanyaga. NDOIGE lazima iwahusu!
 
View attachment 2392132

Conte ni mjanja mjanja sana.

Ukiichukulia kauli hii technically utaona Conte anawapa presha Ten Hag na benchi lake kumuanzisha Ronaldo siku ya leo, mtu ambae ni rahisi kumkaba, sio mzuri kwenye possession na kibaya zaidi ha press effectively.

Ten Hag akiingia huu mkenge leo ameyakanyaga. NDOIGE lazima iwahusu!
Mkuu umechambua ki jicho la 3 sana

Conte anamvuta Ten katika 18 zake
Unaweza kuona kama anampa heshima cr7 kwa game iliyopita waliyokutana nao
Lakin hiyo ni bonge moja la TRAP
 
Aah kmmke fred kaanza
Fred sio shida sana..mpambanaji sana sana..shida iko pale kwenye namba 2 wetu. Toka ligi imeanza Diogo anaanza tu na ni wa ovyo sana. Nikashangaa kwa nini kila mechi iwe Europa au ligi lazima aanze. Kumbe hatuna beki wa kulia mwingine zaidi yake. Mjinga sana Shaw anapanda huku kushoto anapiga makrosi ya maana. Lenyewe lipo lipo tu kucheza marafu.
 
So far so good,,, tumekuwa na 1st half nzuri Sana ,,,, Hugho kawasaidia sana Spurs,,,, !!!!!


GGMU#
 
Back
Top Bottom