Guacamole
JF-Expert Member
- Mar 19, 2019
- 6,079
- 16,035
Duh!😂😂 utawaua.Mchague leo mtoe sare wikiend mchapwe au sare Tena Au leo mfungwe ,wikiend mtoe sare
Duh!😂😂 utawaua.Mchague leo mtoe sare wikiend mchapwe au sare Tena Au leo mfungwe ,wikiend mtoe sare
Hili nalo ni Tatzo kubwa.Tatizo wachezaji wa man u wote akili yao kwa Ronaldo ,
Anthony angeacha uchawa kwa Ronaldo huenda mannu wangepata goli,
Anaacha kutoa pass kwa wachezaji wenzake WATATU anatoa kwa Ronaldo aliyebanwa na beki
View attachment 2391265











Mkitaka kushinda mechi zijazo, ni lazima mmoja aanzie benchi, either Antony au Ronaldo.Tatizo wachezaji wa man u wote akili yao kwa Ronaldo ,
Anthony angeacha uchawa kwa Ronaldo huenda mannu wangepata goli,
Anaacha kutoa pass kwa wachezaji wenzake WATATU anatoa kwa Ronaldo aliyebanwa na beki
View attachment 2391265
Mkuu umechambua ki jicho la 3 sanaView attachment 2392132
Conte ni mjanja mjanja sana.
Ukiichukulia kauli hii technically utaona Conte anawapa presha Ten Hag na benchi lake kumuanzisha Ronaldo siku ya leo, mtu ambae ni rahisi kumkaba, sio mzuri kwenye possession na kibaya zaidi ha press effectively.
Ten Hag akiingia huu mkenge leo ameyakanyaga. NDOIGE lazima iwahusu!



Fred sio shida sana..mpambanaji sana sana..shida iko pale kwenye namba 2 wetu. Toka ligi imeanza Diogo anaanza tu na ni wa ovyo sana. Nikashangaa kwa nini kila mechi iwe Europa au ligi lazima aanze. Kumbe hatuna beki wa kulia mwingine zaidi yake. Mjinga sana Shaw anapanda huku kushoto anapiga makrosi ya maana. Lenyewe lipo lipo tu kucheza marafu.Aah kmmke fred kaanza![]()
Muda unavyoenda naona unaendelea kuuona ubora wa Fred..na utopolo wa Sancho.Aah kmmke fred kaanza![]()