Mid ya case na Fred was hot
Anthony hakuwa na bahati leo,,,, , he was on fire,,,,,
De gea alikuwa likizo
Bruno wa season ya kwanza naanza kumuona ,,,,
Sancho hakuwa mchezoni, bad day in the office ,,,,
3pnts with a clean sheet!
Aiseee dalot Bado, offensively hayuko POa, pia ana makosa mengi Sana kwenye kudefend,,,, ile Namba ina changamoto sn, sema mwenzie ndo AWB
Sema Ten Hag seems hana masikhara kabisa, haangali jina.Ronaldo anafanya mambo ya kipumbavu kabisa..
January aondoe..
Mbwa vpLeo mkitoboa mbele ya Spurs mniite mbwa nimekaa hapa.
Ulisema tokea muda mechibjana nimeamini kabisa Conte kaisha ..Sijawahi kuamini Kama Conte Ni Kocha mzuri kwa kizazi hiki
Ndio maana anatakaga wachezaji wazuri wamsaidie kwenye individual brilliance
EPL aliyoichukua 2015 Chelsea ,most of managers walikuwa hawajui kumkabili na 3-4-3 yake , baada ya msimu huo ,walimpa kipigo had akatukuzwa Chelsea , aliwahi kula bao 6-0 kwa Pep Guardiola
Conte Ni Tony Pulls anaye demand wachezaji wakubwa, Conte akicheza hata na ndanda atakaa nyuma asubiri individual brilliance za Kane
Now kaua kiwango Cha Son, Richarlson mech 10 goals 0
Bila Harry Kane ,Conte atagombea kushuka daraja
Na asije akafanya masikhara pia kumuongezea hata mmoja hawa wanaomaliza mikataba. Hata waonyeshe ubora kiasi gani msimu huu hii mifuko iende tu. (Rashford, Degea, Fred, Dalot, Jones, Tuanzebe, Ronaldo, Shaw, Heaton)Sema Ten Hag seems hana masikhara kabisa, haangali jina.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
We Mbwa umeamka salama,tunakuandalia mifupa ya Nguruwe na utumbo wa Kuku.Leo mkitoboa mbele ya Spurs mniite mbwa nimekaa hapa.
Umeamkaje leo we jamaaTottenham Leo tutawapiga nyumbu mpka mkimbilie championship
Kane hat trick![]()
Niache nimevurugwa kijana😂😂😂Umeamkaje leo we jamaa
Ligi bado mbichi sana, haya mambo njoo uyazungumze tukiwa mzungo wa pili wa ligi.Ile Trap aliyotega conte ya kumsifia cr7 ili aanzishwe iwe rahisi kumkaba, jana Ten kairuka vizuri tu
Matokeo mliyopata jana
Ni ushindi kwa ARSENAL, technically wazee wetu mnazidi kubariki hiki kikombe cha ligi msimu huu tukibebe
Pongezi za dhati kwa Fred, Nilishawai kumuelezea humu.
Kwamba leo mzima, kesho kichaa anapiga watu mawe
Haaland kiatu
Arsenal ndoo