

GGMUManchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha
Prediction
Man united 2 vs Tottenham 0
Time
4:15 usiku
Stadium
Old trafford
Last match
Man united 3 vs Tottenham 2
View attachment 2391693

mke umetiki.
Hongeren allypipi , Hawa wapuuzi wanakaa nyuma tu
Mid ya case na Fred was hot
Anthony hakuwa na bahati leo,,,, , he was on fire,,,,,
De gea alikuwa likizo
Bruno wa season ya kwanza naanza kumuona ,,,,
Sancho hakuwa mchezoni, bad day in the office ,,,,
3pnts with a clean sheet!
Aiseee dalot Bado, offensively hayuko POa, pia ana makosa mengi Sana kwenye kudefend,,,, ile Namba ina changamoto sn, sema mwenzie ndo AWB
Sema Ten Hag seems hana masikhara kabisa, haangali jina.Ronaldo anafanya mambo ya kipumbavu kabisa..
January aondoe..
Mbwa vpLeo mkitoboa mbele ya Spurs mniite mbwa nimekaa hapa.
Ulisema tokea muda mechibjana nimeamini kabisa Conte kaisha ..Sijawahi kuamini Kama Conte Ni Kocha mzuri kwa kizazi hiki
Ndio maana anatakaga wachezaji wazuri wamsaidie kwenye individual brilliance
EPL aliyoichukua 2015 Chelsea ,most of managers walikuwa hawajui kumkabili na 3-4-3 yake , baada ya msimu huo ,walimpa kipigo had akatukuzwa Chelsea , aliwahi kula bao 6-0 kwa Pep Guardiola
Conte Ni Tony Pulls anaye demand wachezaji wakubwa, Conte akicheza hata na ndanda atakaa nyuma asubiri individual brilliance za Kane
Now kaua kiwango Cha Son, Richarlson mech 10 goals 0
Bila Harry Kane ,Conte atagombea kushuka daraja
Na asije akafanya masikhara pia kumuongezea hata mmoja hawa wanaomaliza mikataba. Hata waonyeshe ubora kiasi gani msimu huu hii mifuko iende tu. (Rashford, Degea, Fred, Dalot, Jones, Tuanzebe, Ronaldo, Shaw, Heaton)Sema Ten Hag seems hana masikhara kabisa, haangali jina.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app