Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mabadiliko sio kitu cha siku moja, na pia yanahitaji subira sana
Man city ametumia muda kidogo kujijenga mpaka pale alipofikia
As well as Liverpool ametumia muda kidogo kukijenga kile kikosi kilichosumbua misimu mitatu nyuma
Sidhani kama CR7 anahitaji kuondoka man u kwa sasa kwani ni aina ya mchezaji mwenye uzoefu wa mafanikio kwenye team,
Kikubwa man u ni kuwa na msimamo na ku focus sehemu tunazokosea ili kuweza kufanya marekebisho,
Hali kadhalika pesa itumike kwa vijana wanaoelewa kandanda na si mafamba yaliozeeka

Mfano man city anakikosi bora sana, kiasi kwamba wachezaji kama sterling na jesus hawana nafasi kwake but wanapata arsenal na chelsea, hii ni kutokana na usajili makini wa vijana wenye uwezo na uwekezaji wake kwa wachezaji
 
Alex Sandro
127666.jpg
 
Kifupi Paul anamaanisha Nini hapa View attachment 2379923
Kwamba Anthony sio tishio, coz anaeleweka style yake
Kwa mantiki hiyo anakabika kirahisi sana

Anthony sio mchezaji wa kuamua matokeo timu inapokutana na upinzani mkubwa

Tukirudi nyuma kidogo
man u playing style yake huwa inategemea sana wingers.
Ambapo ikitokea counter attack either ipigwe 11 au 7
Man u bora awe na kiungo cha kawaida lakini sio kukosa wingers walio bora bora zaidi
Hii tunaita identity or culture

Anthony, rashford, Sancho, elanga, martial
Hawafikii ata nusu ya ubora wa cr7 mzee.
 
CR 7 mnamuua kidogo kidogo mazee mbona mess bado anakiwasha ....haki ya Mungu hatakuja kuwasahau nyie nyumbu kwa kumpotezea na kumfedhehesha kwenye ulimwengu wa soka pamoja na heshima aliyonayo anaenda kucheza na matimu yapo kwenye periodic table of elements , et amonia salphate.....
 
CR 7 mnamuua kidogo kidogo mazee mbona mess bado anakiwasha ....haki ya Mungu hatakuja kuwasahau nyie nyumbu kwa kumpotezea na kumfedhehesha kwenye ulimwengu wa soka pamoja na heshima aliyonayo anaenda kucheza na matimu yapo kwenye periodic table of elements , et amonia salphate.....
Hili jukwaa si la kuendelea Kubaki kama maneno yenu ndiyo haya.

Tutabaki kwenye TV tukiona matokeo na mtakuja kuona majaabu
 
Shida sio kurukaruka, Tatizo ni upatikanaji wa point 3.
Halafu pia acha kumfananisha 10 Hag na vitu vya kijingakijinga.
Pia msilazimishe falsafa zenu na zetu zifanane, nyie tokea kipindi cha Wenger mnajulikana mpira wenu ni Mariamu Biriani (kandanda tamu, rosti rosti kibao ila baada ya dakika 90 mnajikuta mna draw au mmeliwa ndogo)
Man United kipaumbele chetu kwanza ni point 3 muhimu, halafu hayo mengine ndio yanafata.
Sasa nyie Nyani msitake kutulazimisha binaadamu tufanane na nyie.
Nyie endeleeni kurukaruka kwenye miti sisi tupo chini tunawachora tu.
Kama zile 3 mlizochukua kwa city eti eeeeh.....
 
Back
Top Bottom