martial jb
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 864
- 1,463
Mabadiliko sio kitu cha siku moja, na pia yanahitaji subira sana
Man city ametumia muda kidogo kujijenga mpaka pale alipofikia
As well as Liverpool ametumia muda kidogo kukijenga kile kikosi kilichosumbua misimu mitatu nyuma
Sidhani kama CR7 anahitaji kuondoka man u kwa sasa kwani ni aina ya mchezaji mwenye uzoefu wa mafanikio kwenye team,
Kikubwa man u ni kuwa na msimamo na ku focus sehemu tunazokosea ili kuweza kufanya marekebisho,
Hali kadhalika pesa itumike kwa vijana wanaoelewa kandanda na si mafamba yaliozeeka
Mfano man city anakikosi bora sana, kiasi kwamba wachezaji kama sterling na jesus hawana nafasi kwake but wanapata arsenal na chelsea, hii ni kutokana na usajili makini wa vijana wenye uwezo na uwekezaji wake kwa wachezaji
Man city ametumia muda kidogo kujijenga mpaka pale alipofikia
As well as Liverpool ametumia muda kidogo kukijenga kile kikosi kilichosumbua misimu mitatu nyuma
Sidhani kama CR7 anahitaji kuondoka man u kwa sasa kwani ni aina ya mchezaji mwenye uzoefu wa mafanikio kwenye team,
Kikubwa man u ni kuwa na msimamo na ku focus sehemu tunazokosea ili kuweza kufanya marekebisho,
Hali kadhalika pesa itumike kwa vijana wanaoelewa kandanda na si mafamba yaliozeeka
Mfano man city anakikosi bora sana, kiasi kwamba wachezaji kama sterling na jesus hawana nafasi kwake but wanapata arsenal na chelsea, hii ni kutokana na usajili makini wa vijana wenye uwezo na uwekezaji wake kwa wachezaji

