Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,304
- 46,774
Lindelof yupo hapo kwa sababu Varane hayupo..au unataka nani acheze ikiwa VARANE is not available"doubtful"Mosi,Casemiro hana speed ya EPL nimemtazama mara kadhaa sioni akiwa msaada mkubwa msimu huu.
Pili,sijawahi hata mara moja kumwaminiLindelof sijui kwanini kila akiwemo uwanjani nakosa imani.
Tatu wengine nakubaliana na wewe 100%.
