DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,993
- 11,870
HUNA AKILI.Mmezidi asernal mnafanya nini huku mkun.duni kwetu
HUNA AKILI.Mmezidi asernal mnafanya nini huku mkun.duni kwetu
bora umenisaidia kumwambia, anaonekan shogaHUNA AKILI.
Matchday..
GGMU..
My starting XI vs Everton
=======
De Gea
Dalot Lindelof Martinez Shaw
Fred Casemiro Erisken
Antony Martial Rashford
=======
Ronaldo bado sana,
Na hata kama kaisha muache ale pensheni yake pale utd, si lazima kwenda huko
Ni bingwa wa kuwakosoa nyie mnaosema kaisha, anaweza ghafla akawanyima lakuongea
Hata Madrid walihisi kaisha but ilikuwa wrong
Mosi,Casemiro hana speed ya EPL nimemtazama mara kadhaa sioni akiwa msaada mkubwa msimu huu.
Pili,sijawahi hata mara moja kumwaminiLindelof sijui kwanini kila akiwemo uwanjani nakosa imani.
Tatu wengine nakubaliana na wewe 100%.
We ushachezea 6 mara ya pili na haohao sasa Bora Nani?Bora hata sisi tuligusa kanyavu mkuu.View attachment 2380339

Lindelof yupo hapo kwa sababu Varane hayupo..au unataka nani acheze ikiwa VARANE is not available"doubtful"Mosi,Casemiro hana speed ya EPL nimemtazama mara kadhaa sioni akiwa msaada mkubwa msimu huu.
Pili,sijawahi hata mara moja kumwaminiLindelof sijui kwanini kila akiwemo uwanjani nakosa imani.
Tatu wengine nakubaliana na wewe 100%.
Casemiro vurugu za EPL haziwezi.Mosi,Casemiro hana speed ya EPL nimemtazama mara kadhaa sioni akiwa msaada mkubwa msimu huu.
Pili,sijawahi hata mara moja kumwaminiLindelof sijui kwanini kila akiwemo uwanjani nakosa imani.
Tatu wengine nakubaliana na wewe 100%.
Mdogo mdogo atazoeaCasemiro vurugu za EPL haziwezi.