Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Matchday..

GGMU..

My starting XI vs Everton

=======

De Gea

Dalot Lindelof Martinez Shaw

Fred Casemiro Erisken

Antony Martial Rashford

=======

Mosi,Casemiro hana speed ya EPL nimemtazama mara kadhaa sioni akiwa msaada mkubwa msimu huu.
Pili,sijawahi hata mara moja kumwaminiLindelof sijui kwanini kila akiwemo uwanjani nakosa imani.
Tatu wengine nakubaliana na wewe 100%.
 
Ronaldo bado sana,

Na hata kama kaisha muache ale pensheni yake pale utd, si lazima kwenda huko

Ni bingwa wa kuwakosoa nyie mnaosema kaisha, anaweza ghafla akawanyima lakuongea

Hata Madrid walihisi kaisha but ilikuwa wrong

Am talking about age hapa, he is not fast anymore. Si kwamba namkosoa, prime ronaldo na huyu wa sasa ni tofauti kabisa.

Is why nika mention suala la age, si kwa nia mbaya. Ila its natural kuna age ukifika mambo fulani huwezi kufanya
 
Mosi,Casemiro hana speed ya EPL nimemtazama mara kadhaa sioni akiwa msaada mkubwa msimu huu.
Pili,sijawahi hata mara moja kumwaminiLindelof sijui kwanini kila akiwemo uwanjani nakosa imani.
Tatu wengine nakubaliana na wewe 100%.

Lindelof ndio hao hao dead woods.. kiufupi yule hawez badilishwa. Labda aamishiwe kiungo other wise defence bado
 
Mosi,Casemiro hana speed ya EPL nimemtazama mara kadhaa sioni akiwa msaada mkubwa msimu huu.
Pili,sijawahi hata mara moja kumwaminiLindelof sijui kwanini kila akiwemo uwanjani nakosa imani.
Tatu wengine nakubaliana na wewe 100%.
Lindelof yupo hapo kwa sababu Varane hayupo..au unataka nani acheze ikiwa VARANE is not available"doubtful"
 
Kosi la ushindi kabisa.
Screenshot_20221009-190201.jpg
 
Tusiwe na shaka wana man u hilo goli litarudi.. everton 1 man u 0 dk ya 07
 
Mosi,Casemiro hana speed ya EPL nimemtazama mara kadhaa sioni akiwa msaada mkubwa msimu huu.
Pili,sijawahi hata mara moja kumwaminiLindelof sijui kwanini kila akiwemo uwanjani nakosa imani.
Tatu wengine nakubaliana na wewe 100%.
Casemiro vurugu za EPL haziwezi.
 
Back
Top Bottom