Dormant Account
JF-Expert Member
- Apr 5, 2022
- 11,308
- 32,789
Mna uhakika mashabiki wa man u wana nguvu za kiume
Better off rashford kuliko sancho.Hata huyu Anthony Ni swala la muda, tatizo sio magoli, je ana output ya kuwafanya mabeki wamuogope?
Mpira wa kisasa wanaangalia vitu vingi , sio magoli tu
Ikumbukwe Sancho, Martinez na Anthony wote wamesajiliwa kwa shinikizo la mashabikiSancho toka aje ana goli sijui 3. Antony kaja juz anazo mbili tayar.
Sancho ni hasara

Duh RonaldoRashford bado tunamhitaji sana. Well done.
Dadavua kidogo chiefnileteeni anthony martial,
Nasema nileteeni martial.
Mambo ya uchambuzi nawaachia watoto wa leo.
Mimi naamini jicho langu



Ronaldo aende tu Marekani kumaliza mpira.
James maddisonKama tuko serious, january tuchukue huyu kinda
Acheze kama CF au F9
Mpaka sasa mechi 15 ana magoli 12 na assists 10.
View attachment 2379662
Ronaldo bado sana,Sometimes itabidi ukubali umri umeenda. And you cant do ulichokuwa unae fanya 20 yrs back.