Mzee Wa Kazi Chafu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2022
- 2,319
- 5,074
Hivi Man United Huyu Mtu Hawamuoni
Hamna kitu hapo Mzee...we utoke ligi ya uholanzi na zile takwimu utegemee kuja kutamba EPL kwenye high intensity football....achana na viclip vya youtube hvyo Mzeehuyo n km Daniel James aliyechangamka
Anaitaka arsenal huyo
Mzee Leo VP hautupiii mkeka kule.Wewe Wachezaji Wazuri Huwajui.
Hamna mchezaji mule , Hata Sancho mnadai kabadilika ila kila Baada ya mech 5 anacheza vzr mojqWewe Wachezaji Wazuri Huwajui.
Wanaponaje?? kwa sauti ya Tundu lissuUmepanik Sana ,ila hi Ni football tu, haina haja ya kutoa matusi
Ten hagg amepewa £250m dirisha moja ,lakin timu inarukaruka tu,
Ili muanze hata kucheza angalau hata kiwango alichofikia Ole Gunnar inambidi Ten hagg apate madirisha manne na kila dirisha apewe £250m , kifupi atumie £1Billions .
Naona mnatamba kipind Cha pili mlimkamata Pep
Mnashindwa kung'amua Pep tayari alishapata matokeo ambayo kwavyovyote alijua hamuwez kuyarudisha, ana mech ya UCL ,ana majeruhi ,
Mimi Kama mdau wa Epl nataka nione kwa mpira huu wa Ten hagg wa ujanja ujanja akiokota point ngapi hapa
Manchester United's next six fixtures:
Everton (A) - October 9
Newcastle (H) - October 16
Tottenham (H) - October 19
Chelsea (A) - October 22
West Ham (H) - October 30
Aston Villa (A) - November 6










Mzee Leo VP hautupiii mkeka kule.
wanamsubiri camavinga afikishe miaka 31 wamsajili kwa 94£
Hivi sijui ni mimi peke yangu?Kawaida sisi kupokea dozi kama hizi lakini bado amna kinacho badirika kuwa sisi ni timu kubwa ndo maana chawa wamejaa hapa kupiga kelele.View attachment 2377043
Hivi sijui ni mimi peke yangu?
Kila nikiuangalia ule mgoli aliofunga Anthony hua mwili wote unasisimka, zile feelings za ule mgoli zinanifanya hata sihisi kama ile mechi tumepoteza.
Ule mgoli wa Anthony peke yake ulikua unauwezo wa kubalance magoli yote 6 ya City kwenye mizani.
Hata tusingefunga zile goli 2 nyingine mimi binafsi nafsi yangu ilikua imesharidhika.
Hao wote wamefanya kazi mazingira tofauti, wana mikataba tofauti basi ni lazima kunakuwa na sababu za kwanini huyu katimuliwa na huyu kabaki.Unalizungumziaje hili ndg muheshimiwa
Tuchel katumia £250m ,timu ikawa inarukaruka katimuliwa
Bruno lage £140m ,katimuliwa
Steve Cooper wa Northgarm Forrest katumia £150m , Soon atatukuzwa
Bwana Tena Hagg katumia £250m , timu inacheza kwa uviziaji , tunaambiwa anajenga timu
Shida sio kurukaruka, Tatizo ni upatikanaji wa point 3.Unalizungumziaje hili ndg muheshimiwa
Tuchel katumia £250m ,timu ikawa inarukaruka katimuliwa
Bruno lage £140m ,katimuliwa
Steve Cooper wa Northgarm Forrest katumia £150m , Soon atatukuzwa
Bwana Tena Hagg katumia £250m , timu inacheza kwa uviziaji , tunaambiwa anajenga timu
Yaani tunaishi na deniKwahiyo mmerudi kwenye magoli negative 😆😆View attachment 2376608
Asernal wangejua wangekuwa wanakaya kimya. Ninachopendea ten Hag hapendinkucheka na Mtu. Cr7 Kaa pembeni maneno meeengi hakuna. Cha muhimu hakuna kumuogopa MTU ndani nje ya uwanjaShida sio kurukaruka, Tatizo ni upatikanaji wa point 3.
Halafu pia acha kumfananisha 10 Hag na vitu vya kijingakijinga.
Pia msilazimishe falsafa zenu na zetu zifanane, nyie tokea kipindi cha Wenger mnajulikana mpira wenu ni Mariamu Biriani (kandanda tamu, rosti rosti kibao ila baada ya dakika 90 mnajikuta mna draw au mmeliwa ndogo)
Man United kipaumbele chetu kwanza ni point 3 muhimu, halafu hayo mengine ndio yanafata.
Sasa nyie Nyani msitake kutulazimisha binaadamu tufanane na nyie.
Nyie endeleeni kurukaruka kwenye miti sisi tupo chini tunawachora tu.
Hata juz mlivizia mkala 6Shida sio kurukaruka, Tatizo ni upatikanaji wa point 3.
Halafu pia acha kumfananisha 10 Hag na vitu vya kijingakijinga.
Pia msilazimishe falsafa zenu na zetu zifanane, nyie tokea kipindi cha Wenger mnajulikana mpira wenu ni Mariamu Biriani (kandanda tamu, rosti rosti kibao ila baada ya dakika 90 mnajikuta mna draw au mmeliwa ndogo)
Man United kipaumbele chetu kwanza ni point 3 muhimu, halafu hayo mengine ndio yanafata.
Sasa nyie Nyani msitake kutulazimisha binaadamu tufanane na nyie.
Nyie endeleeni kurukaruka kwenye miti sisi tupo chini tunawachora tu.
Ten hagg hakuna Kocha hapoAsernal wangejua wangekuwa wanakaya kimya. Ninachopendea ten Hag hapendinkucheka na Mtu. Cr7 Kaa pembeni maneno meeengi hakuna. Cha muhimu hakuna kumuogopa MTU ndani nje ya uwanja
Hapa tupo football fans, siyo glory hunters.Bado mnaishangilia Manchest6r Unit6d?