Mzee Wa Kazi Chafu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2022
- 2,341
- 5,122
Mzee Leo VP hautupiii mkeka kule.
Baadae Mkuu Saa Moja Na Nusu Naweka Mkeka.
Mzee Leo VP hautupiii mkeka kule.
wanamsubiri camavinga afikishe miaka 31 wamsajili kwa 94£
Hivi sijui ni mimi peke yangu?Kawaida sisi kupokea dozi kama hizi lakini bado amna kinacho badirika kuwa sisi ni timu kubwa ndo maana chawa wamejaa hapa kupiga kelele.View attachment 2377043
Hivi sijui ni mimi peke yangu?
Kila nikiuangalia ule mgoli aliofunga Anthony hua mwili wote unasisimka, zile feelings za ule mgoli zinanifanya hata sihisi kama ile mechi tumepoteza.
Ule mgoli wa Anthony peke yake ulikua unauwezo wa kubalance magoli yote 6 ya City kwenye mizani.
Hata tusingefunga zile goli 2 nyingine mimi binafsi nafsi yangu ilikua imesharidhika.
Hao wote wamefanya kazi mazingira tofauti, wana mikataba tofauti basi ni lazima kunakuwa na sababu za kwanini huyu katimuliwa na huyu kabaki.Unalizungumziaje hili ndg muheshimiwa
Tuchel katumia £250m ,timu ikawa inarukaruka katimuliwa
Bruno lage £140m ,katimuliwa
Steve Cooper wa Northgarm Forrest katumia £150m , Soon atatukuzwa
Bwana Tena Hagg katumia £250m , timu inacheza kwa uviziaji , tunaambiwa anajenga timu
Shida sio kurukaruka, Tatizo ni upatikanaji wa point 3.Unalizungumziaje hili ndg muheshimiwa
Tuchel katumia £250m ,timu ikawa inarukaruka katimuliwa
Bruno lage £140m ,katimuliwa
Steve Cooper wa Northgarm Forrest katumia £150m , Soon atatukuzwa
Bwana Tena Hagg katumia £250m , timu inacheza kwa uviziaji , tunaambiwa anajenga timu
Yaani tunaishi na deniKwahiyo mmerudi kwenye magoli negative 😆😆View attachment 2376608
Asernal wangejua wangekuwa wanakaya kimya. Ninachopendea ten Hag hapendinkucheka na Mtu. Cr7 Kaa pembeni maneno meeengi hakuna. Cha muhimu hakuna kumuogopa MTU ndani nje ya uwanjaShida sio kurukaruka, Tatizo ni upatikanaji wa point 3.
Halafu pia acha kumfananisha 10 Hag na vitu vya kijingakijinga.
Pia msilazimishe falsafa zenu na zetu zifanane, nyie tokea kipindi cha Wenger mnajulikana mpira wenu ni Mariamu Biriani (kandanda tamu, rosti rosti kibao ila baada ya dakika 90 mnajikuta mna draw au mmeliwa ndogo)
Man United kipaumbele chetu kwanza ni point 3 muhimu, halafu hayo mengine ndio yanafata.
Sasa nyie Nyani msitake kutulazimisha binaadamu tufanane na nyie.
Nyie endeleeni kurukaruka kwenye miti sisi tupo chini tunawachora tu.
Hata juz mlivizia mkala 6Shida sio kurukaruka, Tatizo ni upatikanaji wa point 3.
Halafu pia acha kumfananisha 10 Hag na vitu vya kijingakijinga.
Pia msilazimishe falsafa zenu na zetu zifanane, nyie tokea kipindi cha Wenger mnajulikana mpira wenu ni Mariamu Biriani (kandanda tamu, rosti rosti kibao ila baada ya dakika 90 mnajikuta mna draw au mmeliwa ndogo)
Man United kipaumbele chetu kwanza ni point 3 muhimu, halafu hayo mengine ndio yanafata.
Sasa nyie Nyani msitake kutulazimisha binaadamu tufanane na nyie.
Nyie endeleeni kurukaruka kwenye miti sisi tupo chini tunawachora tu.
Ten hagg hakuna Kocha hapoAsernal wangejua wangekuwa wanakaya kimya. Ninachopendea ten Hag hapendinkucheka na Mtu. Cr7 Kaa pembeni maneno meeengi hakuna. Cha muhimu hakuna kumuogopa MTU ndani nje ya uwanja
Hapa tupo football fans, siyo glory hunters.Bado mnaishangilia Manchest6r Unit6d?
BellinghamMnaofuatilia Bundesliga huyu dogo Bellingham ana nini cha kumfanya awe na thamani ya €150m?
Maana naona media za Uingereza washaanza kutengeneza mazingira ya mtu kupigwa. Dortmund nao ndo michezo yao ukichanganya na hizo media wanaanza kutuhusisha sisi na other top clubs.
Nimejaribu kuangalia comps zake sioni cha zaidi kufanya aongelewe hivi.
Wote tunajua England ni wazee wa hype mpaka kwenye timu yao ya taifa. Rejea Bamford, Calvert-Lewin, Ings, Watkins sasa hivi wapo na Toney kuna mashabiki pia wanataka tumsajili, siwaamini kabisa wachezaji wa Kiingereza, nilitaka kumsahau Grealishdaah! tungepigwa tena kama kwa Maguire.



Tulishamuona toka yupo Birmingham mwaka 2020 zikatoka mpaka habari kuwa amepelekwa kutembelea Carrington, mwisho wa siku akatukataa.Hivi Man u hawamwoni huyu Bellingham toka Dortmund?
Daah aisee wangepambana tu watch wamchukue ana kitu halafu ni hard worker sana dogo.Tulishamuona toka yupo Birmingham mwaka 2020 zikatoka mpaka habari kuwa amepelekwa kutembelea Carrington, mwisho wa siku akatukataa.
Sidhani kama tutamsajili United ni moja ya timu mbovu lately kwenye development ya vijana na tayari kuna club kama City zinajisogeza.