Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kumbe
20221006_162811.jpg
 
Ili kubadilisha culture mbaya ya team lazima ubadilishe administration (glazers out) then wachezaji waliozoeleka katika mfumo wa kufail.

Kumbukeni alichofanya Fergie in 80s. Alikuta wachezaji wametengenza ka utamaaduni kwao . Walikuwa na Usharabaro na Viburi pia washazoea kufail na walikuwa wamesha ridhika. Ikabidi mzee awaondoe mmoja mmoja.

Kwa hali yetu hii tunahitaji wafuatao:

1: Keeper mpya. Tupate fresh start, de gea sasa atafute mahala pengine.

2: Beki wa kulia mpya. Dalot is good ila sio good enough, mtaona tu pembeleni.

3: Beki wa kati mpya. Nunua CB kijana anaechipukia mwenye uwezo mkubwa ili ampe challenge varane kwa maana varane huwa ayuko fit 100% per season.

4: Midfield mwenye uwezo mkubwa wa pressing na passing.

5: Striker World Class mwenye kasi na nguvu.

Hatuwezi kuendelea kumtegemea

de gea kama goalie.

eriksen, fred, mc t kama midfield

Ronaldo ndio huyo anaondoka, martial na rashy ndio hao wako inconsistent.

Kama ni uwezo wangu next summer uza de gea, maguire, lindelof, mc t, fred, tuanzebe, spider, van de beek,

Then,

Dalot awe backup RB

martial awe back up striker,

Rashy awe back up winger

Garnacho awe back up winger

Mainoo awe back up central midfield

Zidane awe back up central midfield

Eriksen awe back up attacking midfielder
 
Ili kubadilisha culture mbaya ya team lazima ubadilishe administration (glazers out) then wachezaji waliozoeleka katika mfumo wa kufail.

Kumbukeni alichofanya Fergie in 80s. Alikuta wachezaji wametengenza ka utamaaduni kwao . Walikuwa na Usharabaro na Viburi pia washazoea kufail na walikuwa wamesha ridhika. Ikabidi mzee awaondoe mmoja mmoja.

Kwa hali yetu hii tunahitaji wafuatao:

1: Keeper mpya. Tupate fresh start, de gea sasa atafute mahala pengine.

2: Beki wa kulia mpya. Dalot is good ila sio good enough, mtaona tu pembeleni.

3: Beki wa kati mpya. Nunua CB kijana anaechipukia mwenye uwezo mkubwa ili ampe challenge varane kwa maana varane huwa ayuko fit 100% per season.

4: Midfield mwenye uwezo mkubwa wa pressing na passing.

5: Striker World Class mwenye kasi na nguvu.

Hatuwezi kuendelea kumtegemea

de gea kama goalie.

eriksen, fred, mc t kama midfield

Ronaldo ndio huyo anaondoka, martial na rashy ndio hao wako inconsistent.

Kama ni uwezo wangu next summer uza de gea, maguire, lindelof, mc t, fred, tuanzebe, spider, van de beek,

Then,

Dalot awe backup RB

martial awe back up striker,

Rashy awe back up winger

Garnacho awe back up winger

Mainoo awe back up central midfield

Zidane awe back up central midfield

Eriksen awe back up attacking midfielder
De Gea kama atakubali kuwa backup goalie kwa punguzo la mshahara basi anapaswa kubaki.

Replacement yake inahitajika kwa 100% lakini kumuachia aondoke akiwa moja ya wachezaji walioshinda mataji makubwa katika kikosi pamoja na dedication yake kwa club itakuwa ni kosa kubwa tunalifanya.

Hapo tupate tu kipa mpya, De Gea backup, then tumnunue Dubravka, tumuuze Henderson na Heaton aondoke.
 
Back
Top Bottom