obviousBinafsi naamini hata madai ya Eric Bailly kuhusu upendeleo kwa wachezaji wazawa chini ya Ole.
Martial hajamlalamikia Ole sababu anachezeshwa majeruhi, bali ni kwamba alicheza na majeruhi 20/21 na hakupangwa 21/22. amesema anafeel kama "treachery" hili neno linamaanisha Betrayal of trust kwamba unamuamini mtu lakini hatimizi kile ambacho ulikuwa unakitegemea.Anasema alikuwa anachelazimishwa kucheza huku ana majeraha, then anakuwa victim wa kulaumiwa na mashabiki kwamba hajitumi uwanjani, na OLE hachukui hatua yoyote ya kuelezea ukweli.
obvious
Tuongee kwa ushahidiBinafsi naamini hata madai ya Eric Bailly kuhusu upendeleo kwa wachezaji wazawa chini ya Ole.
Haya keshapewa matango pori, sasa ngj aamini hvyo alafu aone.Erik ten Hag believes Marcus Rashford has the ability to become one of the world’s best. Ten Hag wants Rashford to be Manchester United’s No.1 striker.
#theSun
#GlazerOUT
#GGMU
manutd
Hawa nao hz nyimbo wameimba since I was little boy mpk ss nakaribia kujukuu.No football this weekend but the message is always the same.
#GlazerOUT
#GGMU
manutd View attachment 2353885
Na Martial hajawahi kuwa top player.Martial hajamlalamikia Ole sababu anachezeshwa majeruhi, bali ni kwamba alicheza na majeruhi 20/21 na hakupangwa 21/22. amesema anafeel kama "treachery" hili neno linamaanisha Betrayal of trust kwamba unamuamini mtu lakini hatimizi kile ambacho ulikuwa unakitegemea.
Hakuna top players ambaye hachezi na majeruhi.
Mkuu kwa hao wengine sina shida ila kwa Captain wetu iko dhahiri kabisa alikuwa anapangwa kwa mazoea zaidi na bwana Ole.Tuongee kwa ushahidi
Rashford, Greenwod, Mctominay, Awb, Maguire na shaw hawa ndio waingereza waliokuwa wakicheza mara kwa mara chini ya Ole, nani hakupaswa kucheza? Na nani alipigwa benchi na hawa na alistahili kuanza?
Nimemiss Sana nondo zako....Vipi lakini tunacheza vizuri ama ndio madudu tu?
Msimu ambao Maguire alicheza kwa Mazoea na Baily alikuwa fit ni 2021/22, na ni mechi chache ile ya Leicester ndio nakumbuka, na Hapa ndio ole alikua kikaangoni hakuchukua muda akaondolewa.Mkuu kwa hao wengine sina shida ila kwa Captain wetu iko dhahiri kabisa alikuwa anapangwa kwa mazoea zaidi na bwana Ole.
Kuna kipindi Bailly alikuwa akicheza anaweka performance nzuri sana na matokeo chanya tunapata ila game inayofuata anampisha Maguire.
Na mbaya zaidi Ole alikuwa akicheza nyimbo za pundits wa kiingereza kwa kuonyesha kuwa Maguire anastahili kutafutiwa mtu sahihi wa ku partner naye ili beki iwe imara.
Ni sawa kuwa Bailly anakuaga na makosa yake lakini Maguire alikuwa anafanya makosa mfululizo lakini namba anapata kama kawaida.
EtH ametuonyesha tatizo la defence yetu lilipo.
Ni top player mkuu ila sio World class.Na Martial hajawahi kuwa top player.
Martial said: “For the last two seasons, I have regularly played injured. People don’t know about that. I couldn’t accelerate during the four months of the covid season"Martial hajamlalamikia Ole sababu anachezeshwa majeruhi, bali ni kwamba alicheza na majeruhi 20/21 na hakupangwa 21/22. amesema anafeel kama "treachery" hili neno linamaanisha Betrayal of trust kwamba unamuamini mtu lakini hatimizi kile ambacho ulikuwa unakitegemea.
Hakuna top players ambaye hachezi na majeruhi.