Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

No football this weekend but the message is always the same.

#GlazerOUT
#GGMU

manutd
IMG_20220911_212734_949.jpg
 
Anasema alikuwa anachelazimishwa kucheza huku ana majeraha, then anakuwa victim wa kulaumiwa na mashabiki kwamba hajitumi uwanjani, na OLE hachukui hatua yoyote ya kuelezea ukweli.
Martial hajamlalamikia Ole sababu anachezeshwa majeruhi, bali ni kwamba alicheza na majeruhi 20/21 na hakupangwa 21/22. amesema anafeel kama "treachery" hili neno linamaanisha Betrayal of trust kwamba unamuamini mtu lakini hatimizi kile ambacho ulikuwa unakitegemea.

Hakuna top players ambaye hachezi na majeruhi.
 
Binafsi naamini hata madai ya Eric Bailly kuhusu upendeleo kwa wachezaji wazawa chini ya Ole.
Tuongee kwa ushahidi

Rashford, Greenwod, Mctominay, Awb, Maguire na shaw hawa ndio waingereza waliokuwa wakicheza mara kwa mara chini ya Ole, nani hakupaswa kucheza? Na nani alipigwa benchi na hawa na alistahili kuanza?
 
Martial hajamlalamikia Ole sababu anachezeshwa majeruhi, bali ni kwamba alicheza na majeruhi 20/21 na hakupangwa 21/22. amesema anafeel kama "treachery" hili neno linamaanisha Betrayal of trust kwamba unamuamini mtu lakini hatimizi kile ambacho ulikuwa unakitegemea.

Hakuna top players ambaye hachezi na majeruhi.
Na Martial hajawahi kuwa top player.
 
Tuongee kwa ushahidi

Rashford, Greenwod, Mctominay, Awb, Maguire na shaw hawa ndio waingereza waliokuwa wakicheza mara kwa mara chini ya Ole, nani hakupaswa kucheza? Na nani alipigwa benchi na hawa na alistahili kuanza?
Mkuu kwa hao wengine sina shida ila kwa Captain wetu iko dhahiri kabisa alikuwa anapangwa kwa mazoea zaidi na bwana Ole.
Kuna kipindi Bailly alikuwa akicheza anaweka performance nzuri sana na matokeo chanya tunapata ila game inayofuata anampisha Maguire.
Na mbaya zaidi Ole alikuwa akicheza nyimbo za pundits wa kiingereza kwa kuonyesha kuwa Maguire anastahili kutafutiwa mtu sahihi wa ku partner naye ili beki iwe imara.

Ni sawa kuwa Bailly anakuaga na makosa yake lakini Maguire alikuwa anafanya makosa mfululizo lakini namba anapata kama kawaida.
EtH ametuonyesha tatizo la defence yetu lilipo.
 
Mkuu kwa hao wengine sina shida ila kwa Captain wetu iko dhahiri kabisa alikuwa anapangwa kwa mazoea zaidi na bwana Ole.
Kuna kipindi Bailly alikuwa akicheza anaweka performance nzuri sana na matokeo chanya tunapata ila game inayofuata anampisha Maguire.
Na mbaya zaidi Ole alikuwa akicheza nyimbo za pundits wa kiingereza kwa kuonyesha kuwa Maguire anastahili kutafutiwa mtu sahihi wa ku partner naye ili beki iwe imara.

Ni sawa kuwa Bailly anakuaga na makosa yake lakini Maguire alikuwa anafanya makosa mfululizo lakini namba anapata kama kawaida.
EtH ametuonyesha tatizo la defence yetu lilipo.
Msimu ambao Maguire alicheza kwa Mazoea na Baily alikuwa fit ni 2021/22, na ni mechi chache ile ya Leicester ndio nakumbuka, na Hapa ndio ole alikua kikaangoni hakuchukua muda akaondolewa.

Ila misimu yote miwili Baily majeruhi, amemiss mechi 53 sababu ya Majeuhi baina ya 2019 na 2021, hapo bado sija include mechi ambazo hana Fitness.

Angalia hapa history yake ya majeruhi.
 
Martial hajamlalamikia Ole sababu anachezeshwa majeruhi, bali ni kwamba alicheza na majeruhi 20/21 na hakupangwa 21/22. amesema anafeel kama "treachery" hili neno linamaanisha Betrayal of trust kwamba unamuamini mtu lakini hatimizi kile ambacho ulikuwa unakitegemea.

Hakuna top players ambaye hachezi na majeruhi.
Martial said: “For the last two seasons, I have regularly played injured. People don’t know about that. I couldn’t accelerate during the four months of the covid season"

But Solskjaer told me he needed me, so I played. Given my game, if I cannot accelerate then it becomes very complicated.

“But the coach did not bother to tell the media and obviously I ended up getting injured. I took it very badly. I had a feeling of injustice."
 
Back
Top Bottom