Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kwako wew ile unaona ni penati ya Haki kabisa, bila kusahau penati zetu za Haki tulizonyimwa bila kusahau Jana ten hag akiwa analamikia Ile penati aliyopewa real sociedad kumbuka mpira ulianza kugonga kwenye mguu wa Martinez ukafatia mkono, how possible was that a penalty.
Muosha huoshwa...nyingi mlibebwa hivihivi jumapili Ile mkapata ushindi wa mchongo Leo mnalalamika......goes around,comes around
 
Muosha huoshwa...nyingi mlibebwa hivihivi jumapili Ile mkapata ushindi wa mchongo Leo mnalalamika......goes around,comes around
Jitahidi kuongea facts maana siku zote kwenye ukweli uongo hujitenga, nyie lile goli lenu halikua la Haki kabisa sababu Erikson alichezewa faulo. So wew nijibu bila ushabiki ile kwa Martinez ni penati au sio penati bila kuweka mahaba.
 
Muosha huoshwa...nyingi mlibebwa hivihivi jumapili Ile mkapata ushindi wa mchongo Leo mnalalamika......goes around,comes around
Tulibebwa kivipi nipende tu kusema arsenal mlicheza mpira mzuri lakin bahati haikuwa kwenu.
 
Jitahidi kuongea facts maana siku zote kwenye ukweli uongo hujitenga, nyie lile goli lenu halikua la Haki kabisa sababu Erikson alichezewa faulo. So wew nijibu bila ushabiki ile kwa Martinez ni penati au sio penati bila kuweka mahaba.
Sawa, ila Mimi sikuona serious faul ya kukataa like goli cz ilikuwa very soft maana hakukanyaga SEMA kulikuwa na body contact ambyo ni very normal ktk football ,kamà Ericksen hàtaki kuguswa angecheza PS tu
 
Sawa, ila Mimi sikuona serious faul ya kukataa like goli cz ilikuwa very soft maana hakukanyaga SEMA kulikuwa na body contact ambyo ni very normal ktk football ,kamà Ericksen hàtaki kuguswa angecheza PS tu
Mkuu unavituko kwamba acheze ps😁 aya sawa.
 
Kwa kikosi hiki ushindi mtamu mtamu. Anton atapenda kuendeleza makali. Casamiro, Eriksen na Fred patamu sana hapo. CR7 atatoa onto kucheza Europa, kwamba siyo size yake. Maguire na Linderlof hope watakuwa makini leo.
Sawa
 
Kipofu aliona mwezi mkabahatisha mkatupiga,badi mkaona mmeruuudi
Kumbe hakuna kitu🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom