Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Simama juuu Imba salamu Maria umejaa neema🤣🤣🤣🤣🤣🤣Tulia wewee...
Simama juuu Imba salamu Maria umejaa neema🤣🤣🤣🤣🤣🤣Tulia wewee...
Muosha huoshwa...nyingi mlibebwa hivihivi jumapili Ile mkapata ushindi wa mchongo Leo mnalalamika......Kwako wew ile unaona ni penati ya Haki kabisa, bila kusahau penati zetu za Haki tulizonyimwa bila kusahau Jana ten hag akiwa analamikia Ile penati aliyopewa real sociedad kumbuka mpira ulianza kugonga kwenye mguu wa Martinez ukafatia mkono, how possible was that a penalty.




goes around,comes aroundNi mpira, hakuna ajabu!Lakini mmegongwa![]()
Yaani wewe hata papuchi sijui inafananaje. Sikuelewi

we jamaa bnaNini Mkuu, mtoto wa kike hata aibu Hana lolwe jamaa bna
Kasome alichoandika @painkiller kwenye uzi wenu kuhusu VVD.Kwanini Mkuu?
Jitahidi kuongea facts maana siku zote kwenye ukweli uongo hujitenga, nyie lile goli lenu halikua la Haki kabisa sababu Erikson alichezewa faulo. So wew nijibu bila ushabiki ile kwa Martinez ni penati au sio penati bila kuweka mahaba.Muosha huoshwa...nyingi mlibebwa hivihivi jumapili Ile mkapata ushindi wa mchongo Leo mnalalamika......goes around,comes around
Tulibebwa kivipi nipende tu kusema arsenal mlicheza mpira mzuri lakin bahati haikuwa kwenu.Muosha huoshwa...nyingi mlibebwa hivihivi jumapili Ile mkapata ushindi wa mchongo Leo mnalalamika......goes around,comes around
The same to man unitedTulibebwa kivipi nipende tu kusema arsenal mlicheza mpira mzuri lakin bahati haikuwa kwenu.
Sawa, ila Mimi sikuona serious faul ya kukataa like goli cz ilikuwa very soft maana hakukanyaga SEMA kulikuwa na body contact ambyo ni very normal ktk football ,kamà Ericksen hàtaki kuguswa angecheza PSJitahidi kuongea facts maana siku zote kwenye ukweli uongo hujitenga, nyie lile goli lenu halikua la Haki kabisa sababu Erikson alichezewa faulo. So wew nijibu bila ushabiki ile kwa Martinez ni penati au sio penati bila kuweka mahaba.
tuMkuu unavituko kwamba acheze ps😁 aya sawa.Sawa, ila Mimi sikuona serious faul ya kukataa like goli cz ilikuwa very soft maana hakukanyaga SEMA kulikuwa na body contact ambyo ni very normal ktk football ,kamà Ericksen hàtaki kuguswa angecheza PStu
SawaKwa kikosi hiki ushindi mtamu mtamu. Anton atapenda kuendeleza makali. Casamiro, Eriksen na Fred patamu sana hapo. CR7 atatoa onto kucheza Europa, kwamba siyo size yake. Maguire na Linderlof hope watakuwa makini leo.
Tupo msibani tafadhaliNyie nyumbu kujeni hapa
Msiba wa Malkia hauwahusu.
Mje hapa,hatujasahau Jana Mmepigwa kimoja.
Wamewabandua😂Tupo msibani tafadhali