Marcus Hakuwa majeruhi? Si amecheza Msimu mzima na majeruhi ya Mgongo/bega? Tena ilikuwa wazi kabisa majeruhi yake alikataa kufanyiwa operation akacheza Na Euro
Marcus Rashford is enduring a long-term battle against injury at Manchester United. ESPN's Insider Notebook has the latest.
www.espn.com
Na mkuu ukisoma tu link ya kwanza niliyoweka Ole ana admit Martial anatakiwa kuwa rested ila anamchezesha sababu hana option.
Pia ukisikiliza Chambuzi za Mou kuhusu Tofauti ya World class players na wachezaji wa kawaida ni kwamba wachezaji wanaojielewa wanacheza Maumivu, Si Mou tu hata David Beckham kwenye interview moja alikuwa anasema ikifika katikati ya msimu kariboa kikosi kizima kilikuwa na Majeruhi.
Mpira ni mchezo wa kugusana, lazima kukanyagana na kupasuana ni kawaida, majeruhi mengine ni ya kawaida unapata maumivu unapona ila mengine ndio unakaa nje, na Si kila aina ya majeruhi lazima kocha atoke vyombo vya habari aseme, ni kuwafaidisha wapinzani wetu, hivyo alivyosema inatosha.