D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,633
- 121,022
Jurrien Timber: "Mambo mengi yaliyosemwa hayana ukweli. Kama watu waliposema kuwa Van Gaal aliniambia kuwa nisiende Manchester United, tena yeye aliniambia kuwa pale nitapata namba. Hajawahi kunionya kuhusu hii wala klabu ile."



