Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nilishasema, usiku wa deni haukawii nyie nyumbu.. mkae mkijua leo lazima niwale kichwa!
 
June 2023 wachezaji wafuatao watakuwa out of contract.

1.Rashford

2.Phil Jones

3.Fred

4.Ronaldo

5.Shaw

6.Diogo Dalot

7.Tom Heaton

8.De Gea

And to be honest mimi nitambakisha tu De Gea tena kuwa golikipa namba mbili na kwa mshahara wa chini..wengine wote ningefagilia mbali.

How about you?
Mm De Gea na Fredy only.
 
Fred bado ana Kitu mguuni,,,, !!! Ni box to box mzuri,,, tatzo watu wanaomzunguka wanamuangusha anaonekana kiazi !!!!!

Muangalie akiwa timu ya Brazil utaona potential yake,,, ! Alafu Ni aina flani ya mchezaji ambaye anapambana mpk tone la mwisho,,,,

Hana record za majeruhi,,,,, sio mbaya akawa squad player !!
Nakubaliana na ww kwenye hili
 
Ally pipi

Hi picha imepigwa Leo saa 1 jionView attachment 2345000
Hii picha imepigwa leo saa mbili usiku na huyu ni Arone Ramsey
20220807_171824.jpg
 
Tunawakanda Tena ,hamna timu ya kucheza na Arsenal
Hivi Kuna mchezaji wa nyumbu anaingia kwenye kikos Cha Arsenal kwasasa?

Kesho tunawapigia samba

Na vile mnarukaruka pale Kati ,Xhaka lazima amsalimie degea
Kesho tunaikata bikira
 
My Starting XI vs Arsenal

=======

De Gea

Dalot Varane Martinez Malacia

Casemiro --------McTominay

---------------Eriksen------------

Rashford Fernandes Sancho

========

Rashford kama namba 9 hamna kitu kabisa ni bora ale flank moja then Fernandes acheze false 9.

McTominay amecheza vizuri kiasi recently..nitamwanzisha afanye kazi chafu na Casemiro pale kati..Eriksen juu akitengeneza chances..

=====

GGMU
 
Maguire will be back!!

Hii game inamuhitaji Maguire ingawa hana kasi za kukabiliana na Jesus ila ana uwezo mkubwa wa ku anticipate na kublock penetration passes kutoka kwa viungo wa Arsenal. Pacha yake na Martinez itasaidia.

10hag bring him back.
 
Back
Top Bottom