Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Leo Rashford ni Man of the match, amempokonya Anton hiyo heshima. Goli zote 3 anahusika.
Hata kama sijui soka lakini Erickson anawakaba wenzake.
kwangu mimi MOTM ni ni Eriksen, goli zote 3 ametengeneza yeye akitoa mpira kwenye wakati mgumu na kupeleka mbele, anafanya kazi ya Bruno na Attacker wengine kuwa rahisi sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…