Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kwa jana sikuangalia game ya united kwa utulivu wa kutosha lakini kwa kiasi fulani Mctominay amecheza vyema ukilinganisha na zama za Ole. Na sio hapo tu,tangu game ya Liverpool na Soton dogo ameongeza kujiamini kwenye umiliki wa mpira,anaachia mara moja na anacheza rafu zenye akili kidogo.

Naomba siku ambayo Case atatulia kwenye timu,tuone combo yake na Fred the Red (yaani kuihamishia anchor ya Brazil United). Kwangu mimi hii itawezekana endapo mwenendo wa Bruno utaendelea kuwa wa kubahatisha kama wadau wengi wanavyopiga kelele dhidi yake kwa sasa,hivyo itakuwa mid 3 ya fred,case na eriksen.

Mbali na Maguire,wadau tumemsahau mapema sana the ice man Lindelof. Nilipenda kuona pacha yake na martinez in case varane pancha zikianza kumrudia ili kuwa na uhakika kuwa maguire hatarudi uwanjani hivi karibuni.
Katika defense,martinez ndio kabadilisha kila kitu hivyo nategemea kuona ubora wa lindelof anaouonyesha akiwa na timu yake ya taifa,sweden pindi watakapocheza pamoja.

Kwa game ya jana,sikujua kwanini Eriksen kawa man of the match. Mwenye uelewa anisaidie tafadhali.
Hukuangalia mechi halafu unashangaa ericksen kuwa man of the match unashangaa Sana

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Man chester kwa sasa mpo vizuri. Naamini mtaendeleza ushindi kadri kocha atavyoendelea kuzoea Ligi. Kama mnakumbuka Gadiola alivyokuja Epl alipigwa kipigo heavy na Lescister City mpaka suruali ilitaka kudondoka akachapwa tena Everton kipigo kweli kweli.

So hata ten hang amekaribishwa ipasavyo Epl. Lakini sasa ameanza kuimili Ligi
Kaka endelea kutuombea Mungu atuinue tena.....siku nabeba epl aseee lzm nitoe sadaka ya shukurani kwa baba muumba
 
Manjestaa kesho mukishindwa kula uroda wa ma gaygooners fc aka arse8 aise nitawashusha vyeo. Nategemea kesho muwakate utepe wale watoto.
#CFC💙💙💙
 
Arsenal baba yao Ronaldo tu akisimama pale mbele hakuna Gabriel wala Black sijui Tierney, ni mauchafu yamejaa pale nyuma.

Arsenal wameruhusu magoli mengi sana, eneo ambalo wapo vizuri ni kwenye ushambuliaji na hili tatizo ni kuwawekea Casemiro na Fred halafu nyuma ya hao watu kama kawaida The Butcher na Champions League Varane.

Arsenal anapasuka siyo chini ya magoli matatu.

Umewaza kama mimi mkuu. Hii mechi inatakiwa Fred na Casemiro waanze pamoja, mbele yao acheze Eriksen au Bruno.
Tuwe na ulinzi shirikishi. Arsenal wapo fast wakati wa kushambulia, so aggressiveness ya Casemiro, Martinez na Fred inahitajika kwenye hii mechi.
Sitashangaa akianza Mc Tomminay tena, maana inaonekana kocha anamuelewa.
 
Kuna matajiri na wahuni

-------
The original budget outlined in May, as Ten Hag took the reins, was £120m.

There is always some elasticity given the unpredictability of the markets, but the gear shift to a figure nearly twice because it came after a disastrous start to the campaign

Laurie whitwell
 
Mechi za mchana.

Fulham 2 Liva 2
Wolves 0 Totte 1
South 0 Man Utd 1
Everton 0 Liverpool 0

Mechi ijayo ya mchana

14:30 Fulham ? vs Chelsea?
Una nn Mkuu

Angalia tu Kwa ufupi.
Screenshot_20220903-181719.jpg

Halafu Angalia na Hii unayosumbua nayo. Hapa hatujafungia makaburi. Ya Man united 8: asernal 2
Screenshot_20220903-181527.jpg
 
Skizeni nyie manjestaa ..kesho pigeni zile magaygooners fc acheni ushamba wale watoto wakifurukuta kesho nitawaona nyie mapimbi. .
Pigeni zile ma gay arse8 TenHag hatotuangusha..
Kila la kheri manyumbu.
 
June 2023 wachezaji wafuatao watakuwa out of contract.

1.Rashford

2.Phil Jones

3.Fred

4.Ronaldo

5.Shaw

6.Diogo Dalot

7.Tom Heaton

8.De Gea

And to be honest mimi nitambakisha tu De Gea tena kuwa golikipa namba mbili na kwa mshahara wa chini..wengine wote ningefagilia mbali.

How about you?
Freddy

Daloti

Hao watu tufikilie mara mbili mbili kama tunataka tuwaache.

Hao watu beseni wanabebea majukumu, kiufupi ni watu wabadi.
Waendelee kubaki tu.
 
Back
Top Bottom