Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Unadhani kocha anafurahia kumpanga Elanga? Hakuna anayejivunia kuwa na kikosi kama kile ila ndiyo wachezaji tulionao. Acheze nani sasa?
Fred, Elanga, Mctomy, Maguire, na Rashford wote hao chini ETH hawatokuwa na namba. Kocha anayajua matatizo ya man u ukiacha uongozi pia kuna wachezaji co wakuchezea timu kubwa kama utd, ni kweli ni wazuri ila co world class players, hawawezi pressure ya timu kubwa ndiyo maana unaona wanazingua. Hao level yao ni Arsenal, Tottenham, Aston villa na the likes of that.
 
Martinez ni mfupi sana, hafai kua beki wa kati maana mipira ya juu hawezi kuizuia.

Huyo Martinez mwenyewe sasa
Screenshot_20220902_114208.jpg
 
Back
Top Bottom