Ata timu iliyo tufunga 4 huijui..kaa kimyaaWakati mnakula 4 o'clock Kwa Brighton huyo Ronado hakuwepo?Muandae na ambulance za kutosha hapo
Kwa timu gani mliyonayo? Unapigwa kama umesimama.Arsenal mnaojipitisha humu, screen shot table kabla ya jumapili ili mtunze kumbukumbu kwamba mliongoza ligi.
ERAS COME TO AN END

Wewe kwa beki gani uliyo nayo?Kwa timu gani mliyonayo? Unapigwa kama umesimama.![]()
Hawa ni failure.com
imebidi tu nicheke... Avengers???![]()
Malacia yuko vizur anajua kumiliki mpira shaw yeye mbio tuIla kiukweli na kimpira shaw anamzid malacia.
Babu dua gani tena hilo?Huyu jamaa mimi natamani hata avunjwe tu miguu ijulikane moja![]()
Unadhani kocha anafurahia kumpanga Elanga? Hakuna anayejivunia kuwa na kikosi kama kile ila ndiyo wachezaji tulionao. Acheze nani sasa?Huyo Fred nae ni Mchezaji WA kujivunia kweli ?
Kweli Manchester tumeflop
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Sio kweli kabisa hata kocha ungekuwa wewe huwezi kumuweka benchi Malacia the modern left back ukampanga Shaw muingereza, jibu lako tu ni kwamba angalia kwa sasa mashambulizi yanapitia wapi.Ila kiukweli na kimpira shaw anamzid malacia.
Fred, Elanga, Mctomy, Maguire, na Rashford wote hao chini ETH hawatokuwa na namba. Kocha anayajua matatizo ya man u ukiacha uongozi pia kuna wachezaji co wakuchezea timu kubwa kama utd, ni kweli ni wazuri ila co world class players, hawawezi pressure ya timu kubwa ndiyo maana unaona wanazingua. Hao level yao ni Arsenal, Tottenham, Aston villa na the likes of that.Unadhani kocha anafurahia kumpanga Elanga? Hakuna anayejivunia kuwa na kikosi kama kile ila ndiyo wachezaji tulionao. Acheze nani sasa?
Kume jana tumeokoa pointi 3?
Kibosi basi.
Kituo kinacho fuata si Arsenal jamani?
Hamuamini macho yenu kwamba utd imerudi, mm nilipoona mechi za kwanza kwanza tumefungwa nikaona tu huu ni mwanzo mzuri kwa kocha mpya.Hiyo jumapili mtapoteana mapema humu kwa huu ushindi wenu wa papatu papatu
Tunatunza risitiHamuamini macho yenu kwamba utd imerudi, mm nilipoona mechi za kwanza kwanza tumefungwa nikaona tu huu ni mwanzo mzuri kwa kocha mpya.
Hoja makiniHamuamini macho yenu kwamba utd imerudi, mm nilipoona mechi za kwanza kwanza tumefungwa nikaona tu huu ni mwanzo mzuri kwa kocha mpya.
Mtamkataa mapema sana huyo jamaa yenu mpya.Hamuamini macho yenu kwamba utd imerudi, mm nilipoona mechi za kwanza kwanza tumefungwa nikaona tu huu ni mwanzo mzuri kwa kocha mpya.