Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wenye nyumba wamekimbia? SUNDERLAND 2 - 1 MANCHESTER UNITED.
Hali ni mbaya sana. Mechi ya 3 mfululizo Manchester United wanapoteza kwa 2-1. Duuh!:tea:
Duuh game ya jana sikuiona hivi ilikuwaje maana watu walikuwa hawatak wa wachezee OT kwamba wakichezea OT wanapakatwa vip na mechi ya jana walichezea OT??
 
Umesema wachezaji wengi ni 30+ yrs?

Vipi hawa:Fellain- Smalling-Fabio-Rafael-Rooney-Kagawa-Januzaj-Tom Cleverly-Zaha-Dan Welbeck-Nani-De Gea-Chicharito-John Evans? Mbona timu zote zina wachezaji wenye umri unaozidi miaka 30? Tatizo la Manchester Utd ni kocha.
Kocha anahitaji muda, wachezaji wengi ni 30+yrs huu ulikuwa ni muda wa kutengeneza kikosi kipya kwa hiyo ingekuwa tabu kwa kocha yeyote yule. Lakini ligi bado haijaisha
 
hii ni kali sana from MUFC twitter account.

The first leg of the other Capital One Cup semi-final tie, between Manchester City and West Ham, will be played at the Etihad this evening.
 
daaaah let give them a break banaaaaa

The first leg of the other Capital One Cup semi-final tie, between Manchester City and West Ham, will be played at the Etihad this evening.
 

Attachments

  • wp_ss_20140108_0001.png
    wp_ss_20140108_0001.png
    17.1 KB · Views: 71
Usipanic plsssss....nakufahamu kupitia posts zako....sihitaji kukuona kwa appearance ndio nijue umechanganyikiwa. Posts tu zinaonyesha ulivyochanganyikiwa. Pole lakini...sisi ngoja tuendelee kukucheka!!!!

Haya bana.....

Naona sh*z* limepata mja**aji.....

Twende sasa #ManUnited
 
na tuatendelea kusikitika mpk moyes na benchi lake la ufundi lisilojitambua litakapooondoka

Kuanzia sasa sina imani tena na kocha David Moyes, natangaza rasmi kuacha kuangalia mechi za timu yangu ya Man Utd hadi hapo huyu mvimba macho atakapotimuliwa.

Kwa kiwango kinachoonyeshwa na timu uwanjani ni wazi kuwa Moyes hana uwezo wa kuifundisha timu yetu ya Man Utd, yeye alizoea kushikilia nafasi za saba hadi kumi ndiyo maana unaona timu yetu imehamia hapo wakati hata everton tu wako juu yetu.

Utakuwa ni zaidi ya uendawazimu kuendelea kumpa muda zaidi Moyes wakati ameonyesha dhahiri kuwa timu ya Man Utd ni kubwa sana kwake na hana uwezo wowote wa kuitoa hapo alipoifikisha.
 
Kuanzia sasa sina imani tena na kocha David Moyes, natangaza rasmi kuacha kuangalia mechi za timu yangu ya Man Utd hadi hapo huyu mvimba macho atakapotimuliwa.

Kwa kiwango kinachoonyeshwa na timu uwanjani ni wazi kuwa Moyes hana uwezo wa kuifundisha timu yetu ya Man Utd, yeye alizoea kushikilia nafasi za saba hadi kumi ndiyo maana unaona timu yetu imehamia hapo wakati hata everton tu wako juu yetu.

Utakuwa ni zaidi ya uendawazimu kuendelea kumpa muda zaidi Moyes wakati ameonyesha dhahiri kuwa timu ya Man Utd ni kubwa sana kwake na hana uwezo wowote wa kuitoa hapo alipoifikisha.

Chifu, don't be a quitter!

I know you can do better than that!

You got to stick with supporting and trusting the manager. He needs supporters' support now more than it will ever be!

The league hasn't ended; he has been the manager for just 6 months. It is unfair to judge him now. Moreover, it isn't United's tradition to chase away managers.

As I have said, he has inherited an average squad. I know people might be trolling on me about the statement. But it is lucid that SAF was a football genius, some called him fooball wizard. He had the 'magic' to make Smalling' play like Cannavaro or Baresi; the 'magic' to make Cleverley play like Guardiola. SAF had such magic; no coach in the world could be compared to him in that aspect. David has his own 'magic' and talents. He needs time to implement his talents by rebuilding the team.

It is funny that some pundits in UK are thinking SAF was somehow 'smart' to retire now as he knew his dynasty was almost declining. He had to retire to avoid mediocrity.

With what DM managed to accomplish at Everton with very limited financial powers, I believe he will do better at United. His philosophies (especially on trusting and believing on young talented players) match United's.

So, let's give him time and support.

Glory Glory Manchester United
 
Back
Top Bottom