Wenye nyumba wamekimbia? SUNDERLAND 2 - 1 MANCHESTER UNITED.
Hali ni mbaya sana. Mechi ya 3 mfululizo Manchester United wanapoteza kwa 2-1. Duuh!:tea:
Hali ni mbaya sana. Mechi ya 3 mfululizo Manchester United wanapoteza kwa 2-1. Duuh!:tea:
Duuh game ya jana sikuiona hivi ilikuwaje maana watu walikuwa hawatak wa wachezee OT kwamba wakichezea OT wanapakatwa vip na mechi ya jana walichezea OT??