Makubaliano binafsi Antony na sisi tayari wamebaki Ajax kukubali ofa ya pili ikitumwa. Hawa ndio aina ya wachezaji tunapaswa kusajili mwenye hamu ya kuja kucheza United.Sema tusiende kichwa kichwa...Ajax wanataka €100m..kitu ambacho naona sio..tuende nao taratibu ili dogo aje kwa dau ya chini ya hapo ili pia tumwondolee pressure.
Hahahaa we Jamaa sio vizuri kuongea ukweli.Naunga mkono hoja.
Arsenal ni kama baiskeli ya barafu juani, ikikupita iache tu, utaikuta mbele ime yeyuka.
Binafsi sijaelewa nini kafanya paka dirisha linafungwa. Timu haina technicians kwa build up phase na idea yake ni kuplay out from the back, De gea, Varane, Bissaka, Lindelof are so weak with the ball, unadhani mtacheza long kick paka msimu unaisha?Yap it will take time kujenga timu but lazima u-balance process ya kujenga team na kupata matokeo ,one positive things ni kocha kuwa-motivate players kupambana na kurudisha confidence ya wachezaji kuamini wanaweza kupata positive results regardless wanaipataje .Jana bado tuliona makosa ya Rashford,Elanga,Bruno,Mctominay cha msingi waliamini wanaweza kupambana na walipata matokeo.
Jinsi Lisandro anavyojitoa uwanjani ndivyo Captain anapaswa kucheza.[emoji445]Oooooohhh[emoji445]
[emoji445]Lisandro f..ucking magic[emoji445]
[emoji445]He wears a magic hat[emoji445]
[emoji445]And when he saw Old Trafford he said I fancy that[emoji445]
[emoji445]He nearly signed for Arsenal but snubbed them cause they are shi.t[emoji445]
[emoji445]He signed for Man United cause we are f..ucking dynamite[emoji445]
Jisongi hilo kwa ajili ya mwanetu Licha
Mkuu Bruno jana amecheza vizuri sana.Alikuwa anazingua Sana kuwatumia wachezaji walioflop akiamini yeye atawarudisha kwenye form
Hawa akina maguire, Ronaldo, shaw, macfred, rashford na Bruno ni kuwapiga bench then ingiza wachezaji wako mwenyewe then wakishakaa bench wataanza kurudi mmoja mmoja baada ya kujifunza. Create your own TEAM.
Hata yule donny nashangaa kwanini hamtumii wakati ni mchezaji anayemjua vizuri kabisa
Tupo slow sana kuwaondoa flops wetu..Jinsi Lisandro anavyojitoa uwanjani ndivyo Captain anapaswa kucheza.
Lile li-engereza likienda Chelsea inabidi Lisandro apewe kile kitambaa.
Hawa wajinga wapo kama 10 hivi wanamaliza mikataba yao mwezi wa 6 mwakani wote wanapaswa kuondoka hata wakicheza vizuri kiasi gani msimu huu wametudhalilisha msimu uliopita.Tupo slow sana kuwaondoa flops wetu..
Mtu kama Maguire ni wakuondosha kikosini chapchap..kuendelea nao ni yaleyale ya kujitafutia ugumu kuwa-offload kama ilivyo kwa Phil Jones.
Apewe hata sasa.Jinsi Lisandro anavyojitoa uwanjani ndivyo Captain anapaswa kucheza.
Lile li-engereza likienda Chelsea inabidi Lisandro apewe kile kitambaa.
Bodi ilikataa Phil Jones kuuzwa. Na juzi ilikataa ofa ya Chelsea ya kumchukua Maguire.Hawa wajinga wapo kama 10 hivi wanamaliza mikataba yao mwezi wa 6 mwakani wote wanapaswa kuondoka hata wakicheza vizuri kiasi gani msimu huu wametudhalilisha msimu uliopita.
Mf. Rshford jana kafunga goli zuri ila bado inapaswa aondoke kwenye sura mpya United. Luke Shaw, Degea, Jones, Ronaldo, Fred, Dalot, Chong, Tuanzebe sioni haja ya kuendelea kubaki na hawa wachezaji. Ten Hag akijiloga kumpa hata mmoja mkataba tutaendelea na makapi yale yale ya hovyo.
Tena sanaa.Mkuu Bruno jana amecheza vizuri sana.
Yes ila aache kujiangusha angusha kijinga jinga,na kupoteza muda bila sababu.Mkuu Bruno jana amecheza vizuri sana.
Vipi Bado hatujacheza na LiverKuku!!!?Mi nataka mkamilishe huu usajili mapema ili acheze mechi na Liverpool tuone kituko mlichoongeza kwenye timu yenu.
Yani hii timu wamiliki, wachezaji, kocha na mashabiki wote akili zao ni za ovyo sana.. mlipiga kelele kwa wadhamini sasa mmepulizwa mmeletewa DM mliekuwa mnamtaka, nina uhakika baada ya jumatatu mtataka wadhamini waondoke tena!
Hii timu hakuna wa kuiokoa hata awepo nani.. mpaka mjue mlipokosea. Timu yenu ni ya kufa tu kwa miaka 30, mtake msitake.. NIPO PALE!
Vipi mkuu. .... Matokeo yalikuwajeHii united imeyolegealegea Kama mlenda ,hivi unaweza kumuweka mbele ya wanaume Kama Newcastle akatoboa [emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
United wanacheza kivivu ,wamelege ,hawana Kasi ,nguvu hawana,mfumo ndio zero ,subili utawaona kesho ,hawana mchezaji yeyote katiri golin ambaye yupo tayari kuacha mguu uwanjan ili timu ifunge [emoji23][emoji23][emoji23].....
Unaishi naye??2 years bila football...huyu Greenwood atakuwa the same kweli??
Unateseka ukiwa wapi kim nanaNyie kenge mmeshaanza kuwa na maneno maneno humu
Wkend sio mbali
Alichofanya Bruno baada ya goli la Salah ndiyo captain anapaswa kuwa na tabia kama zile. Liverpool baada ya goli la kusawazisha walishaanza ku-gain momentum na ambacho kilikuwa kinatokea ni ku-press zaidi kwasababu goli lingine linawahakikishia alama.Yes ila aache kujiangusha angusha kijinga jinga,na kupoteza muda bila sababu.
Mfano ile ya kung'ang'aniana mpira baada ya goli ya salah ni uf*****ing.
Sunk cost fallacy. Wanaamini wamewekeza fedha nyingi hawako tayari kukubali kula hasara.Bodi ilikataa Phil Jones kuuzwa. Na juzi ilikataa ofa ya Chelsea ya kumchukua Maguire.
Kuna maamuzi kocha anaamuliwa na bodi.