Mateso ni makali sana lazima uchanganyikiweKipya kipya ? Tatizo mmeanza kuangalia mpira baada ya kikwete kuingia madarakan
Mm hiyo mech nabet Leo mapema kabisa Nampa man u
Man u hii mbovu, muulize Chelsea amemfunga lini mara ya mwisho, man u ya ole ,Pep kachezea vipigo kilaini kabisa
Kipi kipya sasa





na kuandika fake hope 



Ten hag akianza ukorofi na ile kipara yake atateseka sana, labda awe anavaa helmet la sivyo atachezea nakoz za kichwa mpaka akili itamkaa sawa.Okay japo namuona kaisha Sana Hana speed ileee.
Enda
Jamani Leo nimependa fight ya tuchel na conte.
Imemaliza machungu yangu ya Mimi man utd dam dam. Nataka kocha awe mkorofi inaweza ikasaidia. Namuombea Eric ten hag awe mkorofi
fake hope gani wakati @hamisi77 ni shabiki wa Arsenal.Mateso ni makali sana lazima uchanganyikiwena kuandika fake hope
![]()
na kweli ni mashine siunaona inavyokoboa wachezaji tena hadi teammates inapita nao hata haijali.Kumbukizi kidogoView attachment 2324529
Iyo hela kawape yatima uthesabiwa na MunguMpira haupo hivo, sitashangaa man u akishinda hiyo game
Tena nitambetia kabisa , najua atakuwa na odd mlima
Ata angeanza kipindi na marehemu sio la maana sanaKipya kipya ? Tatizo mmeanza kuangalia mpira baada ya kikwete kuingia madarakan
Mm hiyo mech nabet Leo mapema kabisa Nampa man u
Man u hii mbovu, muulize Chelsea amemfunga lini mara ya mwisho, man u ya ole ,Pep kachezea vipigo kilaini kabisa
Kipi kipya sasa
itakuwa biashara nzuri sana kumuuza james garner kwa paundi millioni 15 kwenda juu.Fab anasema tumeamua kumuuza James Garner 😂 Mctominay yupo sana, huyu ETH anaaibisha wenye vipara kwakweli
Mkuu ile timuuu leo hata yanga anaichapaaa vizurii tu hamna timu hapaaaKwaio mmeliwa kimasihara au planned?
Mkuu umewahi angalia akicheza huyu bwana mdogo hata match 1 tu dk zote 90? Hiyo hela amini inatoka kwa vile dogo ana potential kubwa sana mbeleni.. kingine nikuulize ni overrated au sisi ndo tume fail ku unlock hizi potential za hawa vijana rejea kina Januzaj n.k?itakuwa biashara nzuri sana kumuuza james garner kwa paundi millioni 15 kwenda juu.
james ni overrated