Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hadi tunaitwa wapumbavu asee.
Huyo jamaa atagharimu morale ya timu ikiwa hizi taarifa zinaenea alafu wachezaji wanaziona, ukute mchezaji kajituma alafu unakuta anayechukua pesa ndefu analeta ujinga na ukosefu wa heshima na hafanywi kitu.


Siku hizi ukute Ronaldo anataka afunge bila kujali hali ya timu ili kutuprove wrong, kwa hiyo sisi tunalalamika hafungi au tunalalamika anapoteza timu kuweza kuchukua Ushindi with consistency. Sio kila yeye afunge, tunapoteza muda mwingi kumpa mipira afunge wakati tukitanguliwa goli ndio imeisha hivyo.

Jamaa asepe tulete watu wa kazi kila mchezaji ajisikie kuitumikia kuleta ushindi, sio kila mchezaji akijaribu kufunga akose mara utasikia Angempasia Ronaldo, Madogo wana Dharau hawamheshimu Ronaldo, sasa kwa lawama hizo tutakua na timu inayojituma kweli?

Yaani hata Confidence ya Bruno kwenye penalty ishaisha, now akikosa utasikia Angempa Ronaldo what the f*ck?

Kama vipi Ronaldo aje kusaidiana na Maguire kwenye Ulinzi.


Maana kila kitu yeye.

Matatizo ni mengi ila tunaweza amsha moto kukiwa na morale ya kueleweka.

Morale ikifa kila mchezaji ni takataka.
Hi timu pia itagharimu Sana morale ya Ronaldo.
Mwenzenu kashasema anataka kuondoka, ninyi mmemng'ang'ania, Sasa lawama za Nini?
Mwacheni aondoke!
Hata demu asiyekutaka, ukimng'ang'ania, tegemea performance mbovu na vituko vya kila aina.
 
Hi timu pia itagharimu Sana morale ya Ronaldo.
Mwenzenu kashasema anataka kuondoka, ninyi mmemng'ang'ania, Sasa lawama za Nini?
Mwacheni aondoke!
Hata demu asiyekutaka, ukimng'ang'ania, tegemea performance mbovu na vituko vya kila aina.
Kwani ni sisi tunamng'ang'ania au ni wamiliki mafala?

Hata yeye akiondoka anaondoka hakuna wa kumzuia kwani haoni anajidhalilisha
 
Kwani ni sisi tunamng'ang'ania au ni wamiliki mafala?

Hata yeye akiondoka anaondoka hakuna wa kumzuia kwani haoni anajidhalilisha
Usijichanganye!
Anaondokaje wakati anang'ang'aniwa.
Kama Ni kudhalilika Ronaldo anadhaliliahwa na hao wanaomng'ang'ania.
Hivyo hao ndo wanaoshusha morale ya Ronaldo,
Wamwache aondoke.
Sio swala la kumlaumu Ronaldo,wakati yeye pia amewekwa kwenye wakati mgumu.!
Nyie wengine tulieni tu, wenye timu wanaamua.
 
Kweli wakati ukuta, Ronaldo amefikia hatua ya kukataliwa na team karibia zote.

Hakuna atakayesalia chini ya jua, Mungu kweli ametuweza.
 
mi hua napenda tu kuwazingua halafu mnajaa upepo.
Ila msimu huu mko vizuri kinoma mpaka tunawaonea wivu.
Ila Arsenal ni Arsenal tu hata ikipewa kikosi kizima cha Manchester City bado itashindwa kuchukua kombe lolote la maana.
Tuombe uhai tu mjomba
 
Kweli wakati ukuta, Ronaldo amefikia hatua ya kukataliwa na team karibia zote.

Hakuna atakayesalia chini ya jua, Mungu kweli ametuweza.
Messi kaamua kutulia na kustaaf kiheshima hana maneno maneno wala nn
 
Messi kaamua kutulia na kustaaf kiheshima hana maneno maneno wala nn
Ronaldo lazima kichwa kiume mwenzake yupo timu ambayo ina uhakika wa kombe kila msimu na ina kikosi ambacho kina nafasi kubwa kubeba UCL.

Messi akitulia kule Ligue 1 ataweka rekodi nyingi sana. Ronaldo anajua mpaka sasa kaingia cha kike kurudi Old Trafford.

New challenge imekuwa challenge kweli halafu anataka kukimbia.
 
mufc are in talks with Tom Huddlestone over a role at the club where he will be playing with the U21 team.

At age 35, he will be allowed to play as an over-aged player in PL2 matches, with clubs allowed five over-aged outfield players and one goalkeeper.
 
Back
Top Bottom