OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,931
- 25,245
Unamuuza Pogba unamleta eriksen mgonjwa yule ..akifia uwanjani utamlaumu nani 😂😂😂🤣🤣🤣
Wasamehe mwambaaUko Europa Napo mutashikwa shikwa Hadi mfike kikeleni😂😂😂🤣🤣🤣
Acha tuwape za uso maana prisezon walitusumbua Sana ..walifika atua ya kudai kombe wakati ligi bado ijaanza.Wasamehe mwambaa
Wee jamaa una shombo SanaUpo Simba halafu upo manjestaa Yani unapigwa mtungo hahahaha pote pote mbele na nyuma panalika tu hahaha![]()

Structure ya united unaielewa lakini???Hivi ni kweli glazer ndo tatizo pale united??
Mbona kama ni hela wamemwaga sana.
Wote hawa tumenunua kwa bei za kutisha.
Maguire
Pogba
Sancho
Shaw
Martinez
Mbona kama ni hela maboss wame mwaga sana pale united maana kazi ya maboss ni kumwaga hela kwa kumwaga hela sisi ni wa pili pale EPL nyuma ya city.
Mimi sioni kama maboss wana tatizo kwenye swala la kumwaga mpunga wametoa hela nyingi sana mpaka tulivunja record ya dunia kwa pogba lakini amna kinacho change.
Tatizo la United linaweza kuwa kubwa kuliko tunavyoona.
Kwaiyo tujiandae tu ndugu zangu ushabiki ni kupenda kitu hata na kwenye shida sio raha tu.
Tukubali tu saizi tumekuwa kama Everton tu tunashiriki ligi ili tufuzu Uefa tu.
Biashara ikishindwa mmiliki ndiyo kashindwa. Yeye anamamlaka ya kushughulika na yeyote anayekwamisha project. Kwa kutilia kwake na kutoa tu vihela haitoshi. Glazers out! Waachie timu.Hivi ni kweli glazer ndo tatizo pale united??
Mbona kama ni hela wamemwaga sana.
Wote hawa tumenunua kwa bei za kutisha.
Maguire
Pogba
Sancho
Shaw
Martinez
Mbona kama ni hela maboss wame mwaga sana pale united maana kazi ya maboss ni kumwaga hela kwa kumwaga hela sisi ni wa pili pale EPL nyuma ya city.
Mimi sioni kama maboss wana tatizo kwenye swala la kumwaga mpunga wametoa hela nyingi sana mpaka tulivunja record ya dunia kwa pogba lakini amna kinacho change.
Tatizo la United linaweza kuwa kubwa kuliko tunavyoona.
Kwaiyo tujiandae tu ndugu zangu ushabiki ni kupenda kitu hata na kwenye shida sio raha tu.
Tukubali tu saizi tumekuwa kama Everton tu tunashiriki ligi ili tufuzu Uefa tu.
Glazers ni moja ya matatizo ya United. Pesa yote unayoona inanunua wachezaji ni pesa inayotokana na mapato ya timu. On top of that Glazers waliinunua United baada ya kuchukua mkopo na deni lake wakalihamishia kwenye timu. Bado wakaona haitoshi wakaiweka Manchester United kwenye soko la hisa la NYSE, miezi michache nyuma walichukua gawio lao wakaweka mfukoni.Hivi ni kweli glazer ndo tatizo pale united??
Mbona kama ni hela wamemwaga sana.
Wote hawa tumenunua kwa bei za kutisha.
Maguire
Pogba
Sancho
Shaw
Martinez
Mbona kama ni hela maboss wame mwaga sana pale united maana kazi ya maboss ni kumwaga hela kwa kumwaga hela sisi ni wa pili pale EPL nyuma ya city.
Mimi sioni kama maboss wana tatizo kwenye swala la kumwaga mpunga wametoa hela nyingi sana mpaka tulivunja record ya dunia kwa pogba lakini amna kinacho change.
Tatizo la United linaweza kuwa kubwa kuliko tunavyoona.
Kwaiyo tujiandae tu ndugu zangu ushabiki ni kupenda kitu hata na kwenye shida sio raha tu.
Tukubali tu saizi tumekuwa kama Everton tu tunashiriki ligi ili tufuzu Uefa tu.
Timu ipi yenye mafanikio haijawahi kuyumba baada ya kuondokewa na watu wake muhimu hebu nitajie, Ac Milan? Madrid? Barcelona? Bayern Munich? Liverpool? Au timu gn?Timu zenye proper structure haziyumbi kienyeji.
SAF ndo alikuwa structure ya United. Aliondoka akabaki ED anayeamua kila kitu.
Timu ipi yenye mafanikio haijawahi kuyumba baada ya kuondokewa na watu wake muhimu hebu nitajie, Ac Milan? Madrid? Barcelona? Bayern Munich? Liverpool? Au timu gn?