hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,285
- 26,683
TEN HAG MAPEMA TU ANAWEZA KUJICHANGANYA
Yaani man u inaacha kumsajiri Anatovic kisa kelele za Mashabiki?
Yaan imefikia hatua timu inaendeshwa kwa kelele za Mashabiki na sio Tactic za mwalimu ? Mbona ten hag mapema Sana anakubal huu ujinga
Kocha ameona Anatovic kwa profile zake atamsaidia kwenye ushambuliaji , gafla anaacha kumsajiri kisa kelele za kina allypipi
Kaz ipo
Yaani man u inaacha kumsajiri Anatovic kisa kelele za Mashabiki?
Yaan imefikia hatua timu inaendeshwa kwa kelele za Mashabiki na sio Tactic za mwalimu ? Mbona ten hag mapema Sana anakubal huu ujinga
Kocha ameona Anatovic kwa profile zake atamsaidia kwenye ushambuliaji , gafla anaacha kumsajiri kisa kelele za kina allypipi
Kaz ipo

