Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

TEN HAG MAPEMA TU ANAWEZA KUJICHANGANYA

Yaani man u inaacha kumsajiri Anatovic kisa kelele za Mashabiki?

Yaan imefikia hatua timu inaendeshwa kwa kelele za Mashabiki na sio Tactic za mwalimu ? Mbona ten hag mapema Sana anakubal huu ujinga

Kocha ameona Anatovic kwa profile zake atamsaidia kwenye ushambuliaji , gafla anaacha kumsajiri kisa kelele za kina allypipi

Kaz ipo
 
TEN HAG MAPEMA TU ANAWEZA KUJICHANGANYA

Yaani man u inaacha kumsajiri Anatovic kisa kelele za Mashabiki?

Yaan imefikia hatua timu inaendeshwa kwa kelele za Mashabiki na sio Tactic za mwalimu ? Mbona ten hag mapema Sana anakubal huu ujinga

Kocha ameona Anatovic kwa profile zake atamsaidia kwenye ushambuliaji , gafla anaacha kumsajiri kisa kelele za kina allypipi

Kaz ipo
Mkuu mimi wapi nimesema arnautovic mbovu mkuu kushikana mashati huku.
 
Duh unaota wewe mdada
we nadhani umezaliwa na wafira.naji sababu hauwezi muita mwanamme dada, lazima baba ako alishafumuliwa fumuliwa na mashemeji zake, so unadhani kila mwanamme ni kama baba ako.
 
Dah yani nashangaa fans wenzangu mnavyo lalamika yani hivi mlitegemea nini cha ajabu man u tutafanya msimu huu.

Yani kocha hata mechi 10 ajamaliza kelele mbona tulikubalia humu kuwa msimu huu tusitarajie makubwa mmekuwaje hivi.

Hivi mnajua mki panic mashabiki mna mpa kocha nae pressure ya kufanya nae a panic.

Mimi kama allypipi kwangu kwenda big 4 au kushinda ueropa naona ndo yatakuwa mafanikio makubwa kwetu msimu huu hakuna jipya.

Nakushauri tu kama una tegemea makubwa kutoka kwa Manchester united msimu huu bora uache kufatilia mpira tu Mpaka pale utaposikia mambo yapo sawa.

hata Ac milan wamekaa muda lakini wamevumilia msimu ulio kwisha wametwaa taji.

Inabidi tu tukubali kwamba kwa sasa hatuna uwezo huo wakujilinganisha na liver,city

Tuvumilie tu ndo timu yetu.
sio kutegemea kitu ila hata usajili tu hawa watu wanazingua de jong anaeza kwenda chelsea hukubali bado kwamba hawa jamaa wamefeli
 
Na huyu mnaweza kumkosa , bakini na kina MCFRED😂😂😂😂

🚨 Adrien Rabiot's transfer to Manchester United is currently blocked, there is still no agreement between Man United and the player.🇫🇷🔴 #MUFC

(@DiMarzio🌕 via @utdreport)
 
we nadhani umezaliwa na wafira.naji sababu hauwezi muita mwanamme dada, lazima baba ako alishafumuliwa fumuliwa na mashemeji zake, so unadhani kila mwanamme ni kama baba ako.
Unatoa siri za marehemu baba ako
 
Back
Top Bottom