mkorea
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 8,582
- 19,226
Hivi ule ubishi wa kipuuzi ronaldo copy (original ni delima) na messi lapulga, uliokua unakuzwa na mashabik wa man u.
Bado upo/unaendelea?
Nikiwarudisha nyuma, moja kati ya sababu mlizokua mnapa cr7
yeye ni jeshi la mtu mmoja
Mbona nyumbani hali ni mbaya hataki kuonesha uo ujeshi wake?
Anacheza team yeyote,
Mbona ataki kubaki hapa hapa sasa. Mbaya zaidi hakuna anayemhangaikia kwa sasa
Anapenda challenge
Niambie sasa, challenge za hapa nyumbani ashazimaliza?
Messi ata sasa hivi akikaa sokoni kuna vilabu vingi sana vitamuhitaji
Akiwepo real Madrid, atletico, timu kubwa zote za EPL
Series A, timu kubwa zote
Bado upo/unaendelea?
Nikiwarudisha nyuma, moja kati ya sababu mlizokua mnapa cr7
yeye ni jeshi la mtu mmoja
Mbona nyumbani hali ni mbaya hataki kuonesha uo ujeshi wake?
Anacheza team yeyote,
Mbona ataki kubaki hapa hapa sasa. Mbaya zaidi hakuna anayemhangaikia kwa sasa
Anapenda challenge
Niambie sasa, challenge za hapa nyumbani ashazimaliza?
Messi ata sasa hivi akikaa sokoni kuna vilabu vingi sana vitamuhitaji
Akiwepo real Madrid, atletico, timu kubwa zote za EPL
Series A, timu kubwa zote

