Ila usikimbie tu uzi baadaeMuda wa kupata furaha yani nasikia tu kelele tu hapa mafans wanamzuka kwerikweri wa mechiView attachment 2317104
We nae tupitie misimu miwili ya tanuli la moto, akati sisi wenyewe tumekuwa ndio tanuri la moto lenyewe misimu ya kutosha.Hiki ndicho kitu watu wengi humu hawakielewi. Wana matarajio ya ajabu kweli kweli, lazima tukubali kupitia misimu miwili ya tanuli la moto.
Sasa hivi naona juu kule ktk bodi wameanza kugundua ni zaidi ya pesa inayohitajika ili kujenga timu nzuri. Unahitaji watu sahihi kwanza kabla ya kuanza kutumia pesa.
Leta takwimu za msimu uliopita kulinganisha na huyo messi,huu ubishi hapa uliishafungwa, labda kama unataka kuurudisha, tumeishakubaliana huyu Ronaldo was sasa hamna kitu.



I do not compare people. I have a well established brain capability to evaluate anything and anyone based on merit.Tuurudie angalau kwa wiki moja tu mkuu
Ata tukirudi nyuma
Cr7 yule japo alikua vizuri,
Messi acheni aitwe messi, ule uwezo sio wa kawaida katika uso wa dunia
Mlikua mnatuambia cr7 kacheza ligi ngumu EPL
Kwani timu kubwa za EPL hazitambui tabu za messi?
Tukianza na nyumbu wenyewe![]()