Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hivi ule ubishi wa kipuuzi ronaldo copy (original ni delima) na messi lapulga, uliokua unakuzwa na mashabik wa man u.
Bado upo/unaendelea?

Nikiwarudisha nyuma, moja kati ya sababu mlizokua mnapa cr7

yeye ni jeshi la mtu mmoja
Mbona nyumbani hali ni mbaya hataki kuonesha uo ujeshi wake?

Anacheza team yeyote,
Mbona ataki kubaki hapa hapa sasa. Mbaya zaidi hakuna anayemhangaikia kwa sasa

Anapenda challenge
Niambie sasa, challenge za hapa nyumbani ashazimaliza?

Messi ata sasa hivi akikaa sokoni kuna vilabu vingi sana vitamuhitaji
Akiwepo real Madrid, atletico, timu kubwa zote za EPL
Series A, timu kubwa zote
 
Hivi ule ubishi wa kipuuzi ronaldo copy (original ni delima) na messi lapulga, uliokua unakuzwa na mashabik wa man u.
Bado upo/unaendelea?

Nikiwarudisha nyuma, moja kati ya sababu mlizokua mnapa cr7

yeye ni jeshi la mtu mmoja
Mbona nyumbani hali ni mbaya hataki kuonesha uo ujeshi wake?

Anacheza team yeyote,
Mbona ataki kubaki hapa hapa sasa. Mbaya zaidi hakuna anayemhangaikia kwa sasa

Anapenda challenge
Niambie sasa, challenge za hapa nyumbani ashazimaliza?

Messi ata sasa hivi akikaa sokoni kuna vilabu vingi sana vitamuhitaji
Akiwepo real Madrid, atletico, timu kubwa zote za EPL
Series A, timu kubwa zote
huu ubishi hapa uliishafungwa, labda kama unataka kuurudisha, tumeishakubaliana huyu Ronaldo was sasa hamna kitu.
 
huu ubishi hapa uliishafungwa, labda kama unataka kuurudisha, tumeishakubaliana huyu Ronaldo was sasa hamna kitu.
Tuurudie angalau kwa wiki moja tu mkuu

Ata tukirudi nyuma
Cr7 yule japo alikua vizuri,
Messi acheni aitwe messi, ule uwezo sio wa kawaida katika uso wa dunia

Mlikua mnatuambia cr7 kacheza ligi ngumu EPL
Kwani timu kubwa za EPL hazitambui tabu za messi?
Tukianza na nyumbu wenyewe
 
Rooney: "United wanatakiwa kumuacha Cristiano Ronaldo aondoke. Sio kwasababu Ronaldo hawezi kucheza kwenye timu ya Ten Hag, hapana anaweza kucheza kwenye timu yeyote lakini United bado hawapo tayari kupigania kombe lolote kwa sasa."

Rooney: "Lengo la sasa ni kujenga timu ambayo itaweza kushinda makombe miaka mitatu, minne baadae. United wanatakiwa kusajili No9 ambae atakuwepo hapo kwa miaka michache baadae ambaye atawasaidia kujenga timu." #MUFC

Maneno ya Rooney hayo Ronaldo kwakweli tukienda nae huu msimu tena tutegemehe ya msimu uliopita.
 
9C26A04C-99A9-4903-8D9F-4104610A2526.jpeg
 
Hiki ndicho kitu watu wengi humu hawakielewi. Wana matarajio ya ajabu kweli kweli, lazima tukubali kupitia misimu miwili ya tanuli la moto.

Sasa hivi naona juu kule ktk bodi wameanza kugundua ni zaidi ya pesa inayohitajika ili kujenga timu nzuri. Unahitaji watu sahihi kwanza kabla ya kuanza kutumia pesa.
We nae tupitie misimu miwili ya tanuli la moto, akati sisi wenyewe tumekuwa ndio tanuri la moto lenyewe misimu ya kutosha.

Umeanza kushabikia manchester united mwaka gani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
New season new hopes,,,,,

Guys hii timu iko na uozo mwingi,,,, !!!! Tumpe muda ETH ajenge timu, asajili wachezaji wanaoendana na mfumo wake ,,,,

Huu msimu kuingia top four hio Ni Kama reward kwetu,,,, !!!! Kuna magalasa mengi Sana ya kuyaondoa ,,,,

So mwana utd usitegemee muujiza kwenye huu msimu,,,, !!!!!

All the best kwetu,,, ! Tukumbuke ETH alisema asipopata right player anaemuhitaji atatumia Hawa Hawa waliopo, means atawa_transform! Let's see !!!


#glory glory Mufc
 
Back
Top Bottom