


I do not compare people. I have a well established brain capability to evaluate anything and anyone based on merit.Tuurudie angalau kwa wiki moja tu mkuu
Ata tukirudi nyuma
Cr7 yule japo alikua vizuri,
Messi acheni aitwe messi, ule uwezo sio wa kawaida katika uso wa dunia
Mlikua mnatuambia cr7 kacheza ligi ngumu EPL
Kwani timu kubwa za EPL hazitambui tabu za messi?
Tukianza na nyumbu wenyewe![]()
He has been put where he belong.Ronaldo mbona kanuna
Kwa ule mshahara wa Sanchez, huwa simlaumu kabisa kufail.. kati ya upuuzi kuwahi kufanywa na Woodward hii ilikuwa balaaMkuu Hakuna usajili wa kindezi nakumbuka kama ule wa Alex suchez.
Mshahara wa 500,000 maanina kabisa.
Kwa Hali hii iliyojitokeza, hata huyo de jong naaende tu




Yani sioni namba 6 kama yupo umo ndaniMctominay Brighton tu hapati namba
Ukitoka hapa uje kwenye jukwaa la arsenal kupiga domoYani sioni namba 6 kama yupo umo ndani
Mchukueni mtenje albano wa coast unionYani sioni namba 6 kama yupo umo ndani