Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tutegemee performance nzuri regardless ya matokeo. Kikosi kilichoanza watu wote wana work rate kubwa, hamna ambaye atategea
 
Tuurudie angalau kwa wiki moja tu mkuu

Ata tukirudi nyuma
Cr7 yule japo alikua vizuri,
Messi acheni aitwe messi, ule uwezo sio wa kawaida katika uso wa dunia

Mlikua mnatuambia cr7 kacheza ligi ngumu EPL
Kwani timu kubwa za EPL hazitambui tabu za messi?
Tukianza na nyumbu wenyewe
I do not compare people. I have a well established brain capability to evaluate anything and anyone based on merit.
 
Mkuu Hakuna usajili wa kindezi nakumbuka kama ule wa Alex suchez.

Mshahara wa 500,000 maanina kabisa.

Kwa Hali hii iliyojitokeza, hata huyo de jong naaende tu
Kwa ule mshahara wa Sanchez, huwa simlaumu kabisa kufail.. kati ya upuuzi kuwahi kufanywa na Woodward hii ilikuwa balaa
 
Back
Top Bottom