Alubati
JF-Expert Member
- May 29, 2016
- 6,867
- 15,825
Huyo maguire sijui wa nini aseeHuu msimu kuna kushuka daraja, kwa kiungo cha Mctominay na beki ya Maguire kule nyuma, hakuna mahali team itaenda hii
Hahahahaha pakiti pakitiYani sioni namba 6 kama yupo umo ndani
Inama vizuriTunapelekewa moto
Nilipata kusema[emoji115]Brighton hii lakini mtakalishwa vizuri tu
Kibaya zaidi weakness zenu zipo waziwazi
😄😄😄😄😄[emoji599]BREAKING
Klabu ya Manchester United imejiondoa kwenye michuano ya ligi kuu ya England [emoji1022] (EPL).