The common belief is adding a 20 goal scorer to a team that doesn't have a goal scorer will add goals. Rarely is that actually the case, because changing a piece can often change the entire puzzle
kwestthoughts.substack.com
Tactically kuhusu Ronaldo,
Uzi mzuri sana
Yaani huyu jamaa kamaliza.
Hii itawasaidia wengi sana humu kuelewa kwanini huwa nasema kwamba Ronaldo ndo alisababishwa tufungwe magoli mengi.
1. Nimekuwa natumia neno "collectively", ukijumlisha magoli waliyofunga Cavan, Rashford, Martial and Mjelajela mwaka 20/21 haifikii magoli waliyoyafunga wote hao plus Ronaldo na Sancho 21/22 KWA SABABU YA RONALDO.
2. Kaselfish kale kalimualibia Mjelajela Pozi kwa kumlalamikia eti hampi pasi, Mjelajela was right. Kenyewe tu muda wote wamecheza pamoja kampassia ONCE wakati mjelajela alikapasia SIX TIMES (kwa mujibu wa jamaa).
3. Now evidence kwamba kajamaa kaliisha isha ila kalikuwa kanaforce mambo, tena na hii iwafikie wote wanaodai eti kajamaa kameangushwa na wenzake, haka kajamaa bwana ni hapa Man U ndio kamekuwa na GOALS PER SHOTS RATES NDOGO KATIKA MIAKA MITANO ILIYOISHA.
Nakumbuka wakati kanakuja watu ohooo Goals rate yake ni 1:3 wapiiiiii
4. Kajamaa ni kashetani kabisa, yaani kamtu kamoja kanavuruga morale na performance of an entire attaching force, yaani nikikumbuka vile msimu uliopita Rashford, Mjelajela na Martial walivyojitengezea ka group ka wafunga magoli mengi collectively kwenye ligi alafu eti mpaka Martial akatolewa kwa mkopo haka kajamaa nisije kutana nako gizani
5. Yaani kalipofika Everyone was like supposed to resign from any intention of scoring goals, yaani ni kama vile kufunga ni haki yake ya kuzaliwa, whitish baboon. Magoli yenyewe ni yale ya kuivuta timu kwenda chini badala ya kwenda juu.