lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,361
- 25,456
Manure?Top four yangu
1. Liverpoool
2. Chelsea
3. Man City
4. Spurs
5 & 6 wanaweza kugombaniana kati ya Arsenal, Newcastle na West Ham
Manure?Top four yangu
1. Liverpoool
2. Chelsea
3. Man City
4. Spurs
5 & 6 wanaweza kugombaniana kati ya Arsenal, Newcastle na West Ham
...Kajichekeshe kule wewe uzi wawa gumu uu.Kusema kweli united imeshaisha kabisa ,kufa kifo Cha mende Kama wale malaya wa riverside..Sasa imagine
Forward zao ni
Rashford ---martial---sancho
Martial akiumia mbadal wake et elanga...
Haka ka timu ukiangalia kwa undani zaidi hakana tofauti na kina Southampton, crystal palace , Burnley....!
Dah mkuu fanya jambo moja la kukushauri kafuteni uzi wenu wa man city kule mje huku tu maana unajitahidi kupiga kelelekule wenzio kimya nakushauri uje tu huku.
Masikini man UTD ,wanaishia kwenye historia amkeni nyie nyumbu timu imeshakufaDah mkuu fanya jambo moja la kukushauri kafuteni uzi wenu wa man city kule mje huku tu maana unajitahidi kupiga kelelekule wenzio kimya nakushauri uje tu huku.


Hao ndio hatuwataki hasa hasa huyo faza Ronaldo.Allypipi habari yako
No Martial, No Ronaldo (not fit and ready), Man United are in a terrible position to start the new season.
Mkuu hao wote ni takataka tu mchezaji wa muhimu kwa sasa pale mbele ni sancho tu wengine wote ni mafi ya kuku tu.Allypipi habari yako
No Martial, No Ronaldo (not fit and ready), Man United are in a terrible position to start the new season.
Ronaldo hata kama mnamchukia, ndio yupo, toa rashford hapoTunaenda kuanza msimu huku tukiwa hatujafanya la maana sana sokoni..Kiungo chetu kiliitaji uwekezaji wa kutosha lakini naona mambo sio kama tulivyotarajia..McFred again??..Eneo la ushambuliaji pia ilibidi tununue straika mwenye njaa,lakini hadi sasa holaa.
MY STARTING XI vs BRIGHTON ALBION
De Gea
Dalot Maguire Martinez Malacia
Fred Eriksen
Sancho Bruno Garnacho
Rashford
Tusidanganyane mchezaji gani wa timu yetu ana perform kwenye timu ya taifa.Maajabu wachezaji wetu wakiwa timu za taifa huwa wanaperfom vizuri sana.
Ndo maana pamoja na maneno yoote bado naamini ni kazi ya kocha kuwaboost morale,na ikipendezwa aongezewe mtu mmoja ushambuliaji na kiungo mkabaji.
Naona mpaka september 1 atatua Ruben Nevez na sio De jong,ila kule mbele nna wasiwasi hatasajiliwa mtu.
Hiki ni kikosi changu..andika cha kwako.
Kama Bado Mctominay Ataendelea Kuwa Midfielder Wa Hii Timu Sioni Kitu Itafanya Msimu Huu

Timu kubwa kama Manchester United kuwania saini ya mchezaji mmoja kwa wiki 12 bila mafanikio ni aibu kubwa sana.Taarifa zinadai Barcelona wamekataliwa na La Liga kuwasajili wachezaji wao watano mpaka watakapotunisha zaidi mfuko wao wa fedha.
Wiki hii mtaalamu David ornstein aliripoti ya kwamba Chelsea wamejiingiza rasmi kwenye vita ya kumwania frenkie de jong,
masaa mawili yaliopita muandishi Paul hirst naye amedai ya kwamba endapo frenkie de jong ataondoka Barcelona basi huenda akatua chelsea.
Tokea tuanze kuvumishwa na usajili wa frenkie imeshatimia wiki takribani 12, kumkosa frenkie dhidi ya Chelsea maumivu yake ni makali zaidi kuliko maumivu ya kutahiriwa kwa shoka ya kuchanjia kuni.
Mungu atuepushie kikombe hicho.