huyu cocha anatakiwa kuziba masikio timu class 99N
Nakubaliana na wewe.
Yaani mchezaji legend kama Phill bsiji na kaka ake wanawakomalia makocha hawan jamaa wananikwra Sana.
Mwalimu anakuwa sio wa wachezaji wake tu lkn hadi waliostaafu. Ni upuuzi Sana. Hadi Kocha mstaafu Fergie ananikera Sana.
Juzi Ferdinand anasema amefurahia Sana zile kanuni za ETH ambapo baadae atakutana na criticism zao.
Natamani aweke msimamo na awaonye awaambie wangeichukua timu waitengeneze wao.
Wachezaji aliosajili juzi walicheza poa sana. Beki ya kushoto Ina feature vzr Sana. Huku Martinez ka display vzr Hadi raha. Aka ziba pengo la beki wengine
Mchizi boti inakuwaje ..uko mashimoni Nini..Ungekua mtoto wakike wewe, wauni wangesha kipasua kidude chenyewe hicho.
Yeye ndo anaamua asicheze amaaa??Mtateseka sana wajomba
Cr7 anabaki lakini atakua achezi hiz game za Europa
Magwaya as usual ndio anaongoza jahazi, yani tulipoishia ndipo tuna endeleza
Hakuna rangi mtaacha kuiona msimu huu
Huyu ronaldo anategemea kucheza ucl mpaka 50s 😀😀😀 wenzake wako mls ukoMtateseka sana wajomba
Cr7 anabaki lakini atakua achezi hiz game za Europa
Magwaya as usual ndio anaongoza jahazi, yani tulipoishia ndipo tuna endeleza
Hakuna rangi mtaacha kuiona msimu huu
Mzee wa kujifariji endelea kujipa matumaini hewa.Wazee wa history mwaka huu pia mtatoka watupu,EPL ni ya Liva
Hujaona yy ni WA bench tayari??Ronaldo kuanza kudai anataka acheze ucl wakati Ni mmoja ya waliosababisha timu isicheze UCL Ni utovu wa nidhamu
Pale Arsenal Lacazette alianza maneno oho nataka nikacheze UCL , huku Ligi inaendelea , alikula mkeka had Ligi inaisha ,
Auba alikuwa anaamini yeye Ni untouchable ,Ni captain ,anategemewa , akaanza kuleta kibri, alikula mkeka had akaomba avunjiwe mkataba, na malengo yalikuwa apigwe mkeka msimu wote ,Tuone jeuri yake ipo wapi , mwisho akajipeleka Barcelona kupiga magoti wamsajiri.
Sasa Cr7 anawasumbueni ,ataleta mgawanyo kwenye dressing room , ile morari iliyoanza kurudi kwa kina Sancho , rashford ,martial itakufa kabisa
Huyu inatakiwa apigwe bench had msimu unaisha , muone hiyo UCL ataichezea wapi , mshahara alipwe kama kawaida, ila wacheze kina martial na CF mpya hata huyo sesko ,
Yeye awe anashangaa anakula bench tu , ndio atajua hakuna mchezaji mkubwa kuliko klabu
Ten hag kashasema atampanga akiwa fit,only fit,sasa kamshindwa vipi hapo??ETH ana dalili zote dressing room itamshinda, alitakiwa aanze na Ronaldo amtimue ,heshima ingejengeka had kwa wengine
Ila hii bembelezana kisa Ronaldo itamcost mapema tu
Hivi haoni kina Pep,Klopp ,Conte ,Arteta wanavyoitawala dressing room?
Manure?Top four yangu
1. Liverpoool
2. Chelsea
3. Man City
4. Spurs
5 & 6 wanaweza kugombaniana kati ya Arsenal, Newcastle na West Ham
...Kajichekeshe kule wewe uzi wawa gumu uu.Kusema kweli united imeshaisha kabisa ,kufa kifo Cha mende Kama wale malaya wa riverside..Sasa imagine
Forward zao ni
Rashford ---martial---sancho
Martial akiumia mbadal wake et elanga...
Haka ka timu ukiangalia kwa undani zaidi hakana tofauti na kina Southampton, crystal palace , Burnley....!