ozark
JF-Expert Member
- Dec 31, 2021
- 626
- 1,594
Messi kaamua kutulia na kustaaf kiheshima hana maneno maneno wala nnKweli wakati ukuta, Ronaldo amefikia hatua ya kukataliwa na team karibia zote.
Hakuna atakayesalia chini ya jua, Mungu kweli ametuweza.



