Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Lakini wapumbavu wachache wakajaribu kutupa mzigo wa team mbovu kwa mtu mmoja (ronaldo), wakati haiihitaji akili nyingi kujua kuwa tuna magarasa yamejaa hapo, tena ambayo hatuwezi kuyauza popote.

Ukiwatoa De gea, Malacia, Ronaldo, Eriksen, Martinez hapo Man U tuna wachezaji gani wa maana?? (Fred ni mzuri ila hana consistency).
Kutoa mawazo kwa kuanza kutukana au kukashfu wengine ni utoto.

Kumbuka wanaotoa mawazo yao nao ni watu wazima na akili zao timamu usitake mtazamo wako uwe sahihi na waliona mtazamo tofauti ni wapumbavu.

Ni ishara ya kukosa utu, hekima na busara.
 
Manchester united inacheza leo na dunia nzima yote ina furaha leo

Prediction

Manchester united 6 Rayo vallecano 1

Time:12:00 Jioni.
Screenshot_20220731-105350.jpg
 
mkitaka kuamini tuna wachezaji wa hovyo angalia perfomance ya wachezaji wapya eriksen na malacia kisha waliobaki ukitoa fred ndo mana wengine tunasema bado usajili haujatosha yale matakataka ndo mana Ralf alisema waje 10 wapya
Leo tutakuwanna beki Martinez. Maguire wanamuonea haya Gani. Angekuwa ana cover number 6 lkn Dah sipendi kabisa performance ya Maguire
 
Ninawasi, ten hag ana seek quick results na anajidanganya kwamba Ronaldo atamsaidia. I thought alipokuwa anasema inahitaji muda kufikia performance anayoitaka alikuwa ameishasettle his mind kwenye kikosi alichonacho.

sasa anaenda kuanza kazi mpya ya kumuingiza kirusi kwenye timu, wachezaji wote hawamtaki kirusi Ronaldo.
 
EtH anaanza kum-accomodate Ronaldo kikosini..mimi nipo hapa nikisubiri ani-prove wrong maana naona yanaenda kuwa yale yale ya msimu uliopita..timu kumchezesha tu Ronaldo,weak on pressing,poor marking and positioning na pia kushusha confidence ya wachezaji wengine.

Kina Sancho,Rashford na Martial wanaweza kila mmoja kupiga double digit goals kwenye EPL kama wataaminiwa but i'm not saying they are all good enough..na kama mpango wa kuachana na Mbinafsi Ronaldo ungekamilika tungekuwa na straika wa uhakika damu changa kama Lautaro Martinez.

/Lakini pia hivi si ilibidi hadi sasa tuwe na DM wa uhakika kikosini?..

/RB bado tunavuja japo Dalot pre-season hii swala la offensive amejiimarisha kiasi..ilibidi tumtoe AWB then tupate RB mwingine mwenye attributes zote nzuri ya diffensive na offensive

Anyway,ninywe tu bia nikisubiri baadae kuwaoga kina Savage na Iqbal wakikichafua pale katikati. Hopefull Martinez ataanza pia. But yule Mbinafsi na Mjaa Ego naskia pia ataanza,kitu ambacho kitanikera kweli.
 
EtH anaanza kum-accomodate Ronaldo kikosini..mimi nipo hapa nikisubiri ani-prove wrong maana naona yanaenda kuwa yale yale ya msimu uliopita..timu kumchezesha tu Ronaldo,weak ni pressing,poor marking and positioning na pia kushusha confidence ya wachezaji wengine.

Kina Sancho,Rashford na Martial wanaweza kila mmoja kupiga double digit goals kwenye EPL kama wataaminiwa but i'm not saying they are all good enough..na kama mpango wa kuachana na Mbinafsi Ronaldo ungekamilika tungekuwa na straika wa uhakika damu changa kama Lautaro Martinez.

/Lakini pia hivi si ilibidi hadi sasa tuwe na DM wa uhakika kikosini?..

/RB bado tunavuja japo Dalot pre-season hii swala la offensive amejiimarisha kiasi..ilibidi tumtoe AWB then tupate RB mwingine mwenye attributes zote nzuri ya diffensive na offensive.

Anyway,ninywe tu bia nikisubiri baadae kuwaoga kina Savage na Iqbal wakikichafua pale katikati. Hopefull Martinez ataanza pia. But yule Mbinafsi na Mjaa Ego naskia pia ataanza,kitu ambacho kitanikera kweli.
Anajiita king
 
Kama itatokea Man United watatwaa ubingwa wa ligi katika miaka mitano ijayo kwangu litakuwa jambo la kushangaza sana.
 
Manchester united. Vs Atletico Madrid ,

Imenikatisha tamaa Sana. ETH anawakati mgumu Sana kuijenga timu.

The likes of Rashford, Maguire, dalot, Marshal na Fernandez Wana performance ya kiduanzi Sana. Wakati mwingine wanawapa kazi kubwa wenzao.
Yani nililuwa na matumaini kidogo walau tutafanya jambo msimu ujao lakini baada ya kuangalia hiyo mechi, aisee EtH ana kazi ngumu sana.
 
Kama itatokea Man United watatwaa ubingwa wa ligi katika miaka mitano ijayo kwangu litakuwa jambo la kushangaza sana.
Does that mean kwamba Ten Hag sio chochote sio lolote..United itabaki kuwa ileile sio??
 
Back
Top Bottom