Hawa wachezaji Ten hag anapaswa awaburuze kwelikweli, ni wachovu wa mwili na akili, na awasiwasikilize sababu kila nikisoma comment zao wanamsifu sana kocha na kujipiga piga vifua, maneno yao mengi ni near non sense, awaburuze mwanzo mwisho.
nimeangalia goli la pili mechi ya friendly jana, ni desturi ya magoli tuliyokuwa tukifungwa msimu jana, yaani ni exact weak point yetu, mabaki watatu wote wako chini wanauangalia mpira juu ambako wachezaji wawili wa aston villa wameruka kuufuata.
Degea na kama kawaida haruki.
alafu wanasema wanafuata maelekezo ya cocha, au cocha hajaelekeza namna ya kucheza hiyo mipira.