Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

During the tour a #mufc player was twice late for meetings. Ten Hag had been planning to use him in a game but dropped him by way of punishment.

He sees tardiness as a symptom of slipping standards and is very clear on what he will and won't accept
Nyie msifieni tu huyo kiparangoto wenu. Halafu tukutane ligi ikianza..

Kwani ligi haianzi tu?!
 
Ten hag alisema hatosajili wachezaji aghali, inamaana hiyo bei tunayosikia ya DeJong sio aghali? huyu Ten hag awe controlled kwenye hii issue asilete michezo kama ya Ralf Rangnick alafu aje asepe huku anaipaka mbovu management na board.
 
Ten hag alisema hatosajili wachezaji aghali, inamaana hiyo bei tunayosikia ya DeJong sio aghali? huyu Ten hag awe controlled kwenye hii issue asilete michezo kama ya Ralf Rangnick alafu aje asepe huku anaipaka mbovu management na board.
kwani hakuna kiungo mwengine jamaa hataki kuja kama ronaldo wangemruhusu tu asepe wangechukua Scamacca west ham washamchukua
 
Mahela Ya Kumsajili De Jong Bora Wayapeleke Tena Ajax Kwa Yule Antony, Kisha Mvute Milinkovic Savic Kwenye Midfield Maliza Na Huyo Benjamin Sesko Tufunge Usajili.....Kila Siku De Jong De Jong Na Mtu Yupo Tayari Kupunguza Mshahara Wake 50% Na Kama Akikosa Namba Yupo Tayari Pia Hata Kukaa Kipa ili Mradi Abaki Barcelona
 
Barca wako reasonable sana kwenye hii issue, they have a financial crisis to resolve and here is Man UTD ready to make an overpriced payment for a Player they can replace for a quarter the price.

Ten hag could be playing a blame game by pushing for an unlikely deal, it is him who needs to see that bringing De Jong will be a disaster, this De Jong is going to be the next De Maria if ever he joins Man Utd.
Hii ndiyo shida wachezaji anaowapendekeza kocha hamuwataki kwa sababu zenu binafsi ili akipewa second choices akifeli muanze kulaumu tena. Una uhakika gani hao "quarter the price" players siyo the next Di Maria?

Mpaka Barca wanakubali ada ya uhamisho ya De Jong it means wapo tayari kumlipa De Jong, Barca wanaitaka pesa ya United na ili waipate ni lazima wamalizane na De Jong kwanza.

EtH siyo fala kukubali dili liendelee akiwa hana uhakika wa kumpata mchezaji huku ligi ikikaribia kuanza. Kwasababu EtH na FdJ wana mawasiliano tegemea kuna tusiyoyajua nyuma ya pazia.
 
Ten hag alisema hatosajili wachezaji aghali, inamaana hiyo bei tunayosikia ya DeJong sio aghali? huyu Ten hag awe controlled kwenye hii issue asilete michezo kama ya Ralf Rangnick alafu aje asepe huku anaipaka mbovu management na board.
Mchezaji anakuwa ghali kama uwezo wake hauendani na price tag yake na thamani ya mchezaji inajumuisha vitu vingi uwezo uwanjani, mkataba n.k. United wana uwezo wa kumnunua mchezaji kama De Jong ndiyo maana wapo tayari kutoa hiyo pesa.

Unaposema mchezaji ni ghali kuna mawili aidha ni overpriced au timu haina uwezo wa kumnunua mchezaji wa thamani hiyo. Price valuation zipo wazi na kama mchezaji anakuwa overpriced kuna factors mbalimbali na main factor ni kama club inayouza haipo tayari kumpoteza mchezaji wake inaweka price tag kubwa ili bei isifikiwe kirahisi na kama ikifikiwa ni faida kwao, rejea dili la Nunez kwenda Liverpool ile siyo thamani halisi ya Nunez na hata viongozi wa Benfica walisema wazi ilipokuja offer kutoka Liverpool hawakuamini na hawakuwa na sababu ya kukataa offer hiyo.

Sasa huwezi kusema De Jong ni ghali wakati United ina uwezo wa kulipa ada ya uhamisho pamoja na mshahara wa mchezaji kama De Jong. There's a reason United wanaweza kuwa na mchezaji kama Ronaldo. Club inayopaswa kuona thamani ya De Jong ni ghali ni kama Fulham au Brighton.
 
Hii ndiyo shida wachezaji anaowapendekeza kocha hamuwataki kwa sababu zenu binafsi ili akipewa second choices akifeli muanze kulaumu tena. Una uhakika gani hao "quarter the price" players siyo the next Di Maria?

Mpaka Barca wanakubali ada ya uhamisho ya De Jong it means wapo tayari kumlipa De Jong, Barca wanaitaka pesa ya United na ili waipate ni lazima wamalizane na De Jong kwanza.

EtH siyo fala kukubali dili liendelee akiwa hana uhakika wa kumpata mchezaji huku ligi ikikaribia kuanza. Kwasababu EtH na FdJ wana mawasiliano tegemea kuna tusiyoyajua nyuma ya pazia.
So unaona FdJ atakuja 100pc???
 
Hii ndiyo shida wachezaji anaowapendekeza kocha hamuwataki kwa sababu zenu binafsi ili akipewa second choices akifeli muanze kulaumu tena. Una uhakika gani hao "quarter the price" players siyo the next Di Maria?

Mpaka Barca wanakubali ada ya uhamisho ya De Jong it means wapo tayari kumlipa De Jong, Barca wanaitaka pesa ya United na ili waipate ni lazima wamalizane na De Jong kwanza.

EtH siyo fala kukubali dili liendelee akiwa hana uhakika wa kumpata mchezaji huku ligi ikikaribia kuanza. Kwasababu EtH na FdJ wana mawasiliano tegemea kuna tusiyoyajua nyuma ya pazia.
Sasa Huyo De Jong Watamalizana Nae Lini?...Maana Kama Ni Kweli Hawana Pesa Ya Kumlipa Hicho Anachokidai, Mbona Wanafanya Sajili Kubwa Kubwa Kwenye Dirisha Hili, Raphinha (€65M), Lewandowski(€50M) Na Watamalizana Na Kounde Muda Si Mrefu Kwa €60M...Mimi Hata Siwaelewi Hao Barca Pamoja Na Huyo De Jong Wao.
 
Ten hag alisema hatosajili wachezaji aghali, inamaana hiyo bei tunayosikia ya DeJong sio aghali? huyu Ten hag awe controlled kwenye hii issue asilete michezo kama ya Ralf Rangnick alafu aje asepe huku anaipaka mbovu management na board.
£85M ni hela ya kawaida kwenye usajili wa sasa.

Jiulize CR7 alienda Madrid mwaka gani na kwa hela gani?

Msimu ujao hata £100M wataanza zizoea.
 
Cristiano Ronaldo has arrived at Carrington with his agent Jorge Mendes for talks about his future at the club
FYlZLH-XEAAHuCb.jpeg
 
Back
Top Bottom