Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Pogba amechukizwa Sana na uwezo wa Maguire Maguire hakuwa na chemistry ya pamoja uwanjani. Vilevile Ronaldo hajapenda kubaki kutokana na magiure. Na Kwa kwli wote wawili pamoja na mambo mengine performance ya timu. Kwa Sasa usajili wa defenders utaleta matumaini na Kwa kweli Maguire anaelekeaa shimoni. Ukuta akiwepo magiure ni dhaifu na wenzie hawamuani.

Ni mawazo yangu tuu
 
Arsenal and Manchester City have reached an agreement for Zinchenko in the morning. £30m fee. No doubt, it’s done between clubs. #AFC

Negotiations ongoing on player side for personal terms and salary details, then it will be completed.
 
This kit
IMG_20220716_184922_239.jpg
 
- BREAKING: Manchester United are paying €64M for Lisandro Martínez. Fixed fee: €54M. Add-ons: €10M. ! [@MikeVerweij]
Just add 5million that should get you Zinchenko and Tielemans..
Arsenal really pushed ManU too far
 
Arsenal and Manchester City have reached an agreement for Zinchenko in the morning. £30m fee. No doubt, it’s done between clubs. #AFC

Negotiations ongoing on player side for personal terms and salary details, then it will be completed.
So what‽nenden jukwaan kwenu
 
Kuna namna Man u kwanye izi game mbili wanacheza yaan kila mchezaji anafahamu majukumu yake hasa kwenye kushambulia na tukiwa na mpira....#Tutawashangaza

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha, wale wahuni kila wanapopata kocha mpya huwa wanabadilika mechi mbili za mwanzo baada ya hapo wanarudi kwenye hali yao.

Mimi nitaona wamebadilika kama watacheza consistent kwa zaidi ya mechi 20
 
Hahaha, wale wahuni kila wanapopata kocha mpya huwa wanabadilika mechi mbili za mwanzo baada ya hapo wanarudi kwenye hali yao.

Mimi nitaona wamebadilika kama watacheza consistent kwa zaidi ya mechi 20
Wamecheza Consistency msimu mzima chini ya LVG, misimu miwili chini ya Mou, Misimu miwili chini ya Ole etc.

Issue ilikuwa ni Bodi, as long as Bodi yetu itabadilika na kuacha kusajili sababu ya Biashara basi na timu yetu angalau Consistently itakua inaingia top 4 kila msimu na kuchallenge ubingwa.
 
Hahaha, wale wahuni kila wanapopata kocha mpya huwa wanabadilika mechi mbili za mwanzo baada ya hapo wanarudi kwenye hali yao.

Mimi nitaona wamebadilika kama watacheza consistent kwa zaidi ya mechi 20
Tupo hapa nina wasiwasi pogba alichangia kiasi kikubwa kuharibu timu hili limeonekana baada ya kuondoka kaanza kumwaga mboga alikuwa anaongea sana na anaushawish...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tupo hapa nina wasiwasi pogba alichangia kiasi kikubwa kuharibu timu hili limeonekana baada ya kuondoka kaanza kumwaga mboga alikuwa anaongea sana na anaushawish...

Sent using Jamii Forums mobile app
Pogba hakusplit dressing room hakuna mwandishi yoyote mkubwa ambaye amereport hiki kitu, jamaa wachezaji wengi wenzake wanampenda, sababu kiwango chake uwanjani hakina Consistency haimaanishi nje ya uwanja ni mtu mbaya pia.

ila Ronaldo waandishi wengi wamereport yeye ndio aliita baadhi ya wachezaji na kutaka kumpora Ucaptain Maguire,

"The squad was split after a disagreement over the captaincy, with Cristiano Ronaldo at its core, which left Harry Maguire unhappy"

Ali report simon stone
 
Wamecheza Consistency msimu mzima chini ya LVG, misimu miwili chini ya Mou, Misimu miwili chini ya Ole etc.

Issue ilikuwa ni Bodi, as long as Bodi yetu itabadilika na kuacha kusajili sababu ya Biashara basi na timu yetu angalau Consistently itakua inaingia top 4 kila msimu na kuchallenge ubingwa.
Mkuu hii hali ya timu kucheza vizuri kwa vipindi imeanza kwa Ole.

Msimu wa kwanza wa Ole timu ilikuwa tia maji tia maji mpaka alipomsajili Bruno.


Msimu wa pili wa Ole timu ilicheza vizuri mechi 18 za mwanzo baada ya hapo tukapoteana january na february nzima mpaka Man City akatupita.

Chini ya Ralf timu ilicheza vizuri mechi moja tu baada ya hapo ikarudi kwenye default setting yake.

Unazungumzia wakati wa Van Gaal by the way mpaka sasa ni wachezaji watatu kikosini walioachwa na Van Gaal ukiondoa Phil Jones ambaye mimi simweki kwenye kundi la wachezaji wa timu.

Hii timu yetu imekuwa kama mgonjwa wa Erection Dysfunction akipata viagara inasimama baada ya hapo inalala tena mpaka upate dose tena.

Erik ten Hag akitaka kufanikiwa na hii timu asiwaamini sana wachezaji aliowakuta aanze project mpya kwa kuingiza wachezaji wengi wa kwenye academy ambako kuna talents nyingi tu.

Wale wahuni wakipunguziwa game time watabadilika na wengine wataanza kujitoa wenyewe. Kama ulivyoona yule mhuni mkuu kakimbilia Juventus.
 
Tupo hapa nina wasiwasi pogba alichangia kiasi kikubwa kuharibu timu hili limeonekana baada ya kuondoka kaanza kumwaga mboga alikuwa anaongea sana na anaushawish...

Sent using Jamii Forums mobile app
Pogba tunamuonea tu, wewe mwajiri unaruhusu vipi mwajiriwa wako aharibu morali ya wafanyakazi wenzake ????

Timu ilikuwa inafanya usajili usio na future.

Timu tangu aondoke Wayne Rooney, Robin van Persie haikuwahi kuwaza kusajili striker mwingine wa calibre yao badala yake ikawa inanunua wanaomalizia career zao kina Zlatan, Cavan, Falcao, Sanchez na mara hii Ronaldo, hii ilikuwa ni sawa na kuziba shimo la panya kwa mkate.

Toka Raphael Da Silva ameondoka United haikuwa na mchezaji wa uhakika upande wa kulia na kushoto hivyo hivyo.

Unamlaumu vipi Pogba wakati ilimuona kama mchezaji muhimu wakati hakuwa na sifa hizo?
 
Back
Top Bottom