Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

EtH aingie sokoni kutafuta mshambuliaji..

Akiwaamini sana hawa wachezaji atafanyiwa mapuuza soon.
Hakuna CF wa maana sokon , niliwahi kusema huenda man u, Chelsea zikaanza Ligi bila CF wa kueleweka

Ukimtaka Osmhen uwe na €100m

Ukimtaka Scamaca andaa €50m

Nimeona mnahusishwa na ivan toney kwa mbali

CF wanazid kuisha , Arsenal tuliwahi mapema kwa Jesus, yule greenwood asingekuwa na kes anafaa kubadilishwa awe CF

Kina Nunez one season wonder unauziwa €100m

Kwasasa inahitajika scouting ya hali ya juu kumpata CF anayefit


Man u mkianza Ligi na CF ya martial mtalia ,the same Chelsea mwishon CF ya Kai ilikuwa sio ya kukupa matokeo .

Mkibak na cr7 as CF atawasaidia
EtH aingie sokoni kutafuta mshambuliaji..

Akiwaamini sana hawa wachezaji atafanyiwa mapuuza soon.
 
Hakuna CF wa maana sokon , niliwahi kusema huenda man u, Chelsea zikaanza Ligi bila CF wa kueleweka

Ukimtaka Osmhen uwe na €100m

Ukimtaka Scamaca andaa €50m

Nimeona mnahusishwa na ivan toney kwa mbali

CF wanazid kuisha , Arsenal tuliwahi mapema kwa Jesus, yule greenwood asingekuwa na kes anafaa kubadilishwa awe CF

Kina Nunez one season wonder unauziwa €100m

Kwasasa inahitajika scouting ya hali ya juu kumpata CF anayefit


Man u mkianza Ligi na CF ya martial mtalia ,the same Chelsea mwishon CF ya Kai ilikuwa sio ya kukupa matokeo .

Mkibak na cr7 as CF atawasaidia
Patrick Schick
 
Mkuu hii hali ya timu kucheza vizuri kwa vipindi imeanza kwa Ole.

Msimu wa kwanza wa Ole timu ilikuwa tia maji tia maji mpaka alipomsajili Bruno.


Msimu wa pili wa Ole timu ilicheza vizuri mechi 18 za mwanzo baada ya hapo tukapoteana january na february nzima mpaka Man City akatupita.

Chini ya Ralf timu ilicheza vizuri mechi moja tu baada ya hapo ikarudi kwenye default setting yake.

Unazungumzia wakati wa Van Gaal by the way mpaka sasa ni wachezaji watatu kikosini walioachwa na Van Gaal ukiondoa Phil Jones ambaye mimi simweki kwenye kundi la wachezaji wa timu.

Hii timu yetu imekuwa kama mgonjwa wa Erection Dysfunction akipata viagara inasimama baada ya hapo inalala tena mpaka upate dose tena.

Erik ten Hag akitaka kufanikiwa na hii timu asiwaamini sana wachezaji aliowakuta aanze project mpya kwa kuingiza wachezaji wengi wa kwenye academy ambako kuna talents nyingi tu.

Wale wahuni wakipunguziwa game time watabadilika na wengine wataanza kujitoa wenyewe. Kama ulivyoona yule mhuni mkuu kakimbilia Juventus.
Angalia vizuri source zako mkuu

Msimu wa pili wa ole timu haikuanza vizuri, mechi za mwanzo tulipigwa 6 na spurs, palace, draw arsenal etc

Na hio january na feb haikuwa mbaya yes tulikuwa kwenye bad form ila at same time tulimfunga Soton 9, February mechi 4 tumeshinda 2 draw 2, Jan mechi 6 tulishinda 3 na draw 2 na tukafungwa na Shefield.

Baada ya hio Bad patch of form tukacheza vizuri tena.

Timu zote Uingereza zinapitia form kama yetu including Man city na Liverpool, sema tu Timu kama City wana depth kubwa.

Mfano Kuna Msimu Bernado silva anakuwa Player of the year, Msimu unaofuata anakalia Bench, unakuta msimu huu KDB yupo fresh msimu unaofuata majeruhi, wachezaji wao wengi Sterling, Aguero, Mahrez etc walikuwa wakirotate vibaya mno sababu ya depth yao.

Sisi je? Makocha wote watatu hakuna hata mmoja aliekuwa supported baada ya kuingia Top 4,

-msimu wa kwanza wa Ole alivyoingia top 3 kaletewa VDB, Cavani, Telles, Amad na Pelistri. Tukasikia Minong'ono kibao Kocha hakumuhitaji VDB, Cavani nae pia tetesi hakuwa kwenye mipango ya kocha.

-kwa mou vile vile Alivyoshika nafasi ya pili Alimtaka Maguire, akataka na Winga etc hakuletewa matokeo yake Alipewa Sanchez na Fred yaliyotokea tunajua.

-LVG alitaka pacy wingers na tuliona namna alivyomtumia Martial, nae hivyo hivyo alivyoingia top 4 target zake nyingi hazikuletwa aliletewa tu Babu Bastian.

Ingekuwa makocha wote hao wanapata Tagert zao ama wachezaji wanaofaa mifumo yao hata kama wangefeli isingekua disaster. Hata mchezaji akiumia ingekua timu haiathiriki sana.
 
Ligi nayo inachelewa sana
IMG-20220717-WA0023.jpg
 
Mkuu hii hali ya timu kucheza vizuri kwa vipindi imeanza kwa Ole.

Msimu wa kwanza wa Ole timu ilikuwa tia maji tia maji mpaka alipomsajili Bruno.


Msimu wa pili wa Ole timu ilicheza vizuri mechi 18 za mwanzo baada ya hapo tukapoteana january na february nzima mpaka Man City akatupita.

Chini ya Ralf timu ilicheza vizuri mechi moja tu baada ya hapo ikarudi kwenye default setting yake.

Unazungumzia wakati wa Van Gaal by the way mpaka sasa ni wachezaji watatu kikosini walioachwa na Van Gaal ukiondoa Phil Jones ambaye mimi simweki kwenye kundi la wachezaji wa timu.

Hii timu yetu imekuwa kama mgonjwa wa Erection Dysfunction akipata viagara inasimama baada ya hapo inalala tena mpaka upate dose tena.

Erik ten Hag akitaka kufanikiwa na hii timu asiwaamini sana wachezaji aliowakuta aanze project mpya kwa kuingiza wachezaji wengi wa kwenye academy ambako kuna talents nyingi tu.

Wale wahuni wakipunguziwa game time watabadilika na wengine wataanza kujitoa wenyewe. Kama ulivyoona yule mhuni mkuu kakimbilia Juventus.
We jamaa asiyekuelewa atakuwa na matatizo ya akili
 
huyu Dejong kama kuna mchezo man u wanafanya nae ili akisign mkataba auze jezi nyingi na kusaidia club kupiga hela atakuja kutuletea shida.

wachezaji na benchi lote la ufundi wasihusishwe na mambo ya biashara. hii kitu ndio ilimpa pogba kiburi akatutia vidole
 
Mkuu hii hali ya timu kucheza vizuri kwa vipindi imeanza kwa Ole.

Msimu wa kwanza wa Ole timu ilikuwa tia maji tia maji mpaka alipomsajili Bruno.


Msimu wa pili wa Ole timu ilicheza vizuri mechi 18 za mwanzo baada ya hapo tukapoteana january na february nzima mpaka Man City akatupita.

Chini ya Ralf timu ilicheza vizuri mechi moja tu baada ya hapo ikarudi kwenye default setting yake.

Unazungumzia wakati wa Van Gaal by the way mpaka sasa ni wachezaji watatu kikosini walioachwa na Van Gaal ukiondoa Phil Jones ambaye mimi simweki kwenye kundi la wachezaji wa timu.

Hii timu yetu imekuwa kama mgonjwa wa Erection Dysfunction akipata viagara inasimama baada ya hapo inalala tena mpaka upate dose tena.

Erik ten Hag akitaka kufanikiwa na hii timu asiwaamini sana wachezaji aliowakuta aanze project mpya kwa kuingiza wachezaji wengi wa kwenye academy ambako kuna talents nyingi tu.

Wale wahuni wakipunguziwa game time watabadilika na wengine wataanza kujitoa wenyewe. Kama ulivyoona yule mhuni mkuu kakimbilia Juventus.
kuwapunguzia game time wachezaji ni kuwaua kabisa, na swala la kujenga team, inabidi tuwe wavumilivu wa muda. ujengaji wa timu wa namna hii unaousema inahitaji at least 3 years.
 
huyu Dejong kama kuna mchezo man u wanafanya nae ili akisign mkataba auze jezi nyingi na kusaidia club kupiga hela atakuja kutuletea shida.

wachezaji na benchi lote la ufundi wasihusishwe na mambo ya biashara. hii kitu ndio ilimpa pogba kiburi akatutia vidole
Michezo ya kutiana vidole tena!!
Ila nyumbu mmekuwa hovyo sana
 
Back
Top Bottom