Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Maguire kapokea bonge la 'booooooooo'

Watu wanazomea hadi friend mech
 
Huu moto inatakiwa tuingie nao kwenye ligi
1658232776064.jpg
 
Tunawajua sisi siku zote akiwa kocha mpya mnashindaga game hata 5 consecutively lakin ETH ana bahati mbaya ,hizi game anazowin ilitakuwa iwe league lakin mtafika kwenye league honey moon imeisha
 
Ronaldo mambo yake ya familia hayajaisha tu sio?

Atakuja ligi ikianza na kutaka kuanza kikosini na kila mpira aletewe yeye.

Poor team player na link up player..Sijui ETH atamtumiaje kwa kweli.

Mendes anazungukazunguka tu hajapata timu inayocheza UEFA ampeleke..kuna tetesi wameenda hadi Atletico Madrid kulialia.

Tukicheza na number 9 anayeweza pia kuhold mpira ni tight areas,our wide attackers watashine sana tofauti na tutakavyocheza na selfless old Ronaldo.
 
Ronaldo mambo yake ya familia hayajaisha tu sio?

Atakuja ligi ikianza na kutaka kuanza kikosini na kila mpira aletewe yeye.

Poor team player na link up player..Sijui ETH atamtumiaje kwa kweli.

Mendes anazungukazunguka tu hajapata timu inayocheza UEFA ampeleke..kuna tetesi wameenda hadi Atletico Madrid kulialia.

Tukicheza na number 9 anayeweza pia kuhold mpira ni tight areas,our wide attackers watashine sana tofauti na tutakavyocheza na selfless old Ronaldo.
tuseme ukweli ,mnamkosesha heshima Ronaldo kucheza Europa,Hadi anawatafuta kina simeon ilimradi tu acheze CL
 
Ronaldo mambo yake ya familia hayajaisha tu sio?

Atakuja ligi ikianza na kutaka kuanza kikosini na kila mpira aletewe yeye.

Poor team player na link up player..Sijui ETH atamtumiaje kwa kweli.

Mendes anazungukazunguka tu hajapata timu inayocheza UEFA ampeleke..kuna tetesi wameenda hadi Atletico Madrid kulialia.

Tukicheza na number 9 anayeweza pia kuhold mpira ni tight areas,our wide attackers watashine sana tofauti na tutakavyocheza na selfless old Ronaldo.
Ndio maana tunapinga kila siku humu. Tatizo watu hawakubali kuwa Ronaldo kafikia mwisho wa kilele cha soka, wao wanafikiri Ronaldo tuliyenaye ni yule wa 2008-2019.

For now anahitaji kuwekwa pembeni, ikiwa tunahitaji kusuka timu mtu anayeforce kuvuruga mipango kisa Brand na Umaarufu hatuna future.


Mendes Mwenyewe kasema he is slight higher than Club, kuna haja gani ya kumkomalia, tuappreciate alivyotusaidia enzi za babu Fergie.

Aende timu ya kutunza brand yake na umaarufu.

Kocha asajili mshambuliaji asitegemee hawa mafaza martial na Trashford, wakikosa challenge wana utoto.
 
Ronaldo mambo yake ya familia hayajaisha tu sio?

Atakuja ligi ikianza na kutaka kuanza kikosini na kila mpira aletewe yeye.

Poor team player na link up player..Sijui ETH atamtumiaje kwa kweli.

Mendes anazungukazunguka tu hajapata timu inayocheza UEFA ampeleke..kuna tetesi wameenda hadi Atletico Madrid kulialia.

Tukicheza na number 9 anayeweza pia kuhold mpira ni tight areas,our wide attackers watashine sana tofauti na tutakavyocheza na selfless old Ronaldo.
Mkui watu tukiwaambia ronaldo hatufai kwasasa wanatuona kama hatumpendi jamaa.

Umeona saizi japo ni mechi za maandalizi ya msimu lakini tunaona kila mchezaji hanaweza kufunga tofauti na akiwepo Vr7 kila mpira anataka apewe yeye ndo afunge.

Mimi nasema Cr7 asipokuwepo tutakuwa na msimu mzuri sana tofauti na hakiwepo.
 
Mkui watu tukiwaambia ronaldo hatufai kwasasa wanatuona kama hatumpendi jamaa.

Umeona saizi japo ni mechi za maandalizi ya msimu lakini tunaona kila mchezaji hanaweza kufunga tofauti na akiwepo Vr7 kila mpira anataka apewe yeye ndo afunge.

Mimi nasema Cr7 asipokuwepo tutakuwa na msimu mzuri sana tofauti na hakiwepo.
Wasipompa pass kwenye press conference anasema madogo hawamasikilizi, anawaita Rooney, Giggs kuwa alikua anawasikiliza.

Era yake inaelekea mwishoni awe mpole, akubali hata kupewa gametime huku akivuna mapato kupitia brand, akifosi fosi hakuna club itamkubali.

Maana muunganiko utapotea, wachezaji wataona hawathaminiwi kila kitu yeye yeye hata asifunge.


Watu waelewe he is not right man for Us as of now, but he is Legend in our hearts.
 
Back
Top Bottom