Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Barca lazima wamwachie FDJ hata iweje.

Hawawezi register Raphina na Lewandowski mpaka wahakikishe wana balance vitabu vyao.
Wiki lile alilosajiriwa Franck Kessie waliuza 10% ya haki za matangazo ya TV kwa kampuni ya kimarekani (six street) - euro 207.5M. Hapa ndipo walipopata pesa ya usajili na mshahara wa Ralphina.

Wanafikiria kuuza tena 20% nyingine incase De Jong akigoma kuondoka na kupunguza mshahara kwa euro 400.97M. Ili waweze ku-accomodate mishahara ya kikosi kizima msimu ujao. (Plan B)

Msimu ujao mpaka sasa baada ya usajili wa Lewandowski na Raphina na endapo De Jong atabaki basi Barcelona watakuwa na budget ya mshahara ya euro 559.87M kwa msimu mzima wa 2022/23. Naona kabisa waki-push hiyo plan B, no way out ili ku-balance financial fair play.
 
Duh hata barca walofilisika wanatengeneza timu lewandowski tayari wanamaliza na bernado silver hebu linganisha uwezo wa mchezaji mmojammoja wa liver,man city,madrid bayern na ht barca
ngoja ligi ikianza tutaona hapa mliosema huu usajili unatosha
Hahahahaa sikiliza Jombaa sisi na timu zote ulizozitaja hapo juu tupo ktk mipango tofauti kabisa.

Wenzetu wapo ktk execution strategy sisi tupo ktk rebuilding strategy. Hatuwezi kuingia sokoni na transfer strategy moja na hao hata kama tuna pesa kuwazidi. (tumekuwa na makocha 3 ndani ya miezi 8 - Ole, Ralph, na sasa EtH kila mmoja hapa ali-submit plan yake kwa bodi)

Binafsi namuelewa sana EtH anachojaribu kufanya itatuchukua muda kidogo kurejea ila tukirudi naamini tutarudi kibabe sana. Hii hatua inahitaji ucheze low key but very smart.
 
Screenshot_2022-07-18-21-45-35-314_com.twitter.android.jpg
Screenshot_2022-07-18-21-45-44-168_com.twitter.android.jpg
Screenshot_2022-07-18-21-46-08-302_com.twitter.android.jpg
Screenshot_2022-07-18-21-46-14-671_com.twitter.android.jpg
Screenshot_2022-07-18-21-46-20-513_com.twitter.android.jpg
Screenshot_2022-07-18-21-46-26-671_com.twitter.android.jpg
Screenshot_2022-07-18-21-46-38-550_com.twitter.android.jpg
 
Ten hag ameamua kuwa honest
Try the best with squad, win every game and success
Why? Because this is man u, that's y anakua na high expectations

Tuanze na cr7,
Kuna faida nyingi akistep aside kuliko awepo kwenye squad
Kwa umri wake, work rate ya pressing ni kujidanganya
New modern football inasema mtu wa kwanza kuanzisha mashambuliz ni goalkeeper na mtu wa kwanza kuanza ukabaji ni mshambuliaji.
Let us succeed or failed because of him
(Sijakataa msimu uliopita alisaidia sana, )

Cr7 kama player at the same time ni bussines/taasisi
Kind of player hav too much Ego, sometimes anafanya dressing room ijigawe.

Maguire
Huyu ubora wake utategemea midfielders, hakuna beki ambae akiletewa moto mara nne mfululizo asipoteane
Mkipata kiungo aina ya ngolo, partey au fernandinho kutakua na balance sana
Kuliko huyo dejong
Hakuna sehemu niliposema dejong hafai

Bruno mchezaji mzuri, so attacking force itakua poa

Elanga sijui bado hana utulivu au vipi, but ten had anaweza akamfanya awe best

Sancho pia ni best, tumemuona last season

Namba tisa, yan mshambuliaji hapa ndio tatizo lingine litaanza
Kama ya arsenal tunacheza mpira mfungaji hayupo. Dakika 90 game inaisha bila bila au tunapigwa kabisa

Na manunuzi ya CF muwe makini majirani
Nazani mnakiona kinachoendelea kwa Liverpool na Nunez wao

Lisandro Martinez ni usajiri mzuri coz ata sisi tulimtaka ila pesa ndio imeamua. Siwezi kusema mmepigwa
Ila tahadhari ninayowapa ni kuwa akatumike kwenye nafasi yake

Wafuatao inabidi waondoke kwa kutaka au kwa lazima
Cr7
Cavan
Wanbisaka
Shaw
Mata
Martial
 
Ten hag ameamua kuwa honest
Try the best with squad, win every game and success
Why? Because this is man u, that's y anakua na high expectations

Tuanze na cr7,
Kuna faida nyingi akistep aside kuliko awepo kwenye squad
Kwa umri wake, work rate ya pressing ni kujidanganya
New modern football inasema mtu wa kwanza kuanzisha mashambuliz ni goalkeeper na mtu wa kwanza kuanza ukabaji ni mshambuliaji.
Let us succeed or failed because of him
(Sijakataa msimu uliopita alisaidia sana, )

Cr7 kama player at the same time ni bussines/taasisi
Kind of player hav too much Ego, sometimes anafanya dressing room ijigawe.

Maguire
Huyu ubora wake utategemea midfielders, hakuna beki ambae akiletewa moto mara nne mfululizo asipoteane
Mkipata kiungo aina ya ngolo, partey au fernandinho kutakua na balance sana
Kuliko huyo dejong
Hakuna sehemu niliposema dejong hafai

Bruno mchezaji mzuri, so attacking force itakua poa

Elanga sijui bado hana utulivu au vipi, but ten had anaweza akamfanya awe best

Sancho pia ni best, tumemuona last season

Namba tisha, yan mshambuliaji hapa ndio tatizo lingine litaanza
Kama ya arsenal tunacheza mpira mfungaji hayupo. Dakika 90 game inaisha bila bila au tunapigwa kabisa

Na manunuzi ya CF muwe makini majirani
Nazani mnakiona kinachoendelea kwa Liverpool na Nunez wao

Lisandro Martinez ni usajiri mzuri coz ata sisi tulimtaka ila pesa ndio imeamua. Siwezi kusema mmepigwa
Ila tahadhari ninayowapa ni kuwa akatumike kwenye nafasi yake

Wafuatao inabidi waondoke kwa kutaka au kwa lazima
Cr7
Cavan
Wanbisaka
Shaw
Mata
Martial
Naamini Shaw & Martial wanaweza kufundishika na kuimprove.
 
Back
Top Bottom