Ibrahim Ntibegelana
Member
- Aug 10, 2017
- 12
- 17
Waleteeee





Nani akiheshimu kwa kumfunga C.Palace ...Next tunakutana na C.palace J4 ambao wamepigwa 2 Leo na Livakuku sisi naomba tutembeze dozi ileile ya 4G LTE apo heshima itarejea

Ninyi huwa mnamfunga?Nani akiheshimu kwa kumfunga C.Palace ...
Hivi uko serious kweli ,unataka heshima kwa kumfunga CP ?![]()
Hahaaaaa yaani umetuliza makalio yako meusi Kama tako ya bunduki kujibizaba na superstar wa jf pain killer ?..Pole sanaa! Punguza kushinda chumbani kwa dada zako, Ona umeshaharibikiwa sasa! Huna tofauti na yule kocho kumbuka.
Duh hata barca walofilisika wanatengeneza timu lewandowski tayari wanamaliza na bernado silver hebu linganisha uwezo wa mchezaji mmojammoja wa liver,man city,madrid bayern na ht barcaMalacia, Lisandro na Eriksen kwangu mimi wanatosha. As always kale kajamaa kule tuwaachie mzigo wao Barcelona wamalizane nao.
Kama katamaliza mkataba wake na Barcelona katalamba zaidi euro 88M plus bonus. Hata mimi ningesema siondoki hata walete forklift.
Barcelona wanataka kutumia mgongo wetu kukwepa huu msumari wa makosa yao waliyofanya mwaka 2019. (they are 1.3 billion euros in debt - He's going to bleed them nails to toes)
ngoja ligi ikianza tutaona hapa mliosema huu usajili unatoshaDuh hata barca walofilisika wanatengeneza timu lewandowski tayari wanamaliza na bernado silver hebu linganisha uwezo wa mchezaji mmojammoja wa liver,man city,madrid bayern na ht barca
Inabidi Baily aanze mechi zote.OGS ndiyo alimleta Maguire. Lile goli la leo ni poor marking. Hakuna beki aliyekuwa kwenye position.
Barca lazima wamwachie FDJ hata iweje.Malacia, Lisandro na Eriksen kwangu mimi wanatosha. As always kale kajamaa kule tuwaachie mzigo wao Barcelona wamalizane nao.
Kama katamaliza mkataba wake na Barcelona katalamba zaidi euro 88M plus bonus. Hata mimi ningesema siondoki hata walete forklift.
Barcelona wanataka kutumia mgongo wetu kukwepa huu msumari wa makosa yao waliyofanya mwaka 2019. (they are 1.3 billion euros in debt - He's going to bleed them nails to toes)
Next tunakutana na C.palace J4 ambao wamepigwa 2 Leo na Livakuku sisi naomba tutembeze dozi ileile ya 4G LTE apo heshima itarejea
. Leo yupo Roma hukoNext tunakutana na C.palace J4 ambao wamepigwa 2 Leo na Livakuku sisi naomba tutembeze dozi ileile ya 4G LTE apo heshima itarejea
Nipo mchizi kichizi.Mchiz boti upo???
Hahahaha unaona beki zinavyoshushwa pale darajani ..sahau kupata ushindi, ninyi endeleeni kushusha magarasa.Nipo mchizi kichizi.
Msimu ujao nakuja kuvunja daraja.
Ume kalili vibaya.Kuna man u ya pre season na man u ya epl
akili kichwani mwako
Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app
Ungekua mtoto wakike wewe, wauni wangesha kipasua kidude chenyewe hicho.United ishajifia ,katafute team za Europa huko sijui spatikomosiko ndio ushindane nazo mzee![]()
Kwahiyo we ulitakaje sasa?Wazeee wa kujisaulisha. Hata morinyo alianza kwa dozi ya 4 G ivi ivi. Leo yupo Roma huko
Matusi yote hayo unaonekana umepigwa Hadi kwenye mshono ...who care about Europa ,timu linaenda kucheza alihamis futuhi dayUngekua mtoto wakike wewe, wauni wangesha kipasua kidude chenyewe hicho.

We mbona msimu ulio pita ulisajili Joker jeusi (Lukaku) na Raia tulitulia tu.Munasajili magarasa munataka kubeba ubingwa. Kweli nyie takataka
Huyo kulybaly ana pancha mpaka kwenye kope ndio alizuie kosi la Dunia?Hahahaha unaona beki zinavyoshushwa pale darajani ..sahau kupata ushindi, ninyi endeleeni kushusha magarasa.
#CFC![]()