Kitoabu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 11,076
- 12,302
Ume kalili vibaya.Kuna man u ya pre season na man u ya epl
akili kichwani mwako
Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app
Ume kalili vibaya.Kuna man u ya pre season na man u ya epl
akili kichwani mwako
Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app
Ungekua mtoto wakike wewe, wauni wangesha kipasua kidude chenyewe hicho.United ishajifia ,katafute team za Europa huko sijui spatikomosiko ndio ushindane nazo mzee![]()
Kwahiyo we ulitakaje sasa?Wazeee wa kujisaulisha. Hata morinyo alianza kwa dozi ya 4 G ivi ivi. Leo yupo Roma huko
Matusi yote hayo unaonekana umepigwa Hadi kwenye mshono ...who care about Europa ,timu linaenda kucheza alihamis futuhi dayUngekua mtoto wakike wewe, wauni wangesha kipasua kidude chenyewe hicho.

We mbona msimu ulio pita ulisajili Joker jeusi (Lukaku) na Raia tulitulia tu.Munasajili magarasa munataka kubeba ubingwa. Kweli nyie takataka
Huyo kulybaly ana pancha mpaka kwenye kope ndio alizuie kosi la Dunia?Hahahaha unaona beki zinavyoshushwa pale darajani ..sahau kupata ushindi, ninyi endeleeni kushusha magarasa.
#CFC![]()
Unarudi kwenye ujinga wako na nani?Huo ndio ugonjwa wetu, akija kocha mpya wachezaji wanakuwa serious sana, baada ya mechi kadhaa tunarudi kwenye ujinga wetu.
waleteni hao liverkukuKuna namna Man u kwanye izi game mbili wanacheza yaan kila mchezaji anafahamu majukumu yake hasa kwenye kushambulia na tukiwa na mpira....#Tutawashangaza
Sent using Jamii Forums mobile app
Be positiveHuo ndio ugonjwa wetu, akija kocha mpya wachezaji wanakuwa serious sana, baada ya mechi kadhaa tunarudi kwenye ujinga wetu.





man u nguvu ya soda tu ikishafunguka pfuuuuuuuu hmana issue Tena 
Ole utoto mwingi. Anacheza na kima... hapendi kutoa kasoro anasifu tuSitasahau kipindi ole anaingia mlipiga Hadi come back Kule psg ya kina Neymar....lakin Leo ole Yuko wapiman u nguvu ya soda tu ikishafunguka pfuuuuuuuu hmana issue Tena
![]()
Bonge la uziAway kit...bonge la kitView attachment 2292790