shakwenya
Senior Member
- Mar 5, 2017
- 177
- 303
Msimu uliopita ss tulisajili vizur kuliko city Ronaldo,sancho, varane lakn wapKwa dirisha hili la usajili linavyoenda naona msimu ujao utakuwa wa mateso vilevile..City wataendelea kutuswaga kama mang'ombe..Alvarez,Haaland,Kelvin Philips wote ndani na ni bingwa mtetezi huyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
mpaka wengine wanagalagala chini.
iliyopitiliza bado nikaona jibu lake halija ni furahisha nikabidi nimuulize mwingine kuna nini leo akanambia huku akilia sana kwa machozi ya furaha
