Mac Alpho
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 14,000
- 27,974
Liverpool wameamua kutudharau kabisa.Mnahesabu lakini??? 3 izo
Liverpool wameamua kutudharau kabisa.Mnahesabu lakini??? 3 izo
Kocha mwenyewe hacheki chekiTulizani ni mazoezi kumbe kuna watu wamekuja kama wanacheza fainali
Kuna kitu hujaelewa mkuu, ni hivi, Barcelona kwa hali ya kiuchumi waliyonayo hawawezi kumu afford de jong na kama atabaki msimu ujao watafilisika kabisa na wakikatisha mkataba pia watafilisika kwasababu watatakiwa kumlipa pesa nyingi, so jamaa anazichanga karata zake vzr apate mpunga wake kwanza alafu ndiyo amalizane na utd, kwa hali ilivyo sasa pale Barca ni ngumu wachezaji wakubwa kariba ya de jong kustahimili, sasa Barca wanataka kupata ahueni kwa gharama za utd ambapo utd nao wana delay makusudi ili wasilipe mzigo unaotakiwa kulipwa na mtu mwingine.Mtu Kama Lisandro Martinez Tunapata Taarifa Kwamba Anafosi Mabosi Zake Wakubali Dili Na United Aweze Kuja, Mchezaji Anaitaka Timu.... Lakini Sio De Jong Na Kasharipotiwa Mara Kadhaa Kuwa Hana Mpango Wa Kuondoka Pale Bado Anapenda Kubaki Pale Bado Anapataka Pale Lakini Bado Mamtu Yana Mng'ang'ania, DILI LA KISHOGA...FUUUCK!!
We mbona "Mbwa" tangu kitambo.Kwa hii man u legelege Kama utumbo wa konokono mkuifunga Liverpool mniete mbwa Niko pale nimekaa
Shida hata tukifungwa bado tutasemwa tu timu mbovu bora tushinde tu,na washafanya sub zoteSema ubaya wa hivi vi mechi uwezi jua uwezo wako kabisa.View attachment 2288039
Ulitaka apange nani?Mbona kama tupo serious na mechi hafu Liverpool kapanga kawaida tu.View attachment 2287941
ETH nae kaingiza watoto wote safi kabsa dawa ya moto niLiverpool wameamua kutudharau kabisa.

Dah Bailly namkubali, michomo yote aliyochomoa angekua Maguire zishakamilika.Eric Baily ameanza vizuri pre-season. Back yetu ya kushoto haifanyi marking vizuri. Elanga anahitaji kutulia mbio tu halitosis. ETH yupo vizuri, ule utoto utoto utaisha maana sura yake tu isiyo na mzaha inapeleka message ya kutosha kwa wachezaji.
Yaah! Wakitumiwa vizuri De Jong wa nini? Na huyo Pellistri why walimtoa mkopo wakati utumbo mwingi msimu uliopita.Bailly kacheza vizuri sana..
Dogo iqbal nimemkubali..dogo ana composure nzuri.
It's always feels good kuwafunga hawa scoosers.