Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hii friend match mashabiki wa manjesta washabeba kombe niko kando ya shabiki mmoja hapa anadai kombe
 
Afadhali, hata waseme tupo Serious iwe hivyo, kingine kocha anajifunza mchezaji kiwango chake kilivyo. Kwenye intensity.
 
Mtu Kama Lisandro Martinez Tunapata Taarifa Kwamba Anafosi Mabosi Zake Wakubali Dili Na United Aweze Kuja, Mchezaji Anaitaka Timu.... Lakini Sio De Jong Na Kasharipotiwa Mara Kadhaa Kuwa Hana Mpango Wa Kuondoka Pale Bado Anapenda Kubaki Pale Bado Anapataka Pale Lakini Bado Mamtu Yana Mng'ang'ania, DILI LA KISHOGA...FUUUCK!!
Kuna kitu hujaelewa mkuu, ni hivi, Barcelona kwa hali ya kiuchumi waliyonayo hawawezi kumu afford de jong na kama atabaki msimu ujao watafilisika kabisa na wakikatisha mkataba pia watafilisika kwasababu watatakiwa kumlipa pesa nyingi, so jamaa anazichanga karata zake vzr apate mpunga wake kwanza alafu ndiyo amalizane na utd, kwa hali ilivyo sasa pale Barca ni ngumu wachezaji wakubwa kariba ya de jong kustahimili, sasa Barca wanataka kupata ahueni kwa gharama za utd ambapo utd nao wana delay makusudi ili wasilipe mzigo unaotakiwa kulipwa na mtu mwingine.

De jong anataka kuungana na kocha wake pale utd ni lazima aje sema mpk amalizane na Barca apewe chake au la hasha abaki aifilisi timu kitu ambacho Barca hawawezi kukubali.
 
Sema ubaya wa hivi vi mechi uwezi jua uwezo wako kabisa.
1657634080586.jpg
 
Eric Baily ameanza vizuri pre-season. Back yetu ya kushoto haifanyi marking vizuri. Elanga anahitaji kutulia mbio tu halitosis. ETH yupo vizuri, ule utoto utoto utaisha maana sura yake tu isiyo na mzaha inapeleka message ya kutosha kwa wachezaji.
 
Eric Baily ameanza vizuri pre-season. Back yetu ya kushoto haifanyi marking vizuri. Elanga anahitaji kutulia mbio tu halitosis. ETH yupo vizuri, ule utoto utoto utaisha maana sura yake tu isiyo na mzaha inapeleka message ya kutosha kwa wachezaji.
Dah Bailly namkubali, michomo yote aliyochomoa angekua Maguire zishakamilika.

Naona now Timu inajipanga.

Mwanzo mzuri kwa ETH.
 
Bailly kacheza vizuri sana..

Dogo iqbal nimemkubali..dogo ana composure nzuri.

It's always feels good kuwafunga hawa scoosers.
Yaah! Wakitumiwa vizuri De Jong wa nini? Na huyo Pellistri why walimtoa mkopo wakati utumbo mwingi msimu uliopita.

Kingine Rashford bado sana, nachotaka ni kuona ETH akideal na fala mmoja ili wengine wajifunze
 
Back
Top Bottom