Xmonster
JF-Expert Member
- Apr 22, 2020
- 1,643
- 2,384
Wana njaa hawaNini tena wakuuView attachment 2282598
Wana njaa hawaNini tena wakuuView attachment 2282598
Barca ya sasa inayosubiri wachezaji wa free agent itapata wapi jeuri ya kugoma kuuza mchezaji?Anaruka ruka tu huyo anatingisha kiberiti
Acha apate challenge kidogo kazi yake ni kunenepa tu. Hii timu ufaza mwingi sana.Full fit shaw ni mzuri, sema si Unamjua Shaw? Ila atapata dakika za kutosha kucheza.
Uyo shaw nae ni muda wakumuacha waje vijana wengine kulipa chama uhaiAcha apate challenge kidogo kazi yake ni kunenepa tu. Hii timu ufaza mwingi sana.
Hama timu Acha kuleta utotoHuyo jamaaa pia hajali afya yake ya moyo. Imagine man u tunaongoza 1-0 dakika ya 90+. HALafu li maguire linajifunga own goal.
Si pacemaker itatingishika moyoni. Ilibidi aende timu kama bayern,psg,au mancity ambapo atacheza mpira kwa ku lelax,man u ni hatari ka afya yake,sijui nani anamshauri huyu mtu.
umeiona ile taarifa iliovujishwa na gazeti la MARCA kuhusu mkataba wa frenkie de jong. Barcelona ni washenzi sanaAnaruka ruka tu huyo anatingisha kiberiti
Kawaida yao, Messi, Neymar, Ibra na wengine wengi tu.umeiona ile taarifa iliovujishwa na gazeti la MARCA kuhusu mkataba wa frenkie de jong. Barcelona ni washenzi sana
Shaw ana miaka 26,Uyo shaw nae ni muda wakumuacha waje vijana wengine kulipa chama uhai
Sent using Jamii Forums mobile app
Shaw ni majeruhi tu ila hajawahi kuwa mchezaji mbaya, akiwa fit anachuana na Bruno kwenye Kutengeneza nafasi za Kufunga na pia kukaba Yupo vizuri sometime anacheza hadi beki wa kati.Acha apate challenge kidogo kazi yake ni kunenepa tu. Hii timu ufaza mwingi sana.
Nadhani mapungufu nayoyaona kwenye mitazamo yeni ni fikra zilizojikita kwenye dhana kwamba mpira ni wachezaji 11/22 ukiondoa red cards na dakika tisini ukiondoa muda wa nyongeza.Hapa sasa umeamua kuja na hoja za kichekechea kabisa na yoyote mwenye akili hahitaji kutumia muda mwigi kujua kwamba una nongwa zako juu ya CR7, either ni team Messi au whatever.
Hivi unawezaje kuhusianisha tukio la Mason kupiga demu wake na uwepo wa Man Utd pale Manchester? Hii hoja ni ya kitoto kabisa, kwahiyo ikitokea wapo wanaonyimwa unyumba nao itakuwa ni kwasababu ya Robaldo?
Mimi nipo hapa kusubiri atakeeleza kiufundi ni kwanini Ronaldo ndiye aliyeifelisha Utd licha ya kuchangia mabao mengi kuliko mchezaji yoyote, anahusika vipi na magoli mengi tuliyoruhusu msimu huu, anahusika vipi na midfield yetu iliyooza?
Nyinyi jengeni team tu ila hizi habari za kutafuta mtu wa kumuegemezea zigo la mavi ni utoto tu, Ile Utd ilikuwa imeoza kuanzia nyuma, katikati na huko mbele alibaki Ronaldo tu mwenye makali.
Mkuu nakuunga mkono asilimia/100 bora asepe tu faida ni kubwa kuliko hakibaki.Nadhani mapungufu nayoyaona kwenye mitazamo yeni ni fikra zilizojikita kwenye dhana kwamba mpira ni wachezaji 11/22 ukiondoa red cards na dakika tisini ukiondoa muda wa nyongeza.
dhana hii ndio ileile inayoangalia timu yenye mabeki, mid fielders na strickers, ambayo sio ya msingi kiivyo.
mpira is alot of things, na Ronaldo amechangia alot of negative things kwenye timu msimu uliopita, hivyo aondoke zake.
1. Hata sasa, Ronaldo ni nani mpaka ahoji situation ya timu kusajiri? hivi hao wachezaji waliopo ambao wanacheza nafasi ambazo inasemekana inabidi waje wachezaji wengine wanamchukuliaje Ronaldo? kama mwenzao? Yaani hataki kucheza na wachezaji waliopo?
2. Ronaldo alipofika alitengeneza kakundi ka waongea kispanish kwenye timu?
3. Hako ka kundi kakaanzisha Propaganda za Ronaldo awe Captain? hivi mnaelewa madhara ya upuuzi wa namna hii? kwa timu nzima?
4. Uwanjani, from day one, akawa analazimisha lazima yeye ndio apige mipira golini, huu upuuzi ndio yule dogo mjelajela aliukataa wakakosana akaanza kumsemea dogo mbovu? mshenzi yule mipira yenyewe akipewa anapiga maboko, dakika 70 za mchezo kazi kujiangusha angusha na kulalamia wachezaji, marefa mpaka mashabiki.
5. eti top scorer, alifunga magoli 24 TUUUU, ANTONY MARTIAL MSIMU WA 20/21 ALIFUNGA MAGOLI 23 PIA. So huyo ronaldo hakuna jipya kwenye ufungaji alioleta pale uwanjani zaidi ya kulazimisha kuzuia watu wengine wote wasifunge.
kwa uchache, niko safari nikitulia ntarudia hapa kumtukana vibaya sana boya yule.
Sisi Pana game 2 au 3 tungeshinda upuuz mwingi usigetokea. I bet Bora hata angebakigi solsisher tungekuwa okay. Lkn solsisher alifanya makosa ya kumng'anganiza Pogba...na Tena akampa kichwa Ronaldo.. ni ktk makosa makubwa SanaNa mna bahati West Ham alipigwa comeback, angeshinda lile game nyumbu mngecheza conference league hapo hadi Magwaya angetaka kuondoka.
Kaka amini....huna akili kabsaNadhani mapungufu nayoyaona kwenye mitazamo yeni ni fikra zilizojikita kwenye dhana kwamba mpira ni wachezaji 11/22 ukiondoa red cards na dakika tisini ukiondoa muda wa nyongeza.
dhana hii ndio ileile inayoangalia timu yenye mabeki, mid fielders na strickers, ambayo sio ya msingi kiivyo.
mpira is alot of things, na Ronaldo amechangia alot of negative things kwenye timu msimu uliopita, hivyo aondoke zake.
1. Hata sasa, Ronaldo ni nani mpaka ahoji situation ya timu kusajiri? hivi hao wachezaji waliopo ambao wanacheza nafasi ambazo inasemekana inabidi waje wachezaji wengine wanamchukuliaje Ronaldo? kama mwenzao? Yaani hataki kucheza na wachezaji waliopo?
2. Ronaldo alipofika alitengeneza kakundi ka waongea kispanish kwenye timu?
3. Hako ka kundi kakaanzisha Propaganda za Ronaldo awe Captain? hivi mnaelewa madhara ya upuuzi wa namna hii? kwa timu nzima?
4. Uwanjani, from day one, akawa analazimisha lazima yeye ndio apige mipira golini, huu upuuzi ndio yule dogo mjelajela aliukataa wakakosana akaanza kumsemea dogo mbovu? mshenzi yule mipira yenyewe akipewa anapiga maboko, dakika 70 za mchezo kazi kujiangusha angusha na kulalamia wachezaji, marefa mpaka mashabiki.
5. eti top scorer, alifunga magoli 24 TUUUU, ANTONY MARTIAL MSIMU WA 20/21 ALIFUNGA MAGOLI 23 PIA. So huyo ronaldo hakuna jipya kwenye ufungaji alioleta pale uwanjani zaidi ya kulazimisha kuzuia watu wengine wote wasifunge.
kwa uchache, niko safari nikitulia ntarudia hapa kumtukana vibaya sana boya yule.
Nimekudharau sn.... wahisha sukari nyumbani, United hatuna vilaza km wewNadhani mapungufu nayoyaona kwenye mitazamo yeni ni fikra zilizojikita kwenye dhana kwamba mpira ni wachezaji 11/22 ukiondoa red cards na dakika tisini ukiondoa muda wa nyongeza.
dhana hii ndio ileile inayoangalia timu yenye mabeki, mid fielders na strickers, ambayo sio ya msingi kiivyo.
mpira is alot of things, na Ronaldo amechangia alot of negative things kwenye timu msimu uliopita, hivyo aondoke zake.
1. Hata sasa, Ronaldo ni nani mpaka ahoji situation ya timu kusajiri? hivi hao wachezaji waliopo ambao wanacheza nafasi ambazo inasemekana inabidi waje wachezaji wengine wanamchukuliaje Ronaldo? kama mwenzao? Yaani hataki kucheza na wachezaji waliopo?
2. Ronaldo alipofika alitengeneza kakundi ka waongea kispanish kwenye timu?
3. Hako ka kundi kakaanzisha Propaganda za Ronaldo awe Captain? hivi mnaelewa madhara ya upuuzi wa namna hii? kwa timu nzima?
4. Uwanjani, from day one, akawa analazimisha lazima yeye ndio apige mipira golini, huu upuuzi ndio yule dogo mjelajela aliukataa wakakosana akaanza kumsemea dogo mbovu? mshenzi yule mipira yenyewe akipewa anapiga maboko, dakika 70 za mchezo kazi kujiangusha angusha na kulalamia wachezaji, marefa mpaka mashabiki.
5. eti top scorer, alifunga magoli 24 TUUUU, ANTONY MARTIAL MSIMU WA 20/21 ALIFUNGA MAGOLI 23 PIA. So huyo ronaldo hakuna jipya kwenye ufungaji alioleta pale uwanjani zaidi ya kulazimisha kuzuia watu wengine wote wasifunge.
kwa uchache, niko safari nikitulia ntarudia hapa kumtukana vibaya sana boya yule.
Ronaldo ataondoka lkn mpeni heshima yake.... laiti angeenda Manchester city na kuwapa UCL leo mgemuita msaliti na mgeanza kulaumu kwann hatukumsajiliNimekudharau sn.... wahisha sukari nyumbani, United hatuna vilaza km wew
Mambo mengi hapa hayana uhalisia kama ulivyo andika maana Ronaldo kama mchezaji hajawah kufanya press kusema vitu ulivyo andika hapo ila magazeti yanaandika ili yauze labda ungesema tulibadili namna ya kucheza kutokana na ujio wake mfano msimu wa 2020/21 tulikuwa tuna defence tukiwa nusu ya uwanja upande wetu na kushambulia kwa counter na ilitusaidia kuficha mapungufu ya wachezaji kama maguaya na full back zetuNadhani mapungufu nayoyaona kwenye mitazamo yeni ni fikra zilizojikita kwenye dhana kwamba mpira ni wachezaji 11/22 ukiondoa red cards na dakika tisini ukiondoa muda wa nyongeza.
dhana hii ndio ileile inayoangalia timu yenye mabeki, mid fielders na strickers, ambayo sio ya msingi kiivyo.
mpira is alot of things, na Ronaldo amechangia alot of negative things kwenye timu msimu uliopita, hivyo aondoke zake.
1. Hata sasa, Ronaldo ni nani mpaka ahoji situation ya timu kusajiri? hivi hao wachezaji waliopo ambao wanacheza nafasi ambazo inasemekana inabidi waje wachezaji wengine wanamchukuliaje Ronaldo? kama mwenzao? Yaani hataki kucheza na wachezaji waliopo?
2. Ronaldo alipofika alitengeneza kakundi ka waongea kispanish kwenye timu?
3. Hako ka kundi kakaanzisha Propaganda za Ronaldo awe Captain? hivi mnaelewa madhara ya upuuzi wa namna hii? kwa timu nzima?
4. Uwanjani, from day one, akawa analazimisha lazima yeye ndio apige mipira golini, huu upuuzi ndio yule dogo mjelajela aliukataa wakakosana akaanza kumsemea dogo mbovu? mshenzi yule mipira yenyewe akipewa anapiga maboko, dakika 70 za mchezo kazi kujiangusha angusha na kulalamia wachezaji, marefa mpaka mashabiki.
5. eti top scorer, alifunga magoli 24 TUUUU, ANTONY MARTIAL MSIMU WA 20/21 ALIFUNGA MAGOLI 23 PIA. So huyo ronaldo hakuna jipya kwenye ufungaji alioleta pale uwanjani zaidi ya kulazimisha kuzuia watu wengine wote wasifunge.
kwa uchache, niko safari nikitulia ntarudia hapa kumtukana vibaya sana boya yule.
Me nilijua unaeleza facts kumbe upo hapa kumtukana yule boya?😂Nadhani mapungufu nayoyaona kwenye mitazamo yeni ni fikra zilizojikita kwenye dhana kwamba mpira ni wachezaji 11/22 ukiondoa red cards na dakika tisini ukiondoa muda wa nyongeza.
dhana hii ndio ileile inayoangalia timu yenye mabeki, mid fielders na strickers, ambayo sio ya msingi kiivyo.
mpira is alot of things, na Ronaldo amechangia alot of negative things kwenye timu msimu uliopita, hivyo aondoke zake.
1. Hata sasa, Ronaldo ni nani mpaka ahoji situation ya timu kusajiri? hivi hao wachezaji waliopo ambao wanacheza nafasi ambazo inasemekana inabidi waje wachezaji wengine wanamchukuliaje Ronaldo? kama mwenzao? Yaani hataki kucheza na wachezaji waliopo?
2. Ronaldo alipofika alitengeneza kakundi ka waongea kispanish kwenye timu?
3. Hako ka kundi kakaanzisha Propaganda za Ronaldo awe Captain? hivi mnaelewa madhara ya upuuzi wa namna hii? kwa timu nzima?
4. Uwanjani, from day one, akawa analazimisha lazima yeye ndio apige mipira golini, huu upuuzi ndio yule dogo mjelajela aliukataa wakakosana akaanza kumsemea dogo mbovu? mshenzi yule mipira yenyewe akipewa anapiga maboko, dakika 70 za mchezo kazi kujiangusha angusha na kulalamia wachezaji, marefa mpaka mashabiki.
5. eti top scorer, alifunga magoli 24 TUUUU, ANTONY MARTIAL MSIMU WA 20/21 ALIFUNGA MAGOLI 23 PIA. So huyo ronaldo hakuna jipya kwenye ufungaji alioleta pale uwanjani zaidi ya kulazimisha kuzuia watu wengine wote wasifunge.
kwa uchache, niko safari nikitulia ntarudia hapa kumtukana vibaya sana boya yule.