D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,633
- 121,022
Mike verweij (tier 1 kwa habari za :ajax) anasema : man utd wameongeza ofa yao kufikia euro million 50 na bonus kwa ajili ya lisandro martinez. Fahamu ajax wakiongozwa na mtendaji wao mpya klaas jan huntelaar waliwaambia arsenal na man utd ya kwamba mchezaji husika ana thamani ya euro million 50 na si vyenginevyo. Tujiandae na here we go?
